Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ungesoma mtiririko wote toka huko juu hukuwa na haja na kulaumu au kutumia lugha ambayo sioOkay, hiyo siyo dawa yake, na madokta wa siku hizi wabovu, sasa hiyo aliyopaswa kumpa 500mg ni dawa gani na ya kutibu ugonjwa gani ????
You are the worst quack doctor in the village, toka lini uka prescribe ma antibiotics kwenye mitandao hujui hata ana symptoms gani, kwa muda gani, na vipimo gani.....
The thread is criminal, period, ni kwa vile tu moderators uelewa mfupi, wamefundishwa kuwinda thread za matusi na za kujipanga kupindua nchi.
UsithibutuKmmmko
Ni hatari sana.ni kweli kabisa ila kwa sahiv wengi wao wanakimbilia Strong Antibiotic
Naomba kueleweshwa je ilikuwa sahihi kwa UTI ndogo kupewa AZUMA au mtoa mada atuambie labda alikuwa na dalili nyingine zilizo hitaji dr amwandikie AZUMAMkuu ungesoma mtiririko wote toka huko juu hukuwa na haja na kulaumu au kutumia lugha ambayo sio
Tumesha elewashana huko juu 250mg,vidonge 2,sawa na kidonge 1, 500 mg!
Shida nn ?
Suala ni eneo alilopo hakukuwa na vya 500 mg.....
Ndo maana kwenye comments Kuna maswali na majibu!
Muwe mnasoma comments kwanza kabla hamja attack mtu
Utaua watu wewe 4??Azithromycin... Vijana punguzeni ngono-zembe!.... Gono litawaua!
Meza 4x1 kama unataka kupona gono kwa haraka!
Mwisho wa siku haya mambo bwanaNaomba kueleweshwa je ilikuwa sahihi kwa UTI ndogo kupewa AZUMA au mtoa mada atuambie labda alikuwa na dalili nyingine zilizo hitaji dr amwandikie AZUMA
🤣🤣🤣🏃🏃🏃Azuma 4 🙌🙌🙌unakufa hakyamamaUtaua watu wewe 4??
Vikiwa vimeandikwa 250mg unameza viwili. Ukiona kimeandikwa 500mg mega kimojaAsante,nimekuelewa kwa iyo nimeze vidonge viwili kwa pamoja Kila siku?
Anatafuta kifo, vidonge vinne ni sumu😆Eti 4
Jmn si atakufa!
Yaaa azuma inatibu vitu vingi
PowercefUmejuaje sio Chronic azuma ikigoma.jiandae na powersafe
Ukinunua dawa kama una swali lolote SI unamuuliza Pharmacist????Sasa mpaka ulete Jamii forums???? Uzuzu kiwango Cha lami huu🤔🤔🤔👆👆👆Nimeandikiwa na daktari 2x1 kama mnavyoona kwenye pichaView attachment 2851405
Hii ndio maana ya akili za kuambiwa changanya na zako,ushauri utafute mahali na kwa utaratibu unaofahamika na sahihi,ikiwezekana.Watu wamekariri ukitumia AZUMA una gonorrhea
Kifupi hutakiwi kutumia dawa bila kupata ushauri wa daktari au kupima afya.
Umemweleza kijana vizuri asirudie mchezo wake, kuna mwingine kamshauro amezr AZUMA 4 atakufa
Habari!Nimeandikiwa na daktari 2x1 kama mnavyoona kwenye pichaView attachment 2851405