Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ngeli ukiwa unaongea kimasikhara inapanda sana ila njoo kwenye ishu siriazi sijui huwa inapotelea wapi😂Shukrani, dawa ni kujenga urafiki na Ras Simba tu 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngeli ukiwa unaongea kimasikhara inapanda sana ila njoo kwenye ishu siriazi sijui huwa inapotelea wapi😂Shukrani, dawa ni kujenga urafiki na Ras Simba tu 🤗
Sasa unataka kunilazimisha kuwa na akili na mtazamo kama wako,kitu ambacho hakitowezekana,na kwa mtazamo ulionao ni ngumu sana Tanzania kuwa na mabadiliko kama vijana wenyewe ndio kama weweHuna uwezo wa kumvimbia mtu unayeenda kuomba hela kwake kila kukicha labda umvimbie mchovu mwenzako kama hao waarabu koko.
Hahaha........ ghafla unakuta Ung'eng'e unapotea automatic 😜Ngeli ukiwa unaongea kimasikhara inapanda sana ila njoo kwenye ishu siriazi sijui huwa inapotelea wapi😂
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi
Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.
Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.
Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.
Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.
Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.
Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.
So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.
Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
View attachment 2918900Unafikiri kingekiwa na tija wangepeleka watoto wao FWEZA kwa mamilioni ya pesa!
Unapotea kabisa, kuna jamaa yangu akilewa anaongea ngeli nzuri kabisa kimbembe ni akiwa mzima 😂Hahaha........ ghafla unakuta Ung'eng'e unapotea automatic 😜
😁😁😁😁😁😁ni wengi wako hivyo mkuu, fatiliaUnapotea kabisa, kuna jamaa yangu akilewa anaongea ngeli nzuri kabisa kimbembe ni akiwa mzima 😂
Pombe huwa inahusikaje?😁😁😁😁😁😁ni wengi wako hivyo mkuu, fatilia
Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake siwezi kukulazimisha jambo lolote,kuwa na amani ndugu.Sasa unataka kunilazimisha kuwa na akili na mtazamo kama wako,kitu ambacho hakitowezekana,na kwa mtazamo ulionao ni ngumu sana Tanzania kuwa na mabadiliko kama vijana wenyewe ndio kama wewe
Sijui kwanini watu wengi wakilewa uwezo wao wa kuongea English huwa unaongezeka kuliko akiwa hajalewa.Unapotea kabisa, kuna jamaa yangu akilewa anaongea ngeli nzuri kabisa kimbembe ni akiwa mzima 😂
Japo changamoto ya upatikanaji wa Passport umechangia wengi kutokwenda huko njeNdio mana ni ngumu wabongo kujaa kule london na US. Nigerians na Kenyans ndio wengi....sisi hata hizo nafasi kwenda kwa Diversity visa tunakimbia🤗
Hii tafiti naomba wataalam waifuatilie mara moja.Sijui kwanini watu wengi wakilewa uwezo wao wa kuongea English huwa unaongezeka kuliko akiwa hajalewa.
Kuna haja ya kuwauliza watu wa TBL Siri ya ku-inject English kwenye Vinywaji vyao 😅🤗
Kwa kweli 😅Hii tafiti naomba wataalam waifuatilie mara moja.
Wewe pimbi kweli, Yan kiswahili kifutwe kisaMwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz [emoji1241], hapa Nchi
Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.
Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.
Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.
Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.
Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.
Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.
So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.
Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
View attachment 2918900
Ni hatari, ogopaKwa kweli 😅
Dr. na wewe sasa😃😀😀😅😅
Watani wangu hao 😅😅
SahihiNdio mana ni ngumu wabongo kujaa kule london na US. Nigerians na Kenyans ndio wengi....sisi hata hizo nafasi kwenda kwa Diversity visa tunakimbia🤗
Hufundushiki kwani tulishawi kufundishwa kiingereza kwenye elimuHufundishiki, nani wa kulaumiwa?