Madaktari nielewesheni hapa natumiaje hii dose ya Azuma vipo vidonge 6

Madaktari nielewesheni hapa natumiaje hii dose ya Azuma vipo vidonge 6

Sio Gono Mzee ni UTI maana nyumba nayokaa sio poa vyoo vyake
Wanaume ni vigumu sana kupata UTI kwa sababu ya maumbile yao. Ila Bongo kumezuka mtindo wa kubambikia wanaume UTI hivyo kuweni macho sana. Kuhusu dozi, inabidi umeze vidognge viwili kila siku mpaka vidonge ulivyopewa viishe. Yaani kama umemeza leo saa sita mchana, then kesho meza saa sita tena (au around muda ule ule) mpaka viishe. Ila ni muhimu sana kuulizia namna ya kutumia dawa pale unapopewa. Usipoelewa uliza mpaka ufahamu.
 
Dawa umeenda kununua Dukani bila ushauri wa Dr harafu unakuja kuuliza huku nenda Hospital mkuu ukatibiwe hizo sehemu za ugonjwa sio za kutibu kwa kubahatisha...
Ila take care Mazee usiende kavu.
 
Sawa ,250 mg,2 Kwa mara 1 mkuu,
Yaani unakeza vidonge 2 Kwa mara Moja Kwa siku Kwa siku 3

Angalizo mkuu km umekutwa na UTI huyo Dr Nina walakimi nae ,hii sio dawa ya UTI.
Labda km una shida nyingine

Ma Dr wa sikuhizi bana ilitakiwa akupe vya 500mg kimoja Kwa siku 🤣
Kaniingiza Chaka Kumbe ndo maana nikaja kuuliza uku maana navyofahamu uwa ni vidonge vi 3 ila nashangaa kanipa vidonge 6
 
Dawa umeenda kununua Dukani bila ushauri wa Dr harafu unakuja kuuliza huku nenda Hospital mkuu ukatibiwe hizo sehemu za ugonjwa sio za kutibu kwa kubahatisha...
Ila take care Mazee usiende kavu.
Usipende kuhisi vitu bila kuprove nimeenda zahanati ya Kijiji / kata na aliyenipa ni Dr kabisa,
 
Kaniingiza Chaka Kumbe ndo maana nikaja kuuliza uku maana navyofahamu uwa ni vidonge vi 3 ila nashangaa kanipa vidonge 6
Haina shida utameza viwili,maana kinqchotakiwa ni mg500 once!

Shida ni kuwa kweli una UTI, if so hii sio dawa ya UTI!

Hata ukitaka ka google uone inatobu mm Azuma!

Km una UTI kweli,tumia Amoxclav,au Cipro.....
 
Cha ajabu hakuna aliyekupa jibu moaka comment yangu


Hiya dose ni sawa kabisa. Unatakiwa umexe viwili, kwa sababu hiyo ni 250mg. Vile vitatu vinakuwa 500mg.

Sasa inawezekana hapo hakukuwa na 500mg ukapewa 250mg mbili.

Ila hakuna dose ya vidonge 3, dozi kamili imamezwa siku 7. Yani unatakiwa umeze antibiotics kwa siku 7 ili upon

Wengi wanameza AZUMA siku tatu ndio maana hawaponi

Pichani nakuonyesha Azuma 500mg ambazo zinakaa 3
azuma-500.png
 
Cha ajabu hakuna aliyekupa jibu moaka comment yangu


Hiya dose ni sawa kabisa. Unatakiwa umexe viwili, kwa sababu hiyo ni 250mg. Vile vitatu vinakuwa 500mg.

Sasa inawezekana hapo hakukuwa na 500mg ukapewa 250mg mbili.

Ila hakuna dose ya vidonge 3, dozi kamili imamezwa siku 7. Yani unatakiwa umeze antibiotics kwa siku 7 ili upon

Wengi wanameza AZUMA siku tatu ndio maana hawaponi
Yes na ndo nilichomwambia

250,viwili, 500 kimoja.
Kuhusu dose ya 3,6,7 inategemea na stage ya ugonjwa

Ndo maana nimemuuliza amepima?
 
Yes na ndo nilichomwambia

250,viwili, 500 kimoja.
Kuhusu dose ya 3,6,7 inategemea na stage ya ugonjwa

Ndo maana nimemuuliza amepima?
Watu wamekariri ukitumia AZUMA una gonorrhea

Kifupi hutakiwi kutumia dawa bila kupata ushauri wa daktari au kupima afya.

Umemweleza kijana vizuri asirudie mchezo wake, kuna mwingine kamshauro amezr AZUMA 4 atakufa
 
Cha ajabu hakuna aliyekupa jibu moaka comment yangu


Hiya dose ni sawa kabisa. Unatakiwa umexe viwili, kwa sababu hiyo ni 250mg. Vile vitatu vinakuwa 500mg.

Sasa inawezekana hapo hakukuwa na 500mg ukapewa 250mg mbili.

Ila hakuna dose ya vidonge 3, dozi kamili imamezwa siku 7. Yani unatakiwa umeze antibiotics kwa siku 7 ili upon

Wengi wanameza AZUMA siku tatu ndio maana hawaponi

Pichani nakuonyesha Azuma 500mg ambazo zinakaa 3
View attachment 2851428
Asante,nimekuelewa kwa iyo nimeze vidonge viwili kwa pamoja Kila siku?
 
Watu wamekariri ukitumia AZUMA una gonorrhea

Kifupi hutakiwi kutumia dawa bila kupata ushauri wa daktari au kupima afya.

Umemweleza kijana vizuri asirudie mchezo wake, kuna mwingine kamshauro amezr AZUMA 4 atakufa
Eti 4
Jmn si atakufa!

Yaaa azuma inatibu vitu vingi
 
D
Yes na ndo nilichomwambia

250,viwili, 500 kimoja.
Kuhusu dose ya 3,6,7 inategemea na stage ya ugonjwa

Ndo maana nimemuuliza amepima?
Duh Kumbe vile vidada viuza maduka ya dawa vipumbavu sana mbona mara nyingi vinawauzia watu vidonge vi 3 ambavyo utoa maelekezo kumeza siku 3 tu.
 
Asante,nimekuelewa kwa iyo nimeze vidonge viwili kwa pamoja Kila siku?
Yes ,km utaamua iwe usiku ,au asubuhi ni wewe tu
Mi Huwa napendekeza usiku!
Na kesho yake muda huohuo

Lkn dose yake inaenda 6to 7 days for better results sio 3 days
 
Tumia 3mara1 kwa sababu hapo haijaandikwa matumiz yake bwege we😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom