Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hamna utamu pale 😂😂😂Huyo bi mkubwa kwa mwonekano tu ana utam flani amazing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna utamu pale 😂😂😂Huyo bi mkubwa kwa mwonekano tu ana utam flani amazing
Juu ya kidonda ndugu kweli!! Taifa linateketeaKumeza vidonge hata kwa under 18 unaweza sababishiwa tu. Acha uoga mkuu, we die as real soldiers.
We unabisha tu, kuna sign zimeonekanaHamna utamu pale 😂😂😂
Kuna mstari mwembamba sana kati ya kifo na kuishi. Kula maisha mkuu yajayo huyajuiJuu ya kidonda ndugu kweli!! Taifa linateketea
Bibie kajimwagia uji wa vuguvugu kaona haitoshi Bora aweke tangazo
Vijana wa kisasa si mnapenda mteremko nenda mkuu...mie huyo namjua toka enzi za benchmark iko regent ni kama mdau wangu ktk production siezi tia nenoKumeza vidonge hata kwa under 18 unaweza sababishiwa tu. Acha uoga mkuu, we die as real soldiers.
Mkongo sio mchezo ,cooling break ngumu kuwepo ,bibi asije akafaAisee kumbeee.....kwa hiyo yeye hataki vijana wampakie mkongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nichangamsha tu mkuu, mi mhenga kitambo sana. Acha vijana watumie fulsaVijana wa kisasa si mnapenda mteremko nenda mkuu...mie huyo namjua toka enzi za benchmark iko regent ni kama mdau wangu ktk production siezi tia neno
Madame enzi zake ndio alikua moto sio sasa anatuuzia rangi tuNichangamsha tu mkuu, mi mhenga kutambo sana. Acha vijana watumie fulsa
Kweli kabisa, mpaka mzee wetu mengi akatoa mtaji wa benchmark sio mchezo.Madame enzi zake ndio alikua moto sio sasa anatuuzia rangi tu
Hahahahahaha.Kama alikuwa anataka wazee si angeenda kwa mzee warioba
Umeguswa mahali mbona povu sana mkuu🤣Kama alikuwa anataka wazee si angeenda kwa mzee warioba
Mtaji benchmark, tenda za matangazo yote ipp na Coca-Cola, bonite ...yaani alikua full packageKweli kabisa, mpaka mzee wetu mengi akatoa mtaji wa benchmark sio mchezo.
We nawe kumbe kilaza hilo ni povu au utani?Umeguswa mahali mbona povu sana mkuu🤣
Now kachuja sana, akubali tu wakati ni ukuta.Mtaji benchmark, tenda za matangazo yote ipp na Coca-Cola, bonite ...yaani alikua full package
Anakuaje na yeye anajiona bado wamo km akina zuchu ?Yaani Rita hakui walahi tena ana wajukuu zaidi 5 sasa lakini bado anapaparika na ujana khaaa.....ndio maana vijana wanamtongoza hawatamuogopa kamwe
Hata mimi nimefanya utani tu, punguza matusi.We nawe kumbe kilaza hilo ni povu au utani?
Kabisa akubali matokeo atafute veteran mwenzake wamalizie maishaNow kachuja sana, akubali tu wakati ni ukuta.