Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Kuna mwl wangu advanced level alikua anfundisha kingereza tena shule private. Ila alikua empty set with no element inside the cycle. Alikua anachanganya past tense kuwa future future kuwa present yaani ni mvurugano Kama makande
 
Kuna mwl wangu advanced level alikua anfundisha kingereza tena shule private. Ila alikua empty set with no element inside the cycle. Alikua anachanganya past tense kuwa future future kuwa present yaani ni mvurugano Kama makande
Tuna mlima mrefu wa kupanda kwenye hii Lugha ๐Ÿ™Œ
 
Hawa madaktari ndio wanaouwa watu kila kukicha kwa kukosea herufi kwenye dawa na pharmacy wanatoa tofauti kabisa
Acha tufe tu maana ndio tumeamua hivyo
 
Ukweli upo sana, hata engineers. Yani inshort watu wa sayansi na kielizabeth ni maji na mafuta kwa asilimia kubwa. Waliosoma na hawa watu au kuwa nao karibu wanajua. Ila shule nazo kama zinachangia. Yani mi wa kidumu na mfagio naweza kuwa nabonda sana masomo yangu ila kwny hiyo lugha nakua kama sisimizi. Ila wa school bus analitema vzuri mno mana ni lugha mana kwake kila muda anaitumia.
 
Mechanism hapo itakua kwenye ubongo, ndomana hata kutembea huwa ni kwa kuyumba yumba mana sehemu ya ubongo inayohusika na kazi hizo mfano kuongea na kutembea huathirika......nadhani iko hivo mkuu....layman language hii usitie maanani sana
Ad kuyumba kunategemea ubongo?
 
Ummy na naibu wake DK i love ๐Ÿ’• sa100 na anaweza kutema Yai ๐Ÿ˜‚ ?
 
Kiingez
 
"Tunaferi" ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ