Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Madam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.

View attachment 2875628

"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".

"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha

Nini maoni yako?
Yaani Rita hakui walahi tena ana wajukuu zaidi 5 sasa lakini bado anapaparika na ujana khaaa.....ndio maana vijana wanamtongoza hawatamuogopa kamwe
 
Watu wanaojinadi kuwa na heshima hawatafuti wenza kwa kutangaza mitandaoni.

Wanatafuta kwa kupewa mutual introductions kutoka kwenye networks zao za family and friends.

Ina maana yeye mtandao wake wote wa famikia na marafiki umefilisika watu kabisa?

Au kashaharibu na walio karibu naye wanajua alivyoharibu, na hivyo anawinda wasiomjua mitandaoni?
 
Watu wanaojinadi kuwa na heshima hawatafuti wenza kwa kutangaza mitandaoni.

Wanatafuta kwa kupewa mutual introductions kutoka kwenye networks zao za family and friends.

Ina maana yeye mtandao wake wote wa famikia na marafiki umefilisika watu kabisa?

Au kashaharibu na walio karibu naye wanajua alivyoharibu, na hivyo anawinda wasiomjua mitandaoni?
Lile ni tanganzo la biashara. Amefungua milango vijana wa apply ndio maana kasisitiza hataki wasio na sehemu ya kuishi.
 
Back
Top Bottom