DOKEZO Madaktari zaidi ya 300 hatarini kupoteza nafasi kufuatia maamuzi ya Baraza la Madaktari

DOKEZO Madaktari zaidi ya 300 hatarini kupoteza nafasi kufuatia maamuzi ya Baraza la Madaktari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations"

Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021, lakini mtihani huo umujawa na sintofahamu kibao;

1. Zaidi ya vijana 200 wamemaliza mafunzo ya utarajali tangu May 2023 lakini wamewekwa mtaani bila practice wakisubiri mtihani huo unaotarajiwa kufanyika January 2024.

👉 Udakitari ni fani ya kijifunza Kila siku, unamuweka dakitari mtaani takribani mwaka mzima na bado unategemea afaulu? Anyway tuseme imetokea akafaulu, unategemea kiwango cha ujuzi aliokuanao kitaendelea kua pale pale baada ya kukaa mwaka mzima bila practice??? MCT na wizara ya Afya wajitafakari kwenye hili.

2. Zaidi ya vijana 300 wamewekwa mtaani takribani miaka miwili sasa bila practice Kwa kudai Kwamba wamefeli mtihani huo.

👉 Dakitari amekua trainined miaka 5 hadi 6 akafaulu, ukamfanyisha mtihani wa pre-registration akafaulu, akapata mafunzo ya vitendo mwaka mzima na kua recommended 🤔 mtihani wa nadharia wa masaa matatu unamuondolea qualifications zote hizo!!!!! MCT na wizara ya Afya wajitafakari.

👉 Dakitari amepata qualifications zote hizo nilizotaja, lakini qualifications zote zinaondolewa Kwa mashine za kusahihisha mitihani yenu kushindwa kudetect namba yake ya usajili!! MCT kweli?

👉 Mtihani unaoanza kumpima dakitari kabla ya kumuingiza katika mafunzo ya vitendo unatumika kujaji ubora wa dakitari hata anapomaliza mafunzo ya vitendo kweli MCT, kweli!!!

3. Zaidi ya madakitari 300 wamewekwa mtaani bila ruhusa ya ku-practice kutokana nakua disqualified na mtihani huu ulio na kipimo cha nadharia zaidi; kweli unamuweka mtu mtaani bila practice na unategemea aweze kufaulu when next offered!!!, Sawa Kwa kudra za Mwenyezi MUNGU amefaulu 🤔 unadhani bado utaendelea kua na dakitari Yule Yule uliekuanae mwanzo zaidi ya kua na substandard and demotivated Doctors.

MCT na Wizara ya Afya wajitafakari sana kwenye hili. Kupitia hawa vijana; wazazi wao wamewekeza na pia serkali imewekeza kupitia kuwapa mikopo ya elimu ya juu. Kama hamuwezi kuwaajili, sio lazima muwanyang'anye Hadi Haki ya kujiajili(kwani hawawezi jiajili bila leseni).

KUSHINDWA KWENU KUAJILI KUSIPELEKEE KUUMIZA VIJANA WA WATU.
 
Nahisi tatizo ni kuwa nowadays makada wa afya wamekuwa watu wa hovyo tofauti na WA zamani. Angalia ile ishu ya Amana Hospital.

Pili kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wagonjwa kuwa madaktari wa siku hizi hawajui vitu vingi na inasababisha kupewa wrong prescription. So hapa kuna wadau wamewachoma.
 
Nahisi tatizo ni kuwa nowadays makada wa afya wamekuwa watu wa hovyo tofauti na WA zamani. Angalia ile ishu ya Amana Hospital.

Pili kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wagonjwa kuwa madaktari wa siku hizi hawajui vitu vingi na inasababisha kupewa wrong prescription. So hapa kuna wadau wamewachoma.
daktari anatakiwa kila siku anafanya utafiti na kupiga msuli, hata kama ameajiriwa,.
 
Hizi elimu zetu za kuajiriwa zimekuwa kizungumkuti kwa kweli. Sasa huyu ni dokta anakutana na vikwazo hivi, je mwana pcb aliyeishia form four nani atamtambua?

Kwa hiyo hawa madaktari wakishindwa ku qualify ndio basi tena waende mitaani kutafuta njia zingine kujikwamua kimaisha nje ya taaluma zao ambazo hazitatambuliwa na baraza lao. Duh!

Kijana asome muda mrefu halafu akose ajira tarajali! Inauma sana
 
Siku hizi unakutana na mtu ana cv kali isiyolingana na kazi anayoifanya. Unakutana na mwalimu kumbe alisomea udaktari, mwingine alisomea mambo mengine akaona isiwe taabu akakimbilia kuchukua mafunzo ya ualimu ili apate ajira fasta.

Kuna wenye migahawa mikali, kuna mafundi, bodaboda, machinga, wafugaji na wakulima wasomi wa taaluma zisizolingana na kazi zao. Hizi elimu zetu ni pasua kichwa, unasomea kitu usichokuja kukifanya maishani
 
Nahisi tatizo ni kuwa nowadays makada wa afya wamekuwa watu wa hovyo tofauti na WA zamani. Angalia ile ishu ya Amana Hospital.

Pili kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wagonjwa kuwa madaktari wa siku hizi hawajui vitu vingi na inasababisha kupewa wrong prescription. So hapa kuna wadau wamewachoma.
Mkuu hao wa zamani walijua vitu vingi? Wamekuwa computer?

Kuna daktari wa operation alisifika kwa mkono wa kuua wagonjwa na alikuwa wa zamani.

Mfumo wa kisasa wa elimu unamuwezesha daktari wa kisasa kujua vitu vingi na kupata usaidizi wa kitenkolojia haraka kiliko zamani.

Madaktari wa sasa wanaweza kutumia teknolijia za kitabibu kuliko wa zamani.

Mfano siku hizi x ray zipo kulingana na ogani.

Mfano jino mwanafizikia anapiga picha ya jino, mashine inatumia mda huo uo kwa daktari. Dktari anasoma kwenye mfumo na kutoa majibu sio suala la kukisia kisia tu kama madaktari wa zamani.

Sina hakika kama hao madaktari wako wa zamani wanajua hata kutumia hio mifumo.

Hebu tuache mambo ya ukale ukale.

Nikimsikia mtu anatukuza zamani namshangaa sana.

Wazungu mda huu wana andaa AI BOT za kitabibu sisi kuna watu wanathimini kukariri.

Ulimwengu wa sasa tunahitajika kujua ku search information na si kukariri kila kitu.

Mambo ni mengi kuliko muda.
 
Ma daktari kwenye Utawala wapo 0 kabisa mambo yao mengi ni hovyo hovyo tuu sishangai kwa hilo jambo...
 
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations"

Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021, lakini mtihani huo umujawa na sintofahamu kibao;

1. Zaidi ya vijana 200 wamemaliza mafunzo ya utarajali tangu May 2023 lakini wamewekwa mtaani bila practice wakisubiri mtihani huo unaotarajiwa kufanyika January 2024.

👉 Udakitari ni fani ya kijifunza Kila siku, unamuweka dakitari mtaani takribani mwaka mzima na bado unategemea afaulu? Anyway tuseme imetokea akafaulu, unategemea kiwango cha ujuzi aliokuanao kitaendelea kua pale pale baada ya kukaa mwaka mzima bila practice??? MCT na wizara ya Afya wajitafakari kwenye hili.

2. Zaidi ya vijana 300 wamewekwa mtaani takribani miaka miwili sasa bila practice Kwa kudai Kwamba wamefeli mtihani huo.

👉 Dakitari amekua trainined miaka 5 hadi 6 akafaulu, ukamfanyisha mtihani wa pre-registration akafaulu, akapata mafunzo ya vitendo mwaka mzima na kua recommended 🤔 mtihani wa nadharia wa masaa matatu unamuondolea qualifications zote hizo!!!!! MCT na wizara ya Afya wajitafakari.

👉 Dakitari amepata qualifications zote hizo nilizotaja, lakini qualifications zote zinaondolewa Kwa mashine za kusahihisha mitihani yenu kushindwa kudetect namba yake ya usajili!! MCT kweli?

👉 Mtihani unaoanza kumpima dakitari kabla ya kumuingiza katika mafunzo ya vitendo unatumika kujaji ubora wa dakitari hata anapomaliza mafunzo ya vitendo kweli MCT, kweli!!!

3. Zaidi ya madakitari 300 wamewekwa mtaani bila ruhusa ya ku-practice kutokana nakua disqualified na mtihani huu ulio na kipimo cha nadharia zaidi; kweli unamuweka mtu mtaani bila practice na unategemea aweze kufaulu when next offered!!!, Sawa Kwa kudra za Mwenyezi MUNGU amefaulu 🤔 unadhani bado utaendelea kua na dakitari Yule Yule uliekuanae mwanzo zaidi ya kua na substandard and demotivated Doctors.

MCT na Wizara ya Afya wajitafakari sana kwenye hili. Kupitia hawa vijana; wazazi wao wamewekeza na pia serkali imewekeza kupitia kuwapa mikopo ya elimu ya juu. Kama hamuwezi kuwaajili, sio lazima muwanyang'anye Hadi Haki ya kujiajili(kwani hawawezi jiajili bila leseni).

KUSHINDWA KWENU KUAJILI KUSIPELEKEE KUUMIZA VIJANA WA WATU.
Tatizo ni CCM kuwekana kwenye nafasi serikalini bila kujali vigezo.

Hao watu wa Baraza la Madaktari hawana dhamana na afya zetu. Wapo kwenye kudhibiti ili kupunguza wingi wa wenye taaluma kwenye tasnia.

Mtu amegraduate udaktari,ya nini kumpa mtihani wa kumpa acredetation? Ina maana nchi yetu haina imani na ubora wa taaluma zinazotolewa kwenye vitivo vyetu?

Shame
 
Bloodfaken watanzania, ukimya huu utaumiza wengi. Tumekuwa wakmya mmno bila kutetea haki zetu. Kila mmoja anaogopa kufa. Tutavurugwa sana
 
The way you practice everyday ndipo unapata experience mfano kama kama wewe daktari unafanya operation mara kwa mara za aina flani basi utakuwa more competent katika kuokoa maisha ya mtu Yan experience yako ya kazi ndiyo inafanya uokoe maisha ya watu na si uwezo wako wa theory ambao MCT wanaufanya kama kigezo Cha kumpima daktari wakitaka daktari Bora ni kheri wampime akiwa internship wajue je ana uwezo gani katika kukabiliana na magonjwa.

Enyi watanzania mnatakiwa muwe makini kutofautisha hizi kada Yani kada ya afya hii ni more different na kada zingine
 
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations"

Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021, lakini mtihani huo umujawa na sintofahamu kibao;

1. Zaidi ya vijana 200 wamemaliza mafunzo ya utarajali tangu May 2023 lakini wamewekwa mtaani bila practice wakisubiri mtihani huo unaotarajiwa kufanyika January 2024.

👉 Udakitari ni fani ya kijifunza Kila siku, unamuweka dakitari mtaani takribani mwaka mzima na bado unategemea afaulu? Anyway tuseme imetokea akafaulu, unategemea kiwango cha ujuzi aliokuanao kitaendelea kua pale pale baada ya kukaa mwaka mzima bila practice??? MCT na wizara ya Afya wajitafakari kwenye hili.

2. Zaidi ya vijana 300 wamewekwa mtaani takribani miaka miwili sasa bila practice Kwa kudai Kwamba wamefeli mtihani huo.

👉 Dakitari amekua trainined miaka 5 hadi 6 akafaulu, ukamfanyisha mtihani wa pre-registration akafaulu, akapata mafunzo ya vitendo mwaka mzima na kua recommended 🤔 mtihani wa nadharia wa masaa matatu unamuondolea qualifications zote hizo!!!!! MCT na wizara ya Afya wajitafakari.

👉 Dakitari amepata qualifications zote hizo nilizotaja, lakini qualifications zote zinaondolewa Kwa mashine za kusahihisha mitihani yenu kushindwa kudetect namba yake ya usajili!! MCT kweli?

👉 Mtihani unaoanza kumpima dakitari kabla ya kumuingiza katika mafunzo ya vitendo unatumika kujaji ubora wa dakitari hata anapomaliza mafunzo ya vitendo kweli MCT, kweli!!!

3. Zaidi ya madakitari 300 wamewekwa mtaani bila ruhusa ya ku-practice kutokana nakua disqualified na mtihani huu ulio na kipimo cha nadharia zaidi; kweli unamuweka mtu mtaani bila practice na unategemea aweze kufaulu when next offered!!!, Sawa Kwa kudra za Mwenyezi MUNGU amefaulu 🤔 unadhani bado utaendelea kua na dakitari Yule Yule uliekuanae mwanzo zaidi ya kua na substandard and demotivated Doctors.

MCT na Wizara ya Afya wajitafakari sana kwenye hili. Kupitia hawa vijana; wazazi wao wamewekeza na pia serkali imewekeza kupitia kuwapa mikopo ya elimu ya juu. Kama hamuwezi kuwaajili, sio lazima muwanyang'anye Hadi Haki ya kujiajili(kwani hawawezi jiajili bila leseni).

KUSHINDWA KWENU KUAJILI KUSIPELEKEE KUUMIZA VIJANA WA WATU.
Doctors mmekua wanasiasa sana aisee
 
Nahisi tatizo ni kuwa nowadays makada wa afya wamekuwa watu wa hovyo tofauti na WA zamani. Angalia ile ishu ya Amana Hospital.

Pili kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wagonjwa kuwa madaktari wa siku hizi hawajui vitu vingi na inasababisha kupewa wrong prescription. So hapa kuna wadau wamewachoma.
Vijana wanafyetuliwa kihobelahobela… wamezidi demand na sasa wamekua wanaharakati
 
Tatizo ni CCM kuwekana kwenye nafasi serikalini bila kujali vigezo.

Hao watu wa Baraza la Madaktari hawana dhamana na afya zetu. Wapo kwenye kudhibiti ili kupunguza wingi wa wenye taaluma kwenye tasnia.

Mtu amegraduate udaktari,ya nini kumpa mtihani wa kumpa acredetation? Ina maana nchi yetu haina imani na ubora wa taaluma zinazotolewa kwenye vitivo vyetu?

Shame
Kuna fani isiyo na mitihani na cpd?
 
Hizi elimu zetu za kuajiriwa zimekuwa kizungumkuti kwa kweli. Sasa huyu ni dokta anakutana na vikwazo hivi, je mwana pcb aliyeishia form four nani atamtambua? Kwa hiyo hawa madaktari wakishindwa ku qualify ndio basi tena waende mitaani kutafuta njia zingine kujikwamua kimaisha nje ya taaluma zao ambazo hazitatambuliwa na baraza lao. Duh! Kijana asome muda mrefu halafu akose ajira tarajali! Inauma sana
Hizi professional bodies nyingi hapa nchini zipo kwa ajili ya kuua ndoto za watu. Kitu kilichosomwa kwa miaka 5 kinauliwa na mtihani wa masaa 3. Hakuna rufaa za wazi nk
 
Unazungumzia hizo hospital wanazoosha vifaa vya upasuaji kwa maji baridi na sabuni ya Unga
 
Hii inapelekewa na uwepo wa kitu kichoitwa "post internship examinations"

Baraza la madakitari Tanganyika limeandaa utaratibu wa kufanyisha mitihani ya kusajili madakitari tangu mwaka 2021, lakini mtihani huo umujawa na sintofahamu kibao;

1. Zaidi ya vijana 200 wamemaliza mafunzo ya utarajali tangu May 2023 lakini wamewekwa mtaani bila practice wakisubiri mtihani huo unaotarajiwa kufanyika January 2024.

👉 Udakitari ni fani ya kijifunza Kila siku, unamuweka dakitari mtaani takribani mwaka mzima na bado unategemea afaulu? Anyway tuseme imetokea akafaulu, unategemea kiwango cha ujuzi aliokuanao kitaendelea kua pale pale baada ya kukaa mwaka mzima bila practice??? MCT na wizara ya Afya wajitafakari kwenye hili.

2. Zaidi ya vijana 300 wamewekwa mtaani takribani miaka miwili sasa bila practice Kwa kudai Kwamba wamefeli mtihani huo.

👉 Dakitari amekua trainined miaka 5 hadi 6 akafaulu, ukamfanyisha mtihani wa pre-registration akafaulu, akapata mafunzo ya vitendo mwaka mzima na kua recommended 🤔 mtihani wa nadharia wa masaa matatu unamuondolea qualifications zote hizo!!!!! MCT na wizara ya Afya wajitafakari.

👉 Dakitari amepata qualifications zote hizo nilizotaja, lakini qualifications zote zinaondolewa Kwa mashine za kusahihisha mitihani yenu kushindwa kudetect namba yake ya usajili!! MCT kweli?

👉 Mtihani unaoanza kumpima dakitari kabla ya kumuingiza katika mafunzo ya vitendo unatumika kujaji ubora wa dakitari hata anapomaliza mafunzo ya vitendo kweli MCT, kweli!!!

3. Zaidi ya madakitari 300 wamewekwa mtaani bila ruhusa ya ku-practice kutokana nakua disqualified na mtihani huu ulio na kipimo cha nadharia zaidi; kweli unamuweka mtu mtaani bila practice na unategemea aweze kufaulu when next offered!!!, Sawa Kwa kudra za Mwenyezi MUNGU amefaulu 🤔 unadhani bado utaendelea kua na dakitari Yule Yule uliekuanae mwanzo zaidi ya kua na substandard and demotivated Doctors.

MCT na Wizara ya Afya wajitafakari sana kwenye hili. Kupitia hawa vijana; wazazi wao wamewekeza na pia serkali imewekeza kupitia kuwapa mikopo ya elimu ya juu. Kama hamuwezi kuwaajili, sio lazima muwanyang'anye Hadi Haki ya kujiajili(kwani hawawezi jiajili bila leseni).

KUSHINDWA KWENU KUAJILI KUSIPELEKEE KUUMIZA VIJANA WA WATU.


Kufeli ni tatizo la Mtahiniwa
 
Back
Top Bottom