Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Huna uwezo wa kumvimbia mtu unayeenda kuomba hela kwake kila kukicha labda umvimbie mchovu mwenzako kama hao waarabu koko.
Sasa unataka kunilazimisha kuwa na akili na mtazamo kama wako,kitu ambacho hakitowezekana,na kwa mtazamo ulionao ni ngumu sana Tanzania kuwa na mabadiliko kama vijana wenyewe ndio kama wewe
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900Unafikiri kingekiwa na tija wangepeleka watoto wao FWEZA kwa mamilioni ya pesa!
 
Ndio mana ni ngumu wabongo kujaa kule london na US. Nigerians na Kenyans ndio wengi....sisi hata hizo nafasi kwenda kwa Diversity visa tunakimbia🤗
 
Sasa unataka kunilazimisha kuwa na akili na mtazamo kama wako,kitu ambacho hakitowezekana,na kwa mtazamo ulionao ni ngumu sana Tanzania kuwa na mabadiliko kama vijana wenyewe ndio kama wewe
Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake siwezi kukulazimisha jambo lolote,kuwa na amani ndugu.
 
Hii habar sidhani kama Ina ukweli, lugha ya kiingereza inayotumika hospitalini ni tofauti na lugha ya kiingereza inayotumika mahakamani nk, Dr aliyekaa miaka 6 akisonea fani yake hawezi kushindwa kitu kidgo kama hicho labda kama hao ma intern walikuwa wanahitaji kutongozwa ila kama ni lugha ya kazi hapana.
 
Unapotea kabisa, kuna jamaa yangu akilewa anaongea ngeli nzuri kabisa kimbembe ni akiwa mzima 😂
Sijui kwanini watu wengi wakilewa uwezo wao wa kuongea English huwa unaongezeka kuliko akiwa hajalewa.

Kuna haja ya kuwauliza watu wa TBL Siri ya ku-inject English kwenye Vinywaji vyao 😅🤗
 
Ndio mana ni ngumu wabongo kujaa kule london na US. Nigerians na Kenyans ndio wengi....sisi hata hizo nafasi kwenda kwa Diversity visa tunakimbia🤗
Japo changamoto ya upatikanaji wa Passport umechangia wengi kutokwenda huko nje

Ukitaka kuamini hili, jaribu kuuliza members humu ni wa ngapi Wana Passport? Wengi hawatakuwa nazo.

Japo pia uthubutu umepungua miongoni mwa WaTanzania wengi.

Miaka ya 90 hadi 2000 mwanzoni, Wabongo wengi walienda Ulaya na Marekani, miaka ya hivi karibuni hali imekuwa tofauti
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz [emoji1241], hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
Wewe pimbi kweli, Yan kiswahili kifutwe kisa
 
Back
Top Bottom