Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Sasa mtu utasemaje ni wa hovyo wakat hujaishi naye, kama nipakukaa si wanatafuta wakiwa pamoja🤠
 
Madam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.

View attachment 2875628

"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".

"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha

Nini maoni yako?
Jishangazi...
 
Kwa nilivyoelewa shida wanaomfuata ni ma-homeless tatizo sio umri hapo. Mshangazi unataka kijana independent plus elimu flani na mwelekeo wa maisha. Hatachomoa
 
KUTONGOZWA TONGOZWA NI ISHARA YA KUWA WA BEI NAFUU.
TAFUTA DEREVA AU BODIGADI.
SIKU ZA BARIDI NA MVUA ZENYE RADI KAMA LEO 20 JAN 2024, WANAKUKAZA JUU KWA JUU.

AU NDIO ILE KILA KITU UNACHO, ILA UPENDO WA MWANAUME NDIO UNAOKOSEKANA.
KWANI SAUTI YA MWANUME NDANI NI TIBA KWA HISIA ZA MWANAMKE.
 
Madam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.

View attachment 2875628

"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".

"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha

Nini maoni yako?
Mwambie ache ushamba akajifunze kwa Rais wa France Macron alipendwa na mwalimu wake akiwa hana kitu leo Rais kama anawapenda awachukue hawataki apotezee asitusumbue hatukumwambia ajipost
 
Mi mtu mzima kweli na pa kukaa si haba. Lakini kuhusu kushauriana ndio sina ushauri mimi mwenyewe Sijitambui.
 
Mwambie ache ushamba akajifunze kwa Rais wa France Macron alipendwa na mwalimu wake akiwa hana kitu leo Rais kama anawapenda awachukue hawataki apotezee asitusumbue hatukumwambia ajipost
Uongo Macron anatoka familia ya Matajiri huyo Mkewe alimpenda sababu Kwao Wana kitu.

Mtu huna kitu kupendwa na mwanamke sahau
 
Back
Top Bottom