Madaktari wengi ni misukule walio hai

Porojo za daktari mwenye D MBILI.

Mimi ni zaidi ya daktari na lenzi yangu inafika umbali ambao wewe hauwezi kuufikia katika maisha yako yote ya sasa na yanayoweza kuwapo baada ya sasa.

Lenzi yangu ni witiri, mbonyeo na mbinuko kwa mpigo, wakati wewe ni msukule unayesubiri maagizo na waraka wa mabeberu ambao hauwajui wala kuwaelewa.

Coming back to the point, you have not advanced any watertight defense so far. Just garbages and cries to cover your failures and inabilities.
 
Narudia tena kukupa pole Najua Tabu na shida ya uncured disease..zinafanya mtu akose matumaini na pia stage zake ni tano wewe bado uko stage za mwanzo zile umaamini utakuja kupona..
 
Hata Kama unayosema yana ukweli.

Je nikweli madaktari ndio wakulaumiwa sio serikali na mfumo mzima wa elimu?

Unataka madaktari wawe nondo waingie deep wafanye researches nzito kwa bajeti zipi watu wanaolalamika maslahi hata kuwalipa hamjaweza ila mnataka matokeo makubwa.

Serikali ikiamua kwa nia ya dhati kuzalisha wahandisi, madaktari bingwa, wataalam bingwa kwe kilimo inaweza na inawezekana shida ni hamna nia ya dhati na ufinyu wa bajeti pamoja na usimamizi.

Hamna kinachoshindikana chini ya jua, ni utayari wa mamlaka na vipaumbele.
 
Mimi nilifikiri kazi ya wataalamu ni kutoa suluhisho, kumbe kazi yao ni kukueleza kwamba jambo fulani halina suluhu! Eboo!!
 
Sijazungumza kuhusu bacteria wala parasites. Hilo umesema wewe.

Nimezungumza kuhusu uwepo wa HEAVY METALS na TOXINS kwenye THYMUS and BONE MARROW.

Hilo umeliruka. JADILI.
 
Kwahiyo daktari anayetibu wanadamu ndio anahusika na kufanya utafiti wa madawa ya wanadamu??


Una akili timamu we kinabo?
 
Urongo.
 
Cancer ni nini?

FAFANUA KINAGAUBAGA NA KWA MIFANO HAI.
Haya sasa sikiliza nitajaribu kuelezea kwa ligha nyepesi sana ili unielewe..

Cancer ni hali inayotokea wakati cells za mwili zinaanza kukua na kujigawa kwa kasi (Fast meiosis and metosis "lakini kwa lugha ya pamoja tunasema metastasis" ) isiyokuwa ya kawaida.
Cells hubadili Ule Ukuaji wa kawaida na kwenda ukuaji ambao sio wa kawaida na hii hutokana na Mutation (Mabadiliko)..

Kwakuwa umesema unalima ngona nikupe mfano wa kulima..

imagine umepanda Zako Mahindi Shambani yakaota vizuri ila kwenye Kukua ghafla ukaanza kushangaa Siku mbili tu kuna mahindi yashafika kimo cha Mbwa mengine yamekuwa hayaeleweki na mengine badala ya kuwa kama muhindi yamekuwa manene kama Mbuyu na mengine yamekuwa kama maua saa sita N.k..

Sasa huo ndo mfano nilioweza kupata umaweza ukawa hauhusiani sana ila nimekosa cha kutolea mfano zaidi ila kwa kifupi ni Ukichaa wa cells tu kuanza kuwa na tabia mbaya za ukuaji ambayo mwanzo haikuwa nayo
 
You have a fantastic talent to reproduce what you have been taught, which is excellent, of course.

Haya utuambie, tiba ya kansa ni nini!
 
True.
Bongo ni history of science na si science.
Kama kazi kubwa ni kumezeshana historia ya sayansi hicho ni nini ?
Ni historia.
Wakusonga mbele sisi pia historia yetu tutaisogeza mbele.
Utasonga vp mbele bila kuijua historia ya ulipotoka?
 
Unategemea watu wanaoishi kwenye mfumo unaoendeshwa kwa siasa ndio wajisimamie wenyewe?
Likitokea tatizo wanasayansi wakifanya uchunguzi wakitaka kutoa majibu mwanasiasa anayacrush akiwa hana hata basic knowledge na watu wanamsikiliza zaidi kuliko mtaalamu mwenyewe.
 
Sijazungumza kuhusu bacteria wala parasites. Hilo umesema wewe.

Nimezungumza kuhusu uwepo wa HEAVY METALS na TOXINS kwenye THYMUS and BONE MARROW.

Hilo umeliruka. JADILI.
Ok umezungumzia kuhusu Heavy metal sio..
Sasa hiyo ni just A Risk factor tu na sio chanzo cha ugonjwa..

Unajua kwanini?
Ndo kile nilichosema mwanzoni carcinogenic properties au carcinogenic effects..

Na sio Heavy metal zote na Toxins zinawezeza kuwa na risk factor za kupata Cancer..
Ni chache tu zilizo na Carcinogenic properties ambazo ni arsenic, cadmium na lead..

LaKini si kila mtu anayekuwa exposed na Lead anapata Cancer..

Kwa mfano Risk factor za Mtu kupata Kisukari ni Unene Lakini sio kila mtu mwenye unene ana kisukari..
Sasa sjui umenielewa
 
You have a fantastic talent to reproduce what you have been taught, which is excellent, of course.

Haya utuambie, tiba ya kansa ni nini!
Sasa Turudi kwenye Mazao..
Vipi hayo mahindi utayafanyaje yaweze kurudi sawa ili yasiharibu mahindi mengine?

Ukinijibu hapa tutaenda sawa
 
Kuandika ukweli ni kwamba Tanzania taaluma na uweledi hauthaminiwi kabisa.
Si madaktari.
Si walimu.
Si wahandisi.
Si watafiti.
Si wanafedha.
 
Heshimu taaluma za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…