mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Thubutu yeye ndy alikuwa anamliaaAtakuwa Hadi alifilisika huyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu yeye ndy alikuwa anamliaaAtakuwa Hadi alifilisika huyo
Sio rahisiThubutu yeye ndy alikuwa anamliaa
Ova
Tupasiane mishangazi hiyoBora mimi mishangaz yangu ya Uyole Shendele la kutoshaa
Hana kwake ndio maana kasema anataka mtu mwenye kwakeAnikubalie tu nitaenda kuishi kwake
Basi ntakaa nae ghetto chumba na sebuleHana kwake ndio maana kasema anataka mtu mwenye kwake
Anasema anataka mwenye kwake Sio anayepangaBasi ntakaa nae ghetto chumba na sebule
Niamini,huyo d.c mwenyeww mhuni master tuSio rahisi
Maisha yaenda mbio sana huyi mama mtu mzima anaitafuta 60yrs now.....amejula raha zote amewavuruga sana webye pesa kina Mzee Mengi RiP.....anamakizia th sio kama ana shida vijana wa JF hata bundle la kuunga.....abatafuta vijana fulani 45.to 50 hapo wenye vipato vyao uhakika businesd za maana wafanye maisha......sio zali la mentali...sio hukoNiamini,huyo d.c mwenyeww mhuni master tu
Mbona mtoaji huyo mama sasa huyo dc atampa nn zaidi yy kuchuma
Ova
Ujazo baba nyama kama zimesinyaa flani hiviMshangazi flan hv.....sijui kwann nahis atakua Sio mtamu
Hakuna maoni hapo ni kufuata katazo!Nini maoni yako?
Akili zako nazangu nipacha,nimewaza see so mtamu🤣🤣Mshangazi flan hv.....sijui kwann nahis atakua Sio mtamu
Kuna muonekano wa kishangazi hana ana ubibiAkili zako nazangu nipacha,nimewaza see so mtamu🤣🤣
Hata alivo tu hanogiUjazo baba nyama kama zimesinyaa flani hivi