DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Sisi wenye Master za Mchongo vipi 🤣🤣🤣Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.
Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.
Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.
Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.
Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.
Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.
Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.
Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.
Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.
MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Inaonyesha una dharau sana na taaluma za watu
Lakini inaonyesha taaluma hio unayoizungumzia huijui na wala haikuhusu ndio maana unaropoka ropoka tu
Misukule hutengenezwa kwa mifumo ya mwanga au mchawi ambaye ndio huendesha taratibu zote
Na kama umeona madaktari ni misukule basi wametengenezwa na serikali
Mikakati ya serikali kuboresha mafunzo kwa watoa huduma za Afya Tanzania inaionaje?
Vifaa vyenye teknolojia ya hali ya juu katika kugundua magonjwa na matibabu vipo?
Usiongee upumbavu na kukashifu watoa afya wakati ndugu zako , wewe na familia yako mnawategemea hao hao ambao mnawaona misukule
Masters za kupasua vibofu na viwiko.Na Sisi wenye Master za Mchongo vipi 🤣🤣🤣
Tuliozipata Canada na Brazil😅😅
Hawa wote ni madaktari siyo??
Hawa wote ni madaktari siyo??
Ila ngoja nikusahihishe kidogo kila Daktari na Fani yake kuna wanaodeal na Cancer wanaitwa Oncologists..Masters za kupasua vibofu na viwiko.
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.
Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.
Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.
Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.
Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.
Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.
Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.
Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.
Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.
MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Divisheni one za shule za kata wala hazimaanishi kwamba kweli mtu ana kipaji au akili.Kiongozi;
Naomba nikusahihishe kuwa, hakuna kozI yoyote ya Afya inayopelekea kutibu mtu unayoweza kusoma ukiwa na Chini pass 4 zikiwemo Chem, Bio, Phy na Maths (kwa hiyo ulicho andika sio sahihi)
Lakini pia, Nikutoe wasiwasi kuwa, Nimefuatilia data za miaka ya hivi karibuni waliochaguliwa kusoma kozi hizo ngazi ya Diploma ni wale wanye pass za juu sana (Div ONE) na ninauhakika hakuna mwenye Chini ya Div 3 amechaguliwa kwenye chuo chochote hata huko Private.
Kuhusu magonjwa ya Virusi
Wale waliosoma PCB (Form Six) wanaelewa vizuri kwa nini ni vigumu sana kutengeneza dawa ya Ugonjwa unaosababishwa na Virusi, sidhani hata kama ni suala la udaktari; pengine ni mtu mwenyewe uliye ongea naye
By the way; Sio kIla anayevaa Koti Jeupe ni Dactari (MD) hata hivyo huwezi kufanya Research kwa kuongea na mtu mmoja au wawili halafu uiite research.....
Hao oncologists kazi yao ni nini huko mahospitalini mbona kila ukienda wanakwambia kansa haina dawa??Ila ngoja nikusahihishe kidogo kila Daktari na Fani yake kuna wanaodeal na Cancer wanaitwa Oncologists..
Divisheni one za shule za kata wala hazimaanishi kwamba kweli mtu ana kipaji au akili.
Hizi ni maksi tu za kitanganyika ambazo ni kinyume na uhalisia.
Ndio maana unamkuta daktari ana divisheni one lakini anakwambia kansa haina dawa kwa sababu beberu hajaleta chanjo.
Usiombe ukutane na mwenye D MBILI halafu kavaa STETHOSCOPE!!! Alooooohhhhh
Mnapenda sana kujidekeza.Inaonyesha una dharau sana na taaluma za watu
Lakini inaonyesha taaluma hio unayoizungumzia huijui na wala haikuhusu ndio maana unaropoka ropoka tu
Misukule hutengenezwa kwa mifumo ya mwanga au mchawi ambaye ndio huendesha taratibu zote
Na kama umeona madaktari ni misukule basi wametengenezwa na serikali
Mikakati ya serikali kuboresha mafunzo kwa watoa huduma za Afya Tanzania inaionaje?
Vifaa vyenye teknolojia ya hali ya juu katika kugundua magonjwa na matibabu vipo?
Usiongee upumbavu na kukashifu watoa afya wakati ndugu zako , wewe na familia yako mnawategemea hao hao ambao mnawaona misukule
Ndo ninachosema.hata usilaumu mana wengi wao toka wakiwa mwaka wa kwanza wa udaktari Hadi kuwa maprofesa elimu bado n Ile ile na n mfumo kila mtu ameukuta