Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

Madaktari watarajali wamekuwa ombaomba Mtaani kisa leseni, wamuangukia Waziri Ummy Mwalimu na Rais Samia

MCT washikilie hapohapo.wakikubali kuingiza siasa tutakuwa na madaktari wa mchongo kama wanasheria wamchongo waliopo serikalini wanaotetea mkataba wa kihuni kati ya Tanganyika na dp world.
Ndugu yako aliyesoma miaka mitano kwa garama kubwa kutoka kwa mama/baba masikini akikwamishwa kupata Leseni ajiajiri/aajiriwe ndo utakuja kujua uchungu wake,maumivu wanayoyapitia hawa madogo ni maumivu makali sana,ni Bora kukaa kimya kuliko kuwakatisha tamaa,Dunia duara.
 
MCT washikilie hapohapo.wakikubali kuingiza siasa tutakuwa na madaktari wa mchongo kama wanasheria wamchongo waliopo serikalini wanaotetea mkataba wa kihuni kati ya Tanganyika na dp world.
Yule Feleshi sio kwamba hana akili kichwani au haelewi kuhusu huo mkataba, tatizo keshakula pesa ya mwarabu, hivyo inabidi aweke pembeni all reasoning na kuwa kama taahira hivi
 
Kwanza poleni kwa changamoto.

Pili siungi mkono kwenye wazo lako la kufuta huo mtihani kabisa kama ulivyodai , maana ninavyofahamu medical student yoyote ni lifelong learner ndio maana kunakuwepo na CPD.

Ushauri wangu ni uwepo utaratibu mzuri kuanzia setters , moderators , markers , final verifiers kila ngazi wawepo watu tofauti mtu asijirudie kwa huo mtihani kuondoa hizo rafu ambazo kweli zinaweza kuwa za kibinadamu au kwa makusudi.

Mitihani iko kwa kada zote za medical duniani wakishindwa waje wajifunze kwa wenzetu huku wa USMLE ambao una step 1 hadi 3 ambayo iko vizuri na ukipass umepass kweli na inafanyika online katika centers zinazotambulika.
 
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.

Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.

Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.

Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.

Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.

Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:

1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship

6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.

Ushauri na mapendekezo yetu.

1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.

3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.

Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?

Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?

Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.

Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.

Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni

Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.

Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.

Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Mtu mmoja, nafikiri ni Hitler, alipoulizwa kitu anachokiogopa maishani, alisema HAOGOPI CHOCHOTE ISIPOKUWA MITIHANI.

Mitihani si kigezo pekee cha kubaini uwezo wa mtu kitaaluma kwa sababu zifuatazo:
1. Mtahiniwa anaweza akapanick siku ya mitihani hivyo kupelekea kujibu ndicho sicho.

2. Kama watungaji na wasahihishaji wa mitihani ni watu wenye "roho zenye kutu", wanaweza kuwafelisha baadhi ya wanafunzi kwa makusudi. Inasemekana miaka ya nyuma, baadhi ya wahadhiri wa Vyuo Vikuu Tanzania, hasa UDSM, walikuwa wakiona fahari pale wanafunzi wengi wanapofeli masomo wanayoyafundisha.

Kwa hiyo basi, Mitihani inapaswa kuwa njia mojawapo tu ya kumtahini mwanafunzi, tena iwe ni njia ya ziada.
 
"Our aim is not to train Angeles but to minimize mistakes"
Quote ya Professor Makene (R.I.P)akiwa Dean wa faculty of medicine UDSM ..(sasa MUHAS)wakati wa orientation week 1985.
 
Ila madaktari wa siku hizi wanafikirisha sana, mtu unamwelezea matatizo yako ye yuko bize na memes
 
Kwanza walifeli Sana Wanasheria pale Law School

Sasa tunasikia Madaktari nao Wamefeli Sana

Nakumbuka zamani pale NBAA ilikuwaga Hivi Hivi ikagundulika baadae hawakutaka CPA ziwe nyingi mitaani Eti thamani itashuka😂😂

Prof Mkumbo fanya mambo utengeneze Ajjra badala ya sapo

Mungu wa mbinguni atubariki!
 
Badala ya kuomba mpaka Warusi waje kuwekeza bora wakatuma vijana hata 10,000 duniani wakajifunze kutengeneza vitu kutokana na rasilimali zetu

Dunia inasonga na nchi nyingi zinafaidika kwa rasilimali zao kwa kuzibadili kuwa hela

Sisi sijui tunawaza nini
 
13
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.

Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.

Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.

Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.

Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.

Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:

1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship

6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.

Ushauri na mapendekezo yetu.

1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.

3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.

Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?

Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?

Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.

Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.

Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni

Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.

Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.

Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Yyy 3r45tt
 
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.

Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.

Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.

Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.

Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.

Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:

1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship

6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.

Ushauri na mapendekezo yetu.

1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.

3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.

Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?

Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?

Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.

Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.

Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni

Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.

Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.

Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
5
 
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.

Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.

Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.

Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.

Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.

Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:

1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship

6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.

Ushauri na mapendekezo yetu.

1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.

3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.

Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?

Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?

Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.

Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.

Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni

Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.

Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.

Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
56
 
Wanapofanya intern wanakuwa chini ya madaktari bingwa,wananolewa na kufanyiwa assessment kila idara na wakimaliza ndo wanapewa cheti Cha intern,why wafanye Tena msqs200 za theory wakati wametoka kupractice na wamepitishwa na madaktari bingwa wanaowasimamia??
 
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.

Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.

Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.

Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.

Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.

Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.

Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:

1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship

6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.

Ushauri na mapendekezo yetu.

1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.

3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.

Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?

Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?

Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.

Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.

Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni

Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.

Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.

Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Hapo kwenye standardization umeharibu mzee.
 
Nimesoma kuanzia juu hadi nilipofikia hapo uliposema mitihani isahihishwe upya halafu ifanyike standardization nikaacha.

Afya ya mtu haina standardization. Tatizo vyuo vya afya siku hizi vimekuwa vingi.

Matangazo kibao ya vyuo vya afya.Utasikia chuo kipo ghorofa ya sita jengo fulani...... Kweli?
 
Kuna uhusiano mkubwa sana katika ufaulu wa Form 4 na Form 6 tena masomo ya sayansi na kuja kusomea udaktari chuoni.Udaktari aubatishwi lazima ufaulu vizuri ndio upewe cheti uthibitishe na baraza la Madaktari Tanzania.Kuwa daktari sio kubatisha.
 
Sasa kama uwezo wao ni mdogo ilikuwa wakafaulu na kupewa hizo degree?
Swali chonganishi: Ni nini hasa kilichoisukuma wizara au MCT kuanzisha mtihani huo? Kuna kitu walikihisi kuwa hakipo sawa katka fani hiyo?
Maana Magu alivifungia vyuo vingi ikiwa ni pamoja baadhi vya Udaktari kwa kuwa na viwango hafifu. Pengine Mama hataki kuvifungia ila mkajipime wenyewe kabla ya kuingia kazini.
Swali la pili chonganishi: Kati ya hao waliofeli MUHAS ni wangapi?
 
Back
Top Bottom