Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhanga huoHalafu hajui kama mapenzi hayana umri hv hamuoni rais wa ufaransa??
Kuna dada yuko airtel ana watoto 3 ...huyo mama yake kabisa...binti anafika 40 yuleAnakuaje na yeye anajiona bado wamo km akina zuchu ?
Kuna wadada wengine ukiambiwa huyu ana watoto 3 au 4 huamini ..anaita kama binti wa miaka 21Kuna dada yuko airtel ana watoto 3 ...huyo mama yake kabisa...binti anafika 40 yule
Na ninasema kama ni wa hivyo na mimi nawasukumia vijanaYeye ndiye hana heshima kwa kujinadi mtandaoni...angeweka wazi kuwa anataka vizee vya miaka 70 ili apate urithi wake mapema
Ati cooling break hamna.....sii ataipepea baada ya game kuishaMkongo sio mchezo ,cooling break ngumu kuwepo ,bibi asije akafa
Jishangazi...Madam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.
View attachment 2875628
"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".
"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha
Nini maoni yako?
KabisaYule Macron kalogwa...
Hela imekata ndio maana anajitangazaKweli kabisa, mpaka mzee wetu mengi akatoa mtaji wa benchmark sio mchezo.
Atakuwa Hadi alifilisika huyoJamaa yangu mmja anaitwa D.C
Aliruka naye sana
Ova
Mwambie ache ushamba akajifunze kwa Rais wa France Macron alipendwa na mwalimu wake akiwa hana kitu leo Rais kama anawapenda awachukue hawataki apotezee asitusumbue hatukumwambia ajipostMadam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.
View attachment 2875628
"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".
"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha
Nini maoni yako?
Uongo Macron anatoka familia ya Matajiri huyo Mkewe alimpenda sababu Kwao Wana kitu.Mwambie ache ushamba akajifunze kwa Rais wa France Macron alipendwa na mwalimu wake akiwa hana kitu leo Rais kama anawapenda awachukue hawataki apotezee asitusumbue hatukumwambia ajipost