Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo

Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo

Kazi ya Serikali yenu na viombo vya dola ni kuchunguza alitokea Tz pande gani? Kutengamana na nani na wapi? Serikali ya Tz haina jibu?
Serikalini yenu imetangaza kuwa ametokea Tz!
Tz sehemu gani na ni lini?
Mlifunga mipaka yote mkaja humu kuruka ruka kushangilia,

Haya sasa huyo alipitia mpaka gani juu mlitangaza kufunga mipaka?
Mnashangilia kupima Pima badala ya kuwekeza nguvu kwenye kuzuia maambukizi hiyo iga iga yenu ndio huwa inawaponza,
Mtaishia kusema tunachekelea matatizo yenu.
 
Hili jambo, waziri wa Afya alilitolea Maelezo vizuri sana, ila kwasababu kuna watu wajinga duniani, lazima maneno kama haya yataendelea kuwepo.

Huyu jamaa alitoka Dubai 24/3, wakati huo serikali ilikua imesema ni wasafiri wenye kutoka nchi zilizokua na maambukizi mengi zaidi, ndio lazima wakifika nchini wawekwe karantini ya siku 14, Dubai haikuwepo katika kundi la nchi zilizokua na wagonjwa wengi waliokua na maambukizi, ndio sababu hakuwekwa karantini.

Tabia yenu hii ya kujaribu kulingabisha na Tanzania nchi ambayo hadi sasa inafanya vizuri sana katika kuzuia maambukizi, ndio sababu tunawacheka.

Inawezekana vipi mgonjwa yupo Hospitalini, mikononi mwa madaktari, lakini wanashindwa kujua kama ana maambukizi ya corona, wagonjwa wangapi na madaktari wangapi atakua amewaambukiza hapo Hospitalini, je Hospitali za Kenya ni mahali salama au ndio chanzo cha maambukizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi Sana wameambukizwa na wanatafutwa na kupatikana ndio maana idadi inazidi kuongezeka.

Yule wa Mwanza alipitia JNIA bila kuzuiliwa alafu siku 3 baadaye Yuko Mwanza na kupatikana na Covid-19. Jr aliotangamana nao wako wapi? Kama hawajapatikana basi wanasambaza kirusi kwa watu wengi Sana Toka Dar Hadi Mwanza...just a matter of time Tz iwe na maambukizi mengi infact labda hata Kuna vifo vingi ila watu hawajui ni ugonjwa upi. Dodoma yenyewe mji Mkuu watu hawajui Covid-19 ni Nini jr huko ufipa?
 
Serikalini yenu imetangaza kuwa ametokea Tz!
Tz sehemu gani na ni lini?
Mlifunga mipaka yote mkaja humu kuruka ruka kushangilia,

Haya sasa huyo alipitia mpaka gani juu mlitangaza kufunga mipaka?
Mnashangilia kupima Pima badala ya kuwekeza nguvu kwenye kuzuia maambukizi hiyo iga iga yenu ndio huwa inawaponza,
Mtaishia kusema tunachekelea matatizo yenu.
Alikotokea ni kazi ya Serikali yenu kujua wapi na wapi kapitia ama unataka kazi ya Vyombo vya dola ifanywe na Serikali ya Kenya. Uzembe mtawacha.
 
Alikotokea ni kazi ya Serikali yenu kujua wapi na wapi kapitia ama unataka kazi ya Vyombo vya dola ifanywe na Serikali ya Kenya. Uzembe mtawacha.
Sasa mbona huo uzembe unaitafuna Kenya badala ya Tz?
Mlifunga mipaka halafu waja humu kupiga piga kelele kuwa wametokea Tz!
 
you should be telling that to yourselves.
who has been pushing these Corona threads??
That guy is a jobless retard...kazi ni kuanzisha mada za corona left ,right center .
 
Hawajapatikana wote walioko hapa Kenya.
Yule wa Mwanza kwa siku tatu alikuwa Yuko safarini akiwapumulia abiria ndani ya daladala, je waliotangamana naye wamepatikana?
Kuna Yule alitoroka kwarantin na hajapatikana kwa Sasa Yuko wapi?
Ndio sababu hadi sasa

Kenya 184, 7deaths
Tanzania. 27, 1deaths

Tunasubiri mawaziri wenu "mapoyoyo", wasiojua nini wanataka kukipata, watutangazie tena leo idadi ya maambukizi mapya, lazima ifike 190 Leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu duni? Hivi umewahi kushihudia kashikashi za kitengo cha dharura mahosipitalini? Italy nchi ya ulimwengu wa kwanza imepoteza madaktari 101 sababi ya hili gonjwa tutegemee nini nchi za ulimwengu wa tatu? Muda utajibu.
HApa tunaongelea Kenya na sio Italy.

Elimu duni ya Kenya hasa kwenye Afya
 
Ndio sababu hadi sasa

Kenya 184, 7deaths
Tanzania. 27, 1deaths

Tunasubiri mawaziri wenu "mapoyoyo", wasiojua nini wanataka kukipata, watutangazie tena leo idadi ya maambukizi mapya, lazima ifike 190 Leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliotangamana na Yule wa Mwanza na huyu alikuja Kenya wako wapi? Wamepatikana? Wamewekwa karantin? Ni wangapi? Ni wa pande/mikoa gani Tz? Without such info from your Govt then we can comfortably conclude that not much is being shared.
 
HApa tunaongelea Kenya na sio Italy.

Elimu duni ya Kenya hasa kwenye Afya
Wacha double speak
Screenshot_20200410-111247.png
Screenshot_20200410-111247.png
 
Sasa mbona huo uzembe unaitafuna Kenya badala ya Tz?
Mlifunga mipaka halafu waja humu kupiga piga kelele kuwa wametokea Tz!
Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?

Mipaka ilifungwa lakini Mkenya anayerudi nyumbani anafunguliwa na kuingia karantin hapo hapo na kupimwa. Ama babayao unataka kutuaminisha Mkenya Huyo aliruka kwa mabawa Hadi mpakani Kenya?
 
Waliotangamana na Yule wa Mwanza na huyu alikuja Kenya wako wapi? Wamepatikana? Wamewekwa karantin? Ni wangapi? Ni wa pande/mikoa gani Tz? Without such info from your Govt then we can comfortably conclude that not much is being shared.
Wale waliotoka Nairobi hadi Mandera ndani ya bus, wakachanganyana na watu, na yule aliyetoroka toka Mombasa hadi Nakuru kwa bus, je wote waliosafiri nao na Hoteli walizotumia wote mumewapata?, bila hiyo taarifa hakuna kitu serikali yenu inafanya.

KE 184, 7deaths
TZ. 27, 1death

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?

Mipaka ilifungwa lakini Mkenya anayerudi nyumbani anafunguliwa na kuingia karantin hapo hapo na kupimwa. Ama babayao unataka kutuaminisha Mkenya Huyo aliruka kwa mabawa Hadi mpakani Kenya?
Uzembe wa madaktari wa Kenya kushindwa kugundua wagonjwa wenye maambukizi, badala yake wanawachanganya na wagonjwa wa kawaida, wacha kugeuza na kukimbia hili la uzembe na elimu ndogo ya madaktari wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waliotoka Nairobi hadi Mandera ndani ya bus, wakachanganyana na watu, na yule aliyetoroka toka Mombasa hadi Nakuru kwa bus, je wote waliosafiri nao na Hoteli walizotumia wote mumewapata?, bila hiyo taarifa hakuna kitu serikali yenu inafanya.

KE 184, 7deaths
TZ. 27, 1death

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wamepatikana na kuwekwa karantin.
Yule wa Mwanza na huyu aliingia Kenya waliotangamana nao wako wapi huko Tz? Serikali yenu imewapata hata wale walikuwa daladala moja?
Hizo figures unaweka hapo zitaongezeka Serikali yenu ikianza kuwa Serious.
 
Uzembe upi Kama Huyo jamaa alitokea Tz na huo ugonjwa? Mbona hajawapata waliotangamana naye?

Mipaka ilifungwa lakini Mkenya anayerudi nyumbani anafunguliwa na kuingia karantin hapo hapo na kupimwa. Ama babayao unataka kutuaminisha Mkenya Huyo aliruka kwa mabawa Hadi mpakani Kenya?
Alitokea lini Tz?
Ugonjwa aupate Kenya halafu mje kutuambia nyee nyee hapa.
 
Uzembe wa madaktari wa Kenya kushindwa kugundua wagonjwa wenye maambukizi, badala yake wanawachanganya na wagonjwa wa kawaida, wacha kugeuza na kukimbia hili la uzembe na elimu ndogo ya madaktari wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wetu ni wazembe sikatai. Swali langu na unalikwepa Sana ni hili;
Waliotangamana na Yule wa Mwanza na huyu aliyetoka Tz kaingia Hadi Kenya wamepatikana? Ni wangapi? Mikoa gani?
 
Back
Top Bottom