DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
🤣🤣🤣yaana huyu jamaa ana upwiruu wake anakuja kuforce hiyo siku anayotaka yeye so azingatie ushauri ni siku 30 hadi 60 full stop kwa sababu utakuta mwingine kafanyiwa C/S alafu kuna mtu anakuja kusema siku 7 what a shame you broo ,stay on the recommended day be patient.
Sasa kama ana upwiru si atafute mchepuko 🤣