Madaktari mnatuchanganya kuhusu muda gani wa kufanya mapenzi na mke baada ya kujifungua

Madaktari mnatuchanganya kuhusu muda gani wa kufanya mapenzi na mke baada ya kujifungua

Yaani ukikutana na Daktari wa Mwananyamala na Kumuuliza Mkeo akijifungua ni lini uanze Kufanya naye mapenzi utajibiwa baada ya Siku 40 au 60.

Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.

Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.

Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?

Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.
Achana nao hao hawajielewi. Akijifungua siku ya kwanza ya pili ya tatu unamwambia m test kama anasikia maumivu au vipi. Mi huwa siku 5 tu naanza mchapa nao. Maana nyuzi zinakuwa zimeanza kupona vizuri tu. Sema naenda naye kwa styles za kulea lea kwanza. Akifika week 2 mchakamchaka.
 
Yaani ukikutana na Daktari wa Mwananyamala na Kumuuliza Mkeo akijifungua ni lini uanze Kufanya naye mapenzi utajibiwa baada ya Siku 40 au 60.

Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.

Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.

Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?

Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.
kwaiyo dada yako niwe nambandua baada ya siku saba?

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Yaani ukikutana na Daktari wa Mwananyamala na Kumuuliza Mkeo akijifungua ni lini uanze Kufanya naye mapenzi utajibiwa baada ya Siku 40 au 60.

Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.

Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.

Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?

Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.
Wewe kima .

Sex inaruhusiwa baada ya pauperism period kuisha ambayo uchukua siku 40.

Lakini lazima uzingatie afya ya mama mjamzito na aina ya kujifungua.

Mfano mtu alijifungua kawaida ila epistiotomy ilitokea sasa kidonda kikachelewa kupona je unatarajia Hugh mtu ndani ya siku 40 atafanya mapenzi.

Au kidonda cha CS hakijapona je atafanya mapenzi.

Kama akipata kifafa cha mimba.

Achana na akili ya matako .

Usifananishe afya na uandishi wako wa habari wa kupanga Aya kima ww
 
disorganized thinking +emotions that don't fit the situation.[emoji23][emoji23]
typified by shallow and inappropriate emotional responses, foolish or bizarre behaviour, false beliefs (delusions), and false perceptions (hallucinations). In mental disorder: Clinical features.7 Dec 2023
 
Mimi nitawauliza kazi ya GENTAMYCINE ni kutibu nn. Nilinganishe majibu yao na post zako huku JF.
Definitions of hebephrenic. adjective. suffering from a form of schizophrenia characterized by foolish mannerisms and senseless laughter along with delusions and regressive behavior. synonyms:
 
Wewe kima .

Sex inaruhusiwa baada ya pauperism period kuisha ambayo uchukua siku 40.

Lakini lazima uzingatie afya ya mama mjamzito na aina ya kujifungua.

Mfano mtu alijifungua kawaida ila epistiotomy ilitokea sasa kidonda kikachelewa kupona je unatarajia Hugh mtu ndani ya siku 40 atafanya mapenzi.

Au kidonda cha CS hakijapona je atafanya mapenzi.

Kama akipata kifafa cha mimba.

Achana na akili ya matako .

Usifananishe afya na uandishi wako wa habari wa kupanga Aya kima ww
Hapa Unanielimisha au Unanisimanga?
 
Studies zinaonesha unaweza kuingiliana na Mkeo aliyetoka kujifungua mara baada ya siku 40, japo itategemeana na hali ya afya ya mwenzio.

Lakini kwa Uzoefu wangu, vyema Mke umuache hadi afike miezi 4 ama 6 ndiyo unaweza kufurahia naye tendo, otherwise utamfanya mwenzio arudi hospitali.

Ila hakuna wakati Wanaume tunapata tabu kama wakati wa kulea, yaani inahitaji uvumilivu sana kwa kweli
 
Yaani ukikutana na Daktari wa Mwananyamala na Kumuuliza Mkeo akijifungua ni lini uanze Kufanya naye mapenzi utajibiwa baada ya Siku 40 au 60.

Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.

Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.

Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?

Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.
Janabi anatumia labda ushauri wa dini yake.
Mke akijifungua kwa mwislamu bado kadume kanaendelea na utelezi kwa watatu waliobaki.
Sasa kwa mkristo na mke mmoja amsubiri miezi 6.
Kuna wanaume wanapishana Kimboka na pete za arusi, shida inaweza kuwa ilianzia kwa ushauri wa Dr kwa ndoa yake[emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Studies zinaonesha unaweza kuingiliana na Mkeo aliyetoka kujifungua mara baada ya siku 40, japo itategemeana na hali ya afya ya mwenzio.

Lakini kwa Uzoefu wangu, vyema Mke umuache hadi afike miezi 4 ama 6 ndiyo unaweza kufurahia naye tendo, otherwise utamfanya mwenzio arudi hospitali.

Ila hakuna wakati Wanaume tunapata tabu kama wakati wa kulea, yaani inahitaji uvumilivu sana kwa kweli
Huu ni wakati muafaka wa kucheza mechi za kushtukiza ugenini, miezi sita ni mingi sana mwanaume kuvumilia.
 
Mkuu 40 mpaka 60 inautaofauti Gani na miezi mitatu..

Kila daktari hutoa Recomendation kutokana na kumuona mgonjwa inaruhusiwa anaweza kuwa amekupa Recomended Days kwa mujibu wa Miongozo huenda hukuenda na mkeo au hakuona hali yake..

Na mwingine huenda amekwambia kutokana na kuona hali ya mkeo na akamuhurumia Kwa Mikiki mikiki na akarecomend siku 30 zaidi kwa ajili ya afya yake..

Wanaume tuwe na Huruma kwa wake zetu we siku 7 bado anaMaumivu michubuko na bado kuna Damu (LOCHIA) Unless huna kinyaa...

Lochia hukadiriwa kukata baada au ndani ya Siku 21 ,30 au 40.. na ndo maana Range nzuri ni siku 40..

Ila baada ya hapo sasa tunaangalia na Mmama mwenyewe Afya yake ya kuhimili mikiki na huruma ya mtoto pia ndo maaana miezi 3 ni Recomended sana kuliko miezi miwili ..(Ili angalau hata nguvu mama Awe nazo)
yaana huyu jamaa ana upwiruu wake anakuja kuforce hiyo siku anayotaka yeye so azingatie ushauri ni siku 30 hadi 60 full stop kwa sababu utakuta mwingine kafanyiwa C/S alafu kuna mtu anakuja kusema siku 7 what a shame you broo ,stay on the recommended day be patient.
 
Huu ni wakati muafaka wa kucheza mechi za kushtukiza ugenini, miezi sita ni mingi sana mwanaume kuvumilia.
Hahaha..............yaani kuna wakati Mzee anasimama hadi misuli inataka kupasuka alafu mambo bila bila, sisi wenye roho nyepesi tunaishia kwenda bafuni kujimwagia maji ya baridi kupunguza joto la injini (Asomaye na aelewe 😜).

NB: Hakuna wakati nakuwa na hasira kama kipindi hiki cha Mamaa kulea, ni kipindi chenye mtihani sana kwasisi tusio na viwanja vya ugenini 🤗
 
Hahaha..............yaani kuna wakati Mzee anasimama hadi misuli inataka kupasuka alafu mambo bila bila, sisi wenye roho nyepesi tunaishia kwenda bafuni kujimwagia maji ya baridi kupunguza joto la injini (Asomaye na aelewe 😜).

NB: Hakuna wakati nakuwa na hasira kama kipindi hiki cha Mamaa kulea, ni kipindi chenye mtihani sana kwasisi tusio na viwanja vya ugenini 🤗
🤣🤣🤣🤣kipindi kigumu sana hiki!
 
Back
Top Bottom