Tetesi: Madaktari walio Internship Kutolipwa Posho kuanzia Mwaka Huu

povu la nini idara nyingine wakiwa field wanalipwa?? tena bora mmepewa chakula na malazi
Nimegundua kuna watu mnachangia hii mada ila either hamuelewi tofauti ya field na intern au mnafikiria kwa kutumia makalio, nahisi hata hao wakubwa zenu waliotoa wazo hili hawaelewi maana ya intern doctor.
 
Kama ni kweli mi inaniuma sana aisee hata sielewe tunakoelekea Ila tumwachie MUNGU maana sasa unafiki umetamalaki[emoji34]
 
Soon watu watakuwa wanakufa taratibu tu kumbe mmewaudhi Madaktari. Mtachomwa sindano za sumu bure, kila siku mnashughulika na Madaktari tu hakuna watumishi wengine?
 
Kama mihimili ya dola haidhibitiani,haya ndio matokeo yake
 
Nina mashaka na Wewe kama ata shule ulienda walimu wote wanapoenda field kila mwisho wa mwaka wa masomo hupewa pesa kiasi cha 620000/= kila mmoja. Hivyo hivyo kwa madaktari wanapokua chuo wanapoenda field hupewa pesa kiasi hicho hicho na hii ni kwa kozi zote kwa mtu ambae amepewa mkopo na loans board hupewa hiyo pesa kila mwisho wa mwaka wa masomo kwa madaktari wao huanza kupewa hiyo pesa ya field mwaka wa tatu.
Lakini tunapokuja kwenye swala la internship ni tofauti kabisa na field maana yake ni mafunzo kazini kimsingi unakua ushamaliza chuo na unatakiwa kuajiliwa na ktk kada ya udaktari huwez kuajiriwa bila kupitia intern kwa sheria za udaktari huwez ruhusiwa kufanya kazi bila kuwa na leseni kutoka bodi ya madaktari ambayo hutoa leseni mpaka utakapo maliza intern. Hii ni tofauti kabisa na ualimu unaoulinganisha na udaktari.

Naruhusu kurekebishwa
 
Ficha upumbavu wako,yani mtu asome miaka mi5 bado umpangie sehem ya kufanya kazi? Tumia akil yako kufikiri.
 
Ahahaha nani amekuambia kuna nchi inayojitegemea bila kukopa? Yani mtu asome miaka mitano halafu afanye kazi bila ya kupewa posho? Acha utani na maisha ya watu.
 
Eeee "wasilipwe tu maana "hatuwataki"" sisi tunataka kazi tu....
 
Hii ni taarifa ngumu kwa jamii ya Tanzania wengi wana kumbuka maafa yanayotokana na madai ya stahiki za hawa jamaa!
Labda mtoa mada ulete source ya habari hii tusije kutokwa na povu la mdomo kumbe ni tetesi tu!
 
Ila hizi ni tetesi,kwanini GT tuko busy kujadili tetesi
 
Kuhusu kuugua; Serikali inaweza kuwadhamini kujiunga na NHIF; kuhusu vocha serikali inaweza kuwaruhusu kutumia simu za ofisi ama za majumbani watakapokuwa wanakaa kwa utaratibu maalum..kumbuka internship haina likizo..;....: Wewe majibu hayo yanakutosha ingawa unajitahidi sana kutumia lugha ya kuudhi.
Hawa wakuu wa wilaya wapo kisheria/kikatiba. Lazima ubadili hivi vitu ndiyo utaweza kuondoa nafasi hizi. Tumia utaratibu uliowekwa kurekebisha hili ndipo VX v8 za wakuu wa wilaya zitapotea. Ni makosa kusema intern anafanya kazi kama punda, pale anakuwa kwenye mafunzo ya kusaka uzoefu. Hilo ndilo hasa lengo la internship ndio maana kunakuwa na seniors kumuelekeza. Kwa maneno mengine anakuwa bado mwanafunzi. Au unataka serikali impe na mkopo wa kufanya interns? Sikuelewi ujue!?
mkuu hatuna sheria za kulinda haya, leo hii tuna sacrifice anakuja mwengine kesho anaanza mengine upya.
Hiki hasa ndicho cha kufanyia kazi...watu badala kuhimiza jambo la kuhakikisha mfumo unaimarishwa wao wako kwenye kutumia lugha chafu, kujadili wateuliwa, wanakimbia sehemu muhimu za kufanya maamuzi n.k
Kwanini walikuwa wanapewa boom walipokuwa Muhas il-hali kulikuwa na hostels? Mahitaji ya mtu mzima si accomodation na chakula tu. Madaktari interns wa kike hospitali zitakuwa zinawapa pedi na pesa za kusuka nywele?
Haya yote yanazungumzika tena kwa lugha ya staha...ni kiasi cha kujenga hoja. Serikali ina nia njema na watanzania.
 
Nimegundua kuna watu mnachangia hii mada ila either hamuelewi tofauti ya field na intern au mnafikiria kwa kutumia makalio, nahisi hata hao wakubwa zenu waliotoa wazo hili hawaelewi maana ya intern doctor.

we hutumii makalio utawalipa endapo itakaatwa
 
Huyu jamaa bana no wonder sikumpigia kura and never will I,ndo nini hiki
 
Ahahaha nani amekuambia kuna nchi inayojitegemea bila kukopa? Yani mtu asome miaka mitano halafu afanye kazi bila ya kupewa posho? Acha utani na maisha ya watu.
intern wanachokifanya kinaelekea kuwa na kile cha graduate wa sheria, au engineers wanaotaka 'uprofessional'. Kudhibitisha kuwa umeiva katika fani...! Ni kweli unakuwa unafanyakazi lakini katika usimamizi ...!!
 
Mbona madactar wameandamwa sana kwani secta zingine hazipo? Mbona hatusikii wakasema wanajeshi?
Wanajeshi hawana kazi hata kwny usafiri wa umma wanatembea bure ila hawaguswi,udaktari ni very sensitive aisee, tutatibiwa na nani
 
intern wanachokifanya kinaelekea kuwa na kile cha graduate wa sheria, au engineers wanaotaka 'uprofessional'. Kudhibitisha kuwa umeiva katika fani...! Ni kweli unakuwa unafanyakazi lakini katika usimamizi ...!!
Kwahiyo wasipewe posho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…