Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

Na mnavyojidai nyie half cooked ngedere nyie, fani ya hovyo sana mnabuni tu huko mahospitalini, hamna huruma kama hamtakufa vile.

Na mkome nyie ngedere
 
Hapo kuna sentensi imeomba kufutwa kwa mtihani watu wamalizapo internship wapewe leseni kama hapo awali
Pakua hizi
Hiyo barua yenu mbona ina typographical errors kibao hadi inatia shaka hata mnachokipigania wataona kama nyie ndio mna tatizo je hamkuwa na mtu wa kufanya proofreading before hamjasubmit?
 
Mnafaulu wengi sana, inabidi wawakazie kama Law School. Intake moja wafaulu watu 22 au 25 tu kati ya hao 600.
 
Kwanini hao wengine wamefaulu nyie mmefeli?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wamefaulu kwa sababu waliokuwa na nafasi ya kujisomea, Ili uweze kufaulu mtihani wao basi ni lazima upuuze practice. Kama ukiamua kuacha kuasaidia wagonjwa wakati wa internship, ukiamua kukwepa kufanya clinical rotations wakati wa internship na kutokuzingatia kukutana na wagonjwa na kuwawekea maana na nguvu zako ukaziamishia kwenye kujisomea utafaulu. Elewa hivi, wakati wa internship ndio wakati pekee wa daktari kukuza uwezo wake wa kutibu. Kwa Daktari mwenye upendo na taaluma yake atalazimika ajikitete kweli kweli kwenye kuhudumia wagonjwa akiwa na jopo la madaktari Ili aweze kuwa bora ndio sababu utasikia kunamadaktari wanalala hospitalini, hao ni internship wanaopemda kujua kutibu. Wakati wa internship ni wakati wa kujifunza kupractice nasio wakati wa kujisomea Ili ukimaliza tu in internship ukafanye mtihani. Ni vyema ukaelewa hoja ya madaktari sio kukataa kufanya mtihani ila mtihani ufanyike kwa wakati sahihi sio wakati wa practical uletewe theory Ili hali ulikuwa ukipractice. Kwa upande wa taaluma ya udaktari huwa kuna shuke ya Clinical/practical na ya theory, Sasa uhuni wa MCT ni kuleta mtihani wa Theory wakati watu wametika kupractice. Sasa Ili ufaulu theory yao utalizimika usiwe Bora katika kujua kutibu maana ukijikita kujifunza kutibu na kuisaidia wagonjwa basi utakosa muda wa kujisomea na ukimaliza tu mtihani wao huu hapa na hivyo huts weza kufaulu kwa sababu ulikuwa busy kujifunza na kusadia kutibu wagonjwa. Watu wanaofaulu ni wale wanaopata muda wa kujisomea, wengine wanabahatika wakimakiza internship wanapata muda wa miezi miwili kujisomea wengine hapatati kabisa na wengine wanajikuta wanafanya ujasiriamali kwa miezi 8 ndipo mtihani unamfikia na ukimfikia anajikuta kichwani aubobezi wa ujasiriamali kwa sababu hakupewa nafasi ya kuendeleza ufanisi wa taaluma yake
 
Tusilete siasa kwenye mambo ya msingi. Restructuring ya MCT inatakiwa Yes, lakini na wao wanafunzi wasome kwa bidii wafaulu hio mitihani.
 
Hatuungi wala hatusemi mtihani ufutwe, mtihani ujue nyakati na mtihani ufanyike baada ya mtu kumaliza chuo na si vinginevyo. Muda sahihi kwa mtihani wa MCT ni baada tu ya mitihani ya chuo na kabla mtu ajaapa kuwa dakatari
 
Mtihani unaokuwa na massive failure kwa watu wanaofanya kazi kama interns wa udaktari unamaanisha failure ipo kwenye watoa mtihani.

Kati ya watu 300 kuna watu wa kila aina, kwa nini kuna massive failure?

Nchi yetu ina tatizo kubwa sana la kukosa madaktari, kwa mujibu wa World Health Organisation, kiwango cha uwiano wa daktari mmoja kwa idadi ya watu anaowahudumia ni 1:8000, kwa Tanzania, uwiano huu ni 1:20,000 , karibu mara tatu zaidi ya kiwango kinachotakiwa, tunahitaji madaktari mara tatu zaidi ya tulionao, kwa nini wanabaniwa hivi? Maana mimi naona hii ni kuwabania tu. Hawa watu wamesoma Utabibu mpaka kufika hapo si vilaza. Kwa nini kuna massive failure?

Au ndio ule utamaduni wetu wa "wakifeli wengi ndiyo elimu inakuwa nzuri"?
 
Hatuungi wala hatusemi mtihani ufutwe, mtihani ujue nyakati na mtihani ufanyike baada ya mtu kumaliza chuo na si vinginevyo. Muda sahihi kwa mtihani wa MCT ni baada tu ya mitihani ya chuo na kabla mtu ajaapa kuwa dakatari
Una point mkuu, ikiwa mtihani unatolewa hivyo, basi unaelekea kudhalilisha kada ya udaktari.

Unatibiwa na mtu, halafu unaambiwa huyu kashindwa MCT, hutataka kumuona tena!

Matokeo yake unaenda kwa mganga wa kienyeji sasa.
 
Mkarudie mitihani na msome ,kama wanafaulu 300 kwenye 600 nawashauri wakaze zaidi hiyo idadi ni kubwa ,Law school wanafaulu 30,Afya zetu ni muhimu wakaze kweli kweli.
Rejea comments zote utajifunza kitu.
Kwanza ni vyema ujue huo mtihani hauna uwazi ukifaulu na ukifanyiwa hujuma huta jua. Dr Mzava anasema ukifeli umefeli na ukifaulu vizuri umefeli, Sasa Je huoni wanaofeli ni wale walio na uwezo mkubwa ila wamefeli kwa sababu ya uwezo wao mkubwa? Wewe unaachaje kuamini kuwa mtu akifeli mara ya kwanza, mara ya pili atajiandas kwa usongo na hivyo atafaulu vizuri na akifaulu vizuri kwa mujibu wa Dr Mzafa atafelishwa kwa mtihani kwa sababu watakuwa namashaka nae kwa nini amefaulu vizuri? Tena ukikata rufaa huta jua ni kwa nini umefeli...

Wengu wamefaulu kwa sababu waliokuwa na nafasi ya kujisomea, Ili uweze kufaulu mtihani wao basi ni lazima upuuze practice. Kama ukiamua kuacha kuasaidia wagonjwa wakati wa internship, ukiamua kukwepa kufanya clinical rotations wakati wa internship na kutokuzingatia kukutana na wagonjwa na kuwawekea maana na nguvu zako ukaziamishia kwenye kujisomea utafaulu. Elewa hivi, wakati wa internship ndio wakati pekee wa daktari kukuza uwezo wake wa kutibu. Kwa Daktari mwenye upendo na taaluma yake atalazimika ajikitete kweli kweli kwenye kuhudumia wagonjwa akiwa na jopo la madaktari Ili aweze kuwa bora ndio sababu utasikia kunamadaktari wanalala hospitalini, hao ni internship wanaopemda kujua kutibu. Wakati wa internship ni wakati wa kujifunza kupractice nasio wakati wa kujisomea Ili ukimaliza tu in internship ukafanye mtihani. Ni vyema ukaelewa hoja ya madaktari sio kukataa kufanya mtihani ila mtihani ufanyike kwa wakati sahihi sio wakati wa practical uletewe theory Ili hali ulikuwa ukipractice. Kwa upande wa taaluma ya udaktari huwa kuna shuke ya Clinical/practical na ya theory, Sasa uhuni wa MCT ni kuleta mtihani wa Theory wakati watu wametika kupractice. Sasa Ili ufaulu theory yao utalizimika usiwe Bora katika kujua kutibu maana ukijikita kujifunza kutibu na kuisaidia wagonjwa basi utakosa muda wa kujisomea na ukimaliza tu mtihani wao huu hapa na hivyo huts weza kufaulu kwa sababu ulikuwa busy kujifunza na kusadia kutibu wagonjwa. Watu wanaofaulu ni wale wanaopata muda wa kujisomea, wengine wanabahatika wakimakiza internship wanapata muda wa miezi miwili kujisomea wengine hapatati kabisa na wengine wanajikuta wanafanya ujasiriamali kwa miezi 8 ndipo mtihani unamfikia na ukimfikia anajikuta kichwani aubobezi wa ujasiriamali kwa sababu hakupewa nafasi ya kuendeleza ufanisi wa taaluma yake
 
Maelezo mengi ya nini?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Utitiri wa vyuo vikuu binafsi unatuzalishia madaktari vilaza na hatari kwa maisha yetu. Wao lengo lao ni kutengeneza pesa, ada sh 10m kwa mwaka etc. Hivyo mitihani ya kitaifa kupitia MCT ni muhimu na ni bora vikawa kila mwaka wa masomo huko vyuoni, written and practical/ clinical
 
Una point mkuu, ikiwa mtihani unatolewa hivyo, basi unaelekea kudhalilisha kada ya udaktari.

Unatibiwa na mtu, halafu unaambiwa huyu kashindwa MCT, hutataka kumuona tena!

Matokeo yake unaenda kwa mganga wa kienyeji sasa.
Kinachoendeka leo nchini ni udhalilishaji mkubwa wa madaktari, tatizo watanzania wengi hawajui kada hii ya udaktari ndio sababu tunamuomba rais aingilie kati na atume nafasi tueleze mambo mengi ya ajabu ambayo ni aibu kuyaainisha hapa.

MCT wanadhakikisha madaktari na waadhalilisha Madaktari Bingwa wa hapa nchini kwetu. Ili mtu awe Daktari ni lazima aidhinishwe na madaktari Bingwa wasiopungu 50. Hawa ndio wanaompima dakatari anapokuwa internship na hawa ndio wanaosema huyu Daktari amefaulu vizuri idara yetu ya upasuaji na Sasa aende idara ya watoto, Daktari hata weza kwenda idara ya watoto kama idara ya upasuaji hakufanya vizuri, madaktari bingwa kila idara ndio wanaomfundisha, kumsaidia na kuuona uwezo wa Daktari katika idara na hao ndio wanaweza kumuongezea siku Daktari za kubakia katika idara yao baana ya kutambua kuwa bado hajawa na ufanisi Bora katika upasuaji. Mwisho wa kuzunguka idara zote na kufanya vizuri Madaktari bingwa ndio wanakutunuku cheti cha ufauruji wako wakithibitisha kwa Dunia yote kuwa wewe daktari Sasa unaweza kutibu, ajabu ni pale MCT anatunga mtihani bila kujua autoe lini harafu anasema huyu hawezi kutibu wakati alipokuwa ok internship ameokoa maisha ya watu wengu. Huko ni kuwadhalilisha madaktari na madaktari bingwa wa Tanzania yetu pendwa
 
Mkarudie mitihani na msome ,kama wanafaulu 300 kwenye 600 nawashauri wakaze zaidi hiyo idadi ni kubwa ,Law school wanafaulu 30,Afya zetu ni muhimu wakaze kweli kweli.
Huelewi, tafuta kuelewa na usilinganishe mafuta na maji eti kwa sababu vyote ni vimiminika. Ogopa sana kama hujuma itatawala kwa madaktari. Sikikiza na uelewe hoja za Madaktari kisha Pinga hujuma za MCT
 
Reja hoja za Madaktari na Rejea barua zote ninazokuwekea hapa, Mtihani wa MCT hauna ufumbuzi wa hayo unayoyasema. Mtihani wao ni hujuma. Ni hujuma kwa sababu madaktari wametibu watu na kuisaidia kurejesha afya za watu . Hawa madaktari tunaowaongelea hawata hizo changamoto ulizoziainisha na changamoto hizi hawahusiki nazo na zingewahusi wasingekuwa hapo wangekuwa wamerudia Clinical rotations na wengine wanngeshitakiwa. Changamoto ulizozianisha zinatokana na uzembe na uzembe hauwezi kutatukiwa na mtihani wa MCT. Rejea comments zingine. Soma hizo nilizo zi attach. Soma zote bila uvivu.
 

Attachments

Unaongea Yale Yale na unatakiwa kujua hizo 8hrs ni kwa hospital ipi? Hospital zote za Rufaa kasoro MOI wanawategemea internship kila kitu na kila wakati. Mtingo wa internship ni zaidi ya sounds watu wanatinga masaa 20 harafu wewe unasema 8. Harafu hakuna Daktari anaeweza kuwa bora kwa hospital zetu kwa kutinga masaa 8 wakati wa internship. Hii ndio sababu wanaofanyia MOI wanazingua ila kwenye mitihani ya theory wanaweza sana kwa sababu wana muda sana wa kuhisomea
 
Ila madaktari wa siku hizi wanafikirisha sana, mtu unamwelezea matatizo yako ye yuko bize na memes
Sasa hili haliwezi kudhibitiwa na mtihani wa theory wa MCT ndio sababu tunataka matatizo haya yatafutiwe njia sahihi ya kuyatatua na sio mtihani wa MCT
 
Hao wasipoteze muda, wawahi nafasi za masomo VETA.
Ni vyema ukaweka mizaha pembeni, kada hii ni muhimu sana kama sio Leo kesho utakutana na daktari, tafuta kuelewa changamoto walizo nazo na uwasaidei kusema Ili waweze kukuza ufanisi wao kesho ukikutana nao waweze kukuhudumia vyema
 
Haiwezekani huyu mtu kahitimu degree baada ya kusota miaka mitano, kafanya internship mwaka mzima bado hutaki kumthibitisha kufanya kazi za udaktari kwa kumwekea kamtihani kamoja ka mtego, hii ni kuwahujumu hawa vijana na kuwapotezea uwelekeo wa maisha bila sababu za msingi.

Sina hakika kama kwa sasa madaktari wanatosha nchi hii na Kwa mambo kama haya vijana watakwepa kusomea udaktari na kuongeza tatizo la ukosefu wa madaktari kuwa kubwa zaidi.​
 
Endelea kusoma, lakini pia MCT wana usiri mkubwa na hawana Marks za kueleweke. Emu soma na pita hizi attachment chini. Kinachotafuta na madaktari ni walau wapate leseni maana kama uweza wa kutibu wanao mkubwa Sasa hizo zingine zinaitwa ombaomba
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…