Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake kwa siku unameza vidonge viwili, kwa siku 3 dozi inakuwa imeisha.Nimeandikiwa na daktari 2x1 kama mnavyoona kwenye pichaView attachment 2851405
Au hata ukiruka kavu, ukifika tu fasta rukia bafuni uoshe Mkuyenge! Ukiloweka tu lazima utafute Azuma.Hapana haijawa chronic ila thanks kwa ushauri
Inapunguzwa ukali wa maneno!Gono imeitwa UTI kali sikuhizi
Pole sana mkuu hamna nyumbaSio Gono Mzee ni UTI maana nyumba nayokaa sio poa vyoo vyake
Hiyo ni start mkuu, unakunywa viwili inatosha, hicho kimoja kitakacho baki achana nacho.Nimeandikiwa na daktari 2x1 kama mnavyoona kwenye pichaView attachment 2851405
Ko hujui matumizi ya dosage? Na umeandikiwa kabisa hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok,nimekupata kwa iyo nameza kwa pamoja viwili Kila baada ya saa 24?
Ndo mana ghono sisikii nkajua imetokomezwaGono imeitwa UTI kali sikuhizi
[emoji23][emoji23][emoji23] hama huko uswekeni, mfyuuuuhSio Gono Mzee ni UTI maana nyumba nayokaa sio poa vyoo vyake