BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
- #101
Porojo za daktari mwenye D MBILI.Kama ulisema Ulifirana na kaka yako wa damu basi sikushangai kuropoka Pumba...MD wa Bongo anaweza kupata kazi hata S.A bila kikwazo Chochoote Mtu anapomaliza MD pale Mhimbili basi Elimu yake haina walakini hata kidogo..kivipi useme ni ya kukariri wakati ndio kozi inayoongoza kwa Vutendo?Yani Mwanafunzi daktari na CO mwaka wa Pili sheria inamlazimu aende wodini kila siku asubuhi kabla ya Kuingia darasani..huko wodini wanaenda kucheza? HAPANA wanaenda kujifunza kwa vitendo
Wewe ni aidha umefeli au uneumwa ugonjwa usio na Tiba kutokana na Tabia zako za kufukuana mitaro hivyo unaona Madaktari wote ni Misukule
POLE SANA
Mimi ni zaidi ya daktari na lenzi yangu inafika umbali ambao wewe hauwezi kuufikia katika maisha yako yote ya sasa na yanayoweza kuwapo baada ya sasa.
Lenzi yangu ni witiri, mbonyeo na mbinuko kwa mpigo, wakati wewe ni msukule unayesubiri maagizo na waraka wa mabeberu ambao hauwajui wala kuwaelewa.
Coming back to the point, you have not advanced any watertight defense so far. Just garbages and cries to cover your failures and inabilities.