DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Inawezekana ukawa sahihi kuwa nilikosea, lakini kitu ambacho hauko sahihi ni kwamba mimi nina chuki na MDs wenzangu, wala sina sababu ya kuwa hivyo. Kumbuka hapo nilikua katika state ya ugonjwa, na nilikua nawaza mambo mengi hasa ukizingatia kuwa mimi ni daktari pia, so nina idea ya nini kinaweza kuwa kinaendelea mwilini mwangu na kuwaza mengi what could go wrong na mambo mengi sana, plus I was very disappointed. So, inawezekana siku act rationally. Sina sababu yoyote ya kuwa na chuki na mtu ambae hata simfahamu. Uko sahihi kuwa nilipoteza opportunity ya kumuelimisha yule kijana, lakini ni kwa sababu ya mazingira ambayo nimeyaeleza, na wala si chuki.
 
Kwa mda ulioenda haukutakiwa kulaumu mtu almost ni asubuhi Kwa vituo vyetu mtoa huduma ni uyo tangu saa 9 mchana
Lakini kuficha identity pia sio swala zuri unajua kitu share ili kuboroesha huduma
Hawana shift?

Unataka kusema watu waliozidiwa usiku imekula kwao sababu madaktari mida hiyo hawana ufanisi?
 
Aliniambia binti yangu ambaye ni daktari, '' Baba usiende kwa madaktari vijana, hawa walisoma ili wapate vyeti sio kuelewa''. Na mimi nakubaliana nae kabisa. Bora nitibiwe na nurse mtu mzima kuliko kutibiwa na daktari kijana.
It's true!
Wakati mama angu anakaribia kustaafu;akiwa wodini na hao internship wa kutoka UDOM ,aisee si akakuta dada anachanganya dawa(Ile ya unga ya sindano) na maji ya uhai 😳...wakati zile Zina maji yake ya kuchanganyia....
Ndo mama anamuuliza,ndo mnavyofundishwa? Hana la kujibu ...
Ilibidi mama angu afanye mwenyewe Ili kumchoma sindano huyo mgonjwa!
Km huna Dr ,nesi unaemfahamu vzr kwakweli ni balaa
 
Sasa kama hospital haina distiled water?
 
Siku hizi madaktari wanageralize ugonjwa from a certain sample of diagnosis...

Vipimo navyo fake..
 
Una mikojo michafu lakini tena bado unameza madonge yenye sumu!!!

Watu huwa mnajitakia kufaa!!
 
Pole Sana kaka,Kuna hospitali moja nilitaka kuwashitaki maana Ni hispitali ya kubwa tu mkoani walinipimia mwanangu wakasema ana madonda kumbe ni uongo,ikabidi nipoteze pesa nyingi kwa kuutafuta ukweli pengine ,nikagundua Hana nilichoka kabisa,Mungu tu atulinde.Nisingekuwa makini mwanangu angetumia dawa ambazo zingeleta shida badae licha ya kuwa alitumia kwa mda Ndo nikashituka.
 
Unakutana na nesi wa kiume kama rikiboy , lazima ukufe haraka sana.

Muda wote anawaza papuchi na kudinya.
 
Aiseee...

Tumetengeneza madaktari vilaza.
 
Mwanangu juzi kapewa midonge ya vidonda vya tumbo.. nimeitupa hukooo...
 
Aliniambia binti yangu ambaye ni daktari, '' Baba usiende kwa madaktari vijana, hawa walisoma ili wapate vyeti sio kuelewa''. Na mimi nakubaliana nae kabisa. Bora nitibiwe na nurse mtu mzima kuliko kutibiwa na daktari kijana.
Nimekumbuka kuna bibi mmoja alienda clinic kwenye hospitali moja ya rufaa.
Huwa anasumbuliwa na tatizo la moyo na matatizo ya viungo.
Siku hiyo alikutana na Daktari kijana.
Baada ya kumhudumia na kumwandikia dawa akamwambia; nanukuu: -
" Bibi siku nyingine ukijisikia vibaya usije tena hospitali! Nenda tu kwenye duka la dawa ununue dawa zako".
Hii kauli ilimkatisha sana tamaa huyu Bibi; anaona kama daktari ameshamwona kama kutokana na umri wake mkubwa asubiri tu hatma yake. Hana haja ya kwenda Tena hospitali!!
 
Pole sana, ni kweli watu wengi sana tunakunywa Dawa ambazo haziendani na ugonjwa husika, Mungu atusaidie tu maana ni hatari sana.
 
Hawa ndo wale sekondari wanauliza kozi gani chuo ni rahisi kupata boom na ukimaliza unapata kazi fasta...... Kuna wengine wapo huko sio kwa kupenda hio kazi
 
Hizo dawa ulimnunulia wewe ukamuwekea ndani??

Rudia kusoma ulichoandika hapo mwisho mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…