Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kiswahili"Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni"
👆
Mkuu tz lugha yetu ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili"Tunapaswa kujivunia lugha yetu maana hatutaweza kuwa wabunifu kwenye sayansi kupitia lugha za kigeni"
👆
Mkuu tz lugha yetu ni ipi?
Ebo! Yashakuwa hayo?Mi nimeshajibu 😁😁😆😆😃
Kwenye #200 na #41..
Hapo kuna kitu kingine ila sio Kingereza..
Labda angeniambia Kule Temeke ENT ndo kuna wale maDr wachaga yule dada na jamaa wote Watu wa Marangu wale.."Mchaga na Kingereza wapi na wapi"...😀😀
Tulipokuwa Chuoni, kuna wakati alialikwa Prof. Anna Tibaijuka kuja kutoa mhadhara. Wakati wa kuchangia, nilishangaa mmoja wa lecturer wangu alipochomekea neno la Kiswahili kwa kusema"...the mferegi", kuashiria kuwa hakuwa na msamiati wa Kiingereza wa huo msamiati.Wakati nasoma Masters mwaka juzi tulikuwa na foreigners kadhaa darasani. Wale jamaa walikuwa wanapata taabu sana, lecturers wengi wao walikuwa wanafundisha kwa kiswahili. Discussion tunafanya kiswahili. Kwenye magroup matangazo ni Kiswahili. Bongo English kwa wasomi ni shida
Point ✅An advice, for a graduate, before receiving your paper, one has to pass through an intensive course in English, if he / she fails then "no degree ".
pole sana mkuu 😂Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.
Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.
Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma
Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku 🙌
Mheshimu Prof. mkuu.NDALICHAKO: You will stay ON THE SELO.
Why ayu playing wis ze gavamentiii!! Eeeehh! You!!! You are not sapozdii, go zea!
Cc: DR Mambo Jambo
Lamomy
dronedrake
Kwani wao kiingereza wanakijua vizuri au ni kile kiingereza cha kiarabu mambo ya guud morningii ..
Kifupi wamekutana wote hakuna anayejua kiingereza kwa ufasaa.
Sasa ilibidi kwa kuwa wamekuja huku kwa dharura tuwape short course ya kiswahili kwa miezi mitatu then tuwasambaze kwenye hizo hospitali hapo mambo yangeenda sawasawa.
😀😀😅😅Ebo! Yashakuwa hayo?
Shukrani, dawa ni kujenga urafiki na Ras Simba tu 🤗pole sana mkuu 😂
Tafuta hela....lugha utaajiri watuBro English imewatupa mkono ná dollars benki hawana Sasa wajameni ni nini mbaya
Kawafute waliokuweka.. Mimi sio mrusha roketi, mtafute wakumfuta mwiko ulio uchafua..[emoji23][emoji23][emoji23]Mambo yako Haya, chukua tishu ukajifute
[emoji3][emoji3][emoji3]Unaombwa kuleta teaser wewe unaleta scissors ilimradi mambo yafanane na wakati wa mnara wa babeli [emoji16][emoji16][emoji16]
Na wao hao uliowataja wakitaka wateja hapa kwetu watazungumza lugha gani?Mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje ya Nchi, mfano wateja wa south Africa atazungumza lugha Gani ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unayejua kiingereza hebu uandike huu uzi kwa lugha ya malkia basi...
Wachukue namba ili iweje?Hata kuchukua number za sim za watoto wa Ki Sudan mmeshindwa, daa mmeliabisha Taifa