Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Papai zima avae pampas kbsKupata choo Kwa shida inasababishwa minyoo lakini pia tatizo la kutokunywa Maji ipasavyo na kutokula matunda.
Nakushauri njia sahihi ya wewe kupata choo haraka ni kula Tunda la Papai.
Kula Papai zima halafu kesho njoo ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni ๐
Na parachichiKula papai kwa wingi
Naam!Na parachichi
Tumia suppository kama Hydrocortisone au Bisacodyl. Unaiingiza kule nyuma kwenye annusMadaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Kunywa kinywaji kimojawapo kati ya hivi sungura, eagle, safariNaishi hivi Kwa Miaka miwili sasahivi nikitafuta suluhisho.
Hivi vinafanyaje kaziKunywa kinywaji kimojawapo kati ya hivi sungura, eagle, safari
Utapata tu kuwa mvumilivu au kama unapanga hapo hamaMkuu papai nakula Sana na mwanzoni niliweka tumaini kwenye papai lakini sioni matokeo.
sio dokta huyuDr Restart kuna mtu anataka kupata choo hukuuu
WaulixeEbu tuwaulize nilisema lini๐
Kumbe ni tapeli?๐ค mbona huwa ananipa ushauri wa kitabibu๐sio dokta huyu
Waulixe
wiki mkuu hiyo ni tatal constipation, vipi kuhusu kujamba unaweza kuachia mishuzi?Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
๐๐๐๐