Madaktari wengi ni misukule walio hai

Madaktari wengi ni misukule walio hai

Mwanzo wa andiko langu nimetoa TAFSIRI ya neno DAKTARI.
Tafsiri ya daktari kwa ulivyoandika ni MISUKULE, ndivyo ulivyodefine hilo neno.

Mada nzito namna hii inahitaji details, sio kila mwanasayansi ni daktari ila madaktari wote ni wanasayansi. Nakubaliana na wewe kuwa kada nyingi nchini tumeshindwa kufanya kile tunachotakiwa, zaidi tumekariri ila ukitaka kujadili vitu kwa makini lazima uweke details, kazi ya daktari sio kudeal na drugs na chemical compositions...laumu kada nyingine.
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Anhaaa dah misekule ?
Kwa yanayoendelea hapa sikatai sana ila kikubwa koti linavaliwa na wanakijiji wananiita dokta

Na kesho kutwa NMB italia triiiiiii , basi sina neno ila boss leo umetuamkia
 
Unachotakiwa kushangaa ni kuwa kwanini Daktari akiwa Tanzania anaonekana kama hafanyi kazi yoyote ila akiwa nje anaonekana mbobezi sana na hata Huko huko wanamsifia na kumpa vyeo?

Na kusaidia majibu machache tu..!

Motisha- Tanzania hatuna Motisha ya Madaktari sio kwa Vifaa vizuri na bora vya kufanyia kazi hata Posho na Mishahara Yao iko chini sana..
Daktari Mdogo tuseme MD (Gp) akiwa anafanya kazi NIMR "kwenye Utafiti" au kwenye mashirika Binafsi anaweza akachezea kwenge 5M mpaka 6M..

Wakati huo Huo Daktari Bingwa na Daktari Bingwa mbobezi wakiwa upande wa hospitali za serikali wnacheza kwenye 2mil mpaka 3Milion..

We unafukiri kipi kitafanyika zaidi ya kuboronga..
Mtoa hoja alitaka kueleza jambo la ndani zaidi, ambalo watu wengi hatulioni.

Anae angalia mambo kwa nje, bila kuingia kwa ndani, ataona kuwa mtoa hoja, hana heshima, na shukurani.

Lakini yeye, amejaribu kuona mambo kwa ndani, na kuona makosa ya elimu yetu. Neno "makosa" hapa linamanisha kuwa, elimu haitakiwi kuwa hivi ilivyo.

Elimu yetu yote: sio tu, kwenye afya bali maeneo yote: ni elimu huduma. Inatuandaa kuwa "Watumiaji" badala ya "Waumbaji". Asili ya mtu, ni Muumbaji, na maana ya mtu, ni Muumbaji.

Makosa ya elimu yetu:

Mtu anasoma kwa ajili ya kuwa "Mtumiaji". Yaani mtu unasoma kwa ajili ya ujira, mshahara.

Angalia watu wetu wanaosoma: wale wanajiendeleza au kusomea zaidi, kwa maana ya obobevu katika taaluma fulani; au wale wanaojibidiisha kwenye kazi au ajira zao. Je, wanalenga nini? Ni nini wanatafuta katika hayo? Kusema ukweli, wanatafuta: Vyeo, na kupanda madaraja au mshahara.

Kwa hiyo, kilichomo ndani ya mtu ni kitu gani, yaani mtu anasoma kwa lengo gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa kitu gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa sisi au mimi ni nani?

Unakwenda kusomea ualimu au udakitari au uchungaji au upadiri, kwa sababu gani?

Tuna amini nini?

I think this is what the writer is trying to address.
 
Mtoa hoja alitaka kueleza jambo la ndani zaidi, ambalo watu wengi hatulioni.

Anae angalia mambo kwa nje, bila kuingia kwa ndani, ataona kuwa mtoa hoja, hana heshima, na shukurani.

Lakini yeye, amejaribu kuona mambo kwa ndani, na kuona makosa ya elimu yetu. Neno "makosa" hapa linamanisha kuwa, elimu haitakiwi kuwa hivi ilivyo.

Elimu yetu yote: sio tu, kwenye afya bali maeneo yote: ni elimu huduma. Inatuandaa kuwa "Watumiaji" badala ya "Waumbaji". Asili ya mtu, ni Muumbaji, na maana ya mtu, ni Muumbaji.

Makosa ya elimu yetu:

Mtu anasoma kwa ajili ya kuwa "Mtumiaji". Yaani mtu unasoma kwa ajili ya ujira, mshahara.

Angalia watu wetu wanaosoma: wale wanajiendeleza au kusomea zaidi, kwa maana ya obobevu katika taaluma fulani; au wale wanaojibidiisha kwenye kazi au ajira zao. Je, wanalenga nini? Ni nini wanatafuta katika hayo? Kusema ukweli, wanatafuta: Vyeo, na kupanda madaraja au mshahara.

Kwa hiyo, kilichomo ndani ya mtu ni kitu gani, yaani mtu anasoma kwa lengo gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa kitu gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa sisi au mimi ni nani?

Unakwenda kusomea ualimu au udakitari au uchungaji au upadiri, kwa sababu gani?

Tuna amini nini?

I think this is what the writer is trying to address.
Umeeleza vizuri.
 
Mtoa hoja alitaka kueleza jambo la ndani zaidi, ambalo watu wengi hatulioni.

Anae angalia mambo kwa nje, bila kuingia kwa ndani, ataona kuwa mtoa hoja, hana heshima, na shukurani.

Lakini yeye, amejaribu kuona mambo kwa ndani, na kuona makosa ya elimu yetu. Neno "makosa" hapa linamanisha kuwa, elimu haitakiwi kuwa hivi ilivyo.

Elimu yetu yote: sio tu, kwenye afya bali maeneo yote: ni elimu huduma. Inatuandaa kuwa "Watumiaji" badala ya "Waumbaji". Asili ya mtu, ni Muumbaji, na maana ya mtu, ni Muumbaji.

Makosa ya elimu yetu:

Mtu anasoma kwa ajili ya kuwa "Mtumiaji". Yaani mtu unasoma kwa ajili ya ujira, mshahara.

Angalia watu wetu wanaosoma: wale wanajiendeleza au kusomea zaidi, kwa maana ya obobevu katika taaluma fulani; au wale wanaojibidiisha kwenye kazi au ajira zao. Je, wanalenga nini? Ni nini wanatafuta katika hayo? Kusema ukweli, wanatafuta: Vyeo, na kupanda madaraja au mshahara.

Kwa hiyo, kilichomo ndani ya mtu ni kitu gani, yaani mtu anasoma kwa lengo gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa kitu gani? Elimu yetu inatufundisha kuwa sisi au mimi ni nani?

Unakwenda kusomea ualimu au udakitari au uchungaji au upadiri, kwa sababu gani?

Tuna amini nini?

I think this is what the writer is trying to address.
Soma Post #47 Mkuu
 
Mkuu BICHWA KOMWE -
Sitaki sana Kuingilia Maisha yako halisia ila inaonekana Ugonjwa wa kansa umekukera sana Inaonekana Umewahi kupoteza Mtu wa karibu kwa ugonjwa huo, Uliofanya Uchukie Watu wote wanaofanya kazi afya..
Naelewa hisia zako..

Maaana kwa kumbukumbu zangu hii sio Conversation ya kwanza kukujibu kwanini kansa haitibiki..Ila leo nitajitahidi kujibu kwa Undani zaidi..
  • Kansa Sio ugonjwa Mmoja: kuna magonjwa zaidi ya 200 ya Cancer na yote yakiwa na aina zake. kwa mfano cancer inaweza ikatokea kwenye ngozi lakini ikawa inavariaty (Utofauti) wa Tabia, Mutation (Jinsi ya kuathirika) na hata different characteristics kwenye same disease patten.. kwa mfano zaidi cancer ikitokea kwenge Epithelial huwa wanaita carcinoma na ikitokea kwenye Tissue au Muscle wanaita Sarcoma sasa inaweza ikatokea mkononi lakini ikawa na Different disease with diferent feature.....
  • Complexity ya Carcinogenic cells au cancer cells: .moja ya Properties ya Cancer cells ni kuacquire mutations ambayo itafanya cells kukua uncontrollably (Bila kizuizi), Na hiyo husababisha ku evade the immune system,na hapo sasa Bichwa ndo hutokea resistance to treatment (Au tunaita Usugu wa Matibabu).. Na hapa ndo huwa ngumu hasa kwamba tutarget ipi cells iliyi nzima au iliyokufa na ukumbuke Inakuwa kwa haraka sana.
  • adaptation: Cancer cells are constantly evolving, acquiring new mutations kila siku ambayo inafanya ziweze ku resist matibabu..Yaani tuseme kwa mfano wamegundua Dawa leo ya matibabu labda kwa ajili ya mutants A wanamaliza kutengeneza Dawa wanakuta cancer ina Mutants C..Kwahyo ni very challengig..
  • Heterogeneity within tumors hii nimezungumzia sana unaweza kuta Tumor moja tu ina diversity kibao na ina aina zaidi ya 100 ya cancer cells na ukiangalia ni kauvimbe kadogo tu ila kukacontrol inabidi utafute dawa 500 kwa wakati mmoja na ndo maana ubora ukawa ni chemotherapy na Radiotherapy kuziua hizo cells kabla hazijaharibu cells zingine..
KUtibu cells inayobadilika kila saa ni vigumu sana sawa na kutibu ugonjwa usioJua hasa unasababishwa na nini..

Kumbuka kwanza cancer sio ugonjwa unaotokana na Mdudu wala Bacteria wala virus..
Ila unatokana na mabadiliko ya cells za mwili ..
Ukiwahi mapena matbabu kabla haijafika kwenye advance stage unaweza ukapona lakini ikifika stage 3 mpaka stage 4 hakuna ujanja..

Nakukaribisha kwa swali jingine
H.A.P.A.N.A

Hichi ulichoandika ni elimu ya kukariri ambayo inatugharimu sana.

Hii ELIMU DANGANYIFU imechukua maisha ya watu wengi sana, kwa sababu usipochojua chanzo halisi cha tatizo KWA KWELI hautoweza kupata tiba milele.

Hakuna kitu chochote kibaya kinachoingia mwilini kinachoweza kukwepa WHITE BLOOD CELLS, Unless WBCs ziko severely compromised.

Tatizo sio cancerous cells, tatizo ni udhaifu au mashambulizi dhidi ya WBCs yanayosababishwa na SUMUU. Bassiiiiiiiiiiiiiii

This happens mostly when TOXINS and HEAVY METALS hijack and take hold of the THYMUS and BONE MARROW.

Hiyo ndiyo sayansi ya KWELI, na sio CANCEROUS CELLS.

A cancerous cell is simply a piece of cake for WBCs.

Somehow somewhere kuna SAYANSI DANGANYIFU ambayo wewe umekuwa dalali wake kwa kujua au kwa kutokujua.
 
Mh wewe umenipa kazi mpya juu yako
H.A.P.A.N.A

Hichi ulichoandika ni elimu ya kukariri ambayo inatugharimu sana.

Hii ELIMU DANGANYIFU imechukua maisha ya watu wengi sana, kwa sababu usipochojua chanzo halisi cha tatizo KWA KWELI hautoweza kupata tiba milele.

Hakuna kitu chochote kibaya kinachoingia mwilini kinachoweza kukwepa WHITE BLOOD CELLS, Unless WBCs ziko severely compromised.

Tatizo sio cancerous cells, tatizo ni udhaifu au mashambulizi dhidi ya WBCs yanayosababishwa na SUMUU. Bassiiiiiiiiiiiiiii

This happens mostly when TOXINS and HEAVY METALS hijack and take hold of the THYMUS and BONE MARROW.

Hiyo ndiyo sayansi ya KWELI, na sio CANCEROUS CELLS.

A cancerous cell is simply a piece of cake for WBCs.

Somehow somewhere kuna SAYANSI DANGANYIFU ambayo wewe umekuwa dalali wake kwa kujua au kwa kutokujua.
 
Kama ulisema Ulifirana na kaka yako wa damu basi sikushangai kuropoka Pumba...MD wa Bongo anaweza kupata kazi hata S.A bila kikwazo Chochoote Mtu anapomaliza MD pale Mhimbili basi Elimu yake haina walakini hata kidogo..kivipi useme ni ya kukariri wakati ndio kozi inayoongoza kwa Vutendo?Yani Mwanafunzi daktari na CO mwaka wa Pili sheria inamlazimu aende wodini kila siku asubuhi kabla ya Kuingia darasani..huko wodini wanaenda kucheza? HAPANA wanaenda kujifunza kwa vitendo

Wewe ni aidha umefeli au uneumwa ugonjwa usio na Tiba kutokana na Tabia zako za kufukuana mitaro hivyo unaona Madaktari wote ni Misukule
POLE SANA
 
H.A.P.A.N.A

Hichi ulichoandika ni elimu ya kukariri ambayo inatugharimu sana.

Hii ELIMU DANGANYIFU imechukua maisha ya watu wengi sana, kwa sababu usipochojua chanzo halisi cha tatizo KWA KWELI hautoweza kupata tiba milele.

Hakuna kitu chochote kibaya kinachoingia mwilini kinachoweza kukwepa WHITE BLOOD CELLS, Unless WBCs ziko severely compromised.

Tatizo sio cancerous cells, tatizo ni udhaifu au mashambulizi dhidi ya WBCs yanayosababishwa na SUMUU. Bassiiiiiiiiiiiiiii

This happens mostly when TOXINS and HEAVY METALS hijack and take hold of the THYMUS and BONE MARROW.

Hiyo ndiyo sayansi ya KWELI, na sio CANCEROUS CELLS.

A cancerous cell is simply a piece of cake for WBCs.

Somehow somewhere kuna SAYANSI DANGANYIFU ambayo wewe umekuwa dalali wake kwa kujua au kwa kutokujua.
Sasa nimejua Shida iko wapi?
Unachofikiri ni kwamba Cancer inatokana na Invasion from wadudu au ni foreign body fulani hivi au Parasite fulani hivi ndo maana Unasema kuhusu WBC and such..and such unaelezea Vitu na pathological Mission kama engalfing zinazofanywa na Macrophages from WBC..
😀😀

Sasa nimeelewa 😀😀..

Naomba nikuambie kwa heshima Zote za Urafiki wangu Mimi na wewe Na Adabu Yote kabisa kwamba Mawazo yako kuhusu Cancer na maelezo yako yote Si kweli..

na hichi ndo nilikuwa nakitafuta Nikisikie kwanza una Jua nini kuhusu Cancer!
Na jibu lako limedhihirisha unahitaji elimu zaidi kuhusu Cancer..
Wengi sana wanaamini kama unavyoamini wewe kuwa cancer ni kama ugonjwa wa virusi hivi cancer ni pathological condition au disorder na sio Infection au infestation


Narudia Tena cancer sio Ugonjwa kama unavozungumzia Infection na Infestation...

Sasa nisikilize..
Cancer inatokana na cells Zenyewe ndani ya mwili ku Undergo Mabadiliko ya ghafla ya kiumbo na kikazi na kitabia (Cell mutation) ambayo mabadilioo hayo huwa kwa haraka sana kufikia Cells kushindwa kumudu Shughuli xa kawaida na kwa bahati mbaya Mabadiliko hayo ya cells hubadilika na kuathiri Cell za jirani (Metastasis) nazo pia hupata mabadiliko hayo kwa haraka sana..

Sasa mabadiliko hayo kadiri yanavyozidi kutokea husababisha Tissue Husika kutokufanya kazi vizuru hivyo organ pia na mfumo mzima wa sehemu athirika....

Na hiyo Ndiyo cancer..
Umezungumzia kuhusu Damu kupambana na magonjwa Damu pia Hupata Cancer na cells zake zikaynder go.mutation na Mwisho tukapata Leukemia..

Ukielewa Dhima nzima Cancer ni nini Huwezi kupata shida kujua kwanini hakuna Dawa ya moja kwa moja..

Asante
Nakukaribisha kwa maswali zaidi rafiki angu
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
Uhuru wa miguu na mikono
Akili imefingwa mnyororo
 
Back
Top Bottom