Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ndo maana viongozi wetu wengi wanaogopa kutibiwa hapa bongo maana wanajua madaktar wetu walivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dogo yuko Mloganzila yeye ukimweleza tatizo kazi yake ni ku-google ndo anakupa majibuSasa wewe MD ulishindwa hata jua tatizo linalokusumbua kabla hujaenda huko zahanati?
Kingine
Madaktari wengi vijana hawana uzoefu
Sasa utajifanyia diagnosis ugenini?Swala sio mganga hajigangi.
Swala ni kuwa unaweza jua tatizo kwa kuhisi tu maana tayari wewe ni daktari unajua kabisa kuwa hapa tatizo ni hili na lile na sio swala la kuona pulse rate au kutumia steto kusikiliza mapigo ya moyo na sauti.
Mi si daktari ila huwa naweza fanya diagnosis ya mwenyewe.
Kama matatizo ya moyo unayo maana yake utakuwa na dawa ndani.
Unamuonea tu daktar wa watu ila vitendea kazi ulijiridhisha kuwa vipo ? Health center zina uhaba wa vifaa , so shukuru hata alipo doubt BP kama diagnosis yake , mwisho wa siku ww kama daktar inabidi ujue wap kwa kwenda kulingana na case yako maana naamin lzm kichwan unakuwa ddx zako , kwenda health cente alitakiwa afanye hvyo commonerNaandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
KbsSasa wewe MD ulishindwa hata jua tatizo linalokusumbua kabla hujaenda huko zahanati?
Kingine
Madaktari wengi vijana hawana uzoefu
Hadi hapo inakuwa ni uongo, privacy ya kitu gani kwamba wewe pekee ndo mgonjwa hospital nzima?Mkojo ulikuwa dark brown, hii hospital ipo sehemu ya wenye nazo[emoji383]. Sitaji jina kwa sababu za privacy.
Hamaanish kujitibu , ila ww km dr lzm uwe na ddx zako ambazo zitakuguide uende wap kupata huduma nzuriKuhisi sawa.
Ila hadi kufikia hatua ya kujitibu mwenyewe, hapana. Sijawahi kuwa na tatizo la moyo kabla.
Nilishahisi shida ni moyo, ila nilitaka mtu mwingine ani examine na kufikia conclusion na kunishauri cha kufanya. Huwa hakuna kitu sipendi kama kujitibu mwenyewe, unless labda kama sina option kabisa. Tena ugonjwa wa kuhusu moyo, siwezi hata kujaribu kujitibu.
Swala sio kujiganga unatakiwa ujue hali ya mwili hata kwa kusikia tuMganga hajigangi mzee
Ndo maana nimesema kuwa mtoa mada alitakiwa ajue tatizo lake kabla hajaenda hospital.Kuna dogo yuko Mloganzila yeye ukimweleza tatizo kazi yake ni ku-google ndo anakupa majibu
Usikariri sasa kuna kada madaktar wapya ndo bora kulingana na mitaala mipyaAliniambia binti yangu ambaye ni daktari, '' Baba usiende kwa madaktari vijana, hawa walisoma ili wapate vyeti sio kuelewa''. Na mimi nakubaliana nae kabisa. Bora nitibiwe na nurse mtu mzima kuliko kutibiwa na daktari kijana.
Vifaa pekee alivyohitaji ni mikono yake, stethoscope pamoja na Manual BP machine, ambavyo vyote vilikwepo mezani kwake niliviona.Unamuonea tu daktar wa watu ila vitendea kazi ulijiridhisha kuwa vipo ? Health center zina uhaba wa vifaa , so shukuru hata alipo doubt BP kama diagnosis yake , mwisho wa siku ww kama daktar inabidi ujue wap kwa kwenda kulingana na case yako maana naamin lzm kichwan unakuwa ddx zako , kwenda health cente alitakiwa afanye hvyo commoner
hata huko mambo ni haya haya, nilienda yakanikutaSasa hivi naona bora nikapange foleni serikalini hukoo kuliko hizi private utopolo mtupu
Nakubali mkuu.Ma MD wengi wa miaka hii, wako substandard na wamejaa ego ya kishamba.
Kwa kifupi ni ma CO waliochangamka tu, uwezo wao unatia shaka sana.
Ukiweza katibiwe na specialist tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni yakoShida ya kumeza Viagra halafu demu asije ingeweza kukuletea tatizo kubwa sana la moyo.
Hahahahaha...!! Nani kakwambia mitishamba haina sumu mkuu?Basi muwe mnakuja kwetu kwa nadikta wa mitishamba dawa zetu hazina sumu
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani pia.Tatizo ambalo halipewi uzito au halisemwi especially kwenye kada ya Afya ni hili hapa wengine watasema.
Tuna watoa huduma ambao wamekata tamaa sana na wako stressed sana.. jamii/familia ndugu wanahisi mtu kuwa Dr anapata pesa nyingi sana hata jamii ime-set standard flani kwa mtu akisema yeye ni Dr basi wanajua/wanategemea awe mambo safi financially.
Bahati mbaya kabisa hata wenyewe(Drs, Ns, Phm etc) kipindi wanasoma since grass root waliamini wakifika level hizo .. mambo yao yatakuwa super ... miaka 20imepotelea darasani with high expectation .... Akija kitaa anakutana na mshahara kiduchu ... bellow 1M ... anakutana na tegemezi ya nguvu.
matokeo yake anaenda kazini kutimiza muda wake tuu arudi mtaani akanywe bia.
Hili eneo linahitaji kusoma kila siku ili uendelee kutoa huduma iliyo bora ... changamoto iliyopo nani asome kila siku na majukumu mengine yanamngoja ,.. kwanza anatakiwa atafute pesa nje na eneo lake la kazi ...
Matokeo yake Graph ya uelewa wa conditions huzidi kushuka unabakiwa na shule ya kuegesha mixer uzoefu....
NB. Ni kweli kuna baadhi ya mazingira unaona kabisa hapa huyu jamaa hii condition haijui na anakomaa bila kumpeleka mgonjwa sehemu nyingine akapate msaada....
BTW huku JF/mitandaoni hakuna pongezi kwa Drs, Nurses, Pharmacist na watoa huduma in general .. huku zinakuja lawama tuu .. are u expecting your son & daughters to be alien?
Had more than 500ops in my hand ... kama kuna apreciation ni hawazidi 10.
Any way mimi napenda attitude ya vijana wanaokuja kwenye Game ... hela, hela, shule kidogo ha ha haaa..
Nimesema kuwa nilitoka hospitali hapo health center saa 11 alfajiri, hadi nafika home ni around kumi na mbili kasoro, hakukua na suala la kulala tena hapo.Mwanzo alishindwa kulala lkn baada ya tukio akapona kabisa. Sasa sijui ni ugonjwa gani mkali hivyo na ukipona bila dawa
Njooni kwetu madokta wa mitishamba hatuna mbambamba