Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

Kupata choo Kwa shida inasababishwa minyoo lakini pia tatizo la kutokunywa Maji ipasavyo na kutokula matunda.

Nakushauri njia sahihi ya wewe kupata choo haraka ni kula Tunda la Papai.

Kula Papai zima halafu kesho njoo ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni 😜
Papai zima avae pampas kbs
 
Back
Top Bottom