Madaktari nielewesheni hapa natumiaje hii dose ya Azuma vipo vidonge 6

Ok,nimekupata kwa iyo nameza kwa pamoja viwili Kila baada ya saa 24?
Ko hujui matumizi ya dosage? Na umeandikiwa kabisa hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wee ni lofa, unajuaga kupinga ushoga tyuuh, akat hata dosage maelekezo ya matumizi hujui.

Aseeeeh noumaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…