Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enhee endelea mkuu.Spinal cord
kumbe Mkuu na wew ni Dokita 😀Spinal cord
Maelezo ya vipimo gan mkuu?Maelezo ya vipimo yanasemaje mkuu
kumbe Mkuu na wew ni Dokita [emoji3]
Pole, nilikuwa busy kwa hivi karibuni.
asante mkuuPole, nilikuwa busy kwa hivi karibuni.
Hii, ni kazi ya wataalamu wa Radiolojia, ingawa daktari wa kawaida husoma basics za kuaoma X-ray pia.
Nimeipeleka kwa wataalamu huaika na majibu nitamupatia wewe bonafsi, kwani ni kipimo chako.
Normal kivipi mkuu?Hiyo ipo normal thread closed.
Ndio uboya huo. Tushasema madaktari bongo msiwe na bei ndogo hivyo. Kesho mnaanza kusema bongo udaktari haulipi, mnataka mtoe consultations hadi Jamiiforums ili muonekane watabe. Kwanini asiende kwa daktari aliyepo karibu naye.Maelezo ya vipimo yanasemaje mkuu