Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..hii single maza imeamua kwenda live social mediaYeye ndiye hana heshima kwa kujinadi mtandaoni...angeweka wazi kuwa anataka vizee vya miaka 70 ili apate urithi wake mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..hii single maza imeamua kwenda live social mediaYeye ndiye hana heshima kwa kujinadi mtandaoni...angeweka wazi kuwa anataka vizee vya miaka 70 ili apate urithi wake mapema
Kwamba hakuna kuwaza siku za hatari 😀 😀 😀Menopose ndio huleta utulivu wa kula tunda bila stress
Hahahahaha kuna maji ya kutosha humo ..si unajua kule anakotoka?Mshangazi flan hv.....sijui kwann nahis atakua Sio mtamu
Haina hiyo wala kuogopa mimba. Hapo ni kujikinga na STD's then kula raha mpaka mwisho.Kwamba hakuna kuwaza siku za hatari 😀 😀 😀
Yaani Rita hakui walahi tena ana wajukuu zaidi 5 sasa lakini bado anapaparika na ujana khaaa.....ndio maana vijana wanamtongoza hawatamuogopa kamweMadam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.
View attachment 2875628
"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".
"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha
Nini maoni yako?
Lile ni tanganzo la biashara. Amefungua milango vijana wa apply ndio maana kasisitiza hataki wasio na sehemu ya kuishi.Watu wanaojinadi kuwa na heshima hawatafuti wenza kwa kutangaza mitandaoni.
Wanatafuta kwa kupewa mutual introductions kutoka kwenye networks zao za family and friends.
Ina maana yeye mtandao wake wote wa famikia na marafiki umefilisika watu kabisa?
Au kashaharibu na walio karibu naye wanajua alivyoharibu, na hivyo anawinda wasiomjua mitandaoni?
Hv Kumbe anatokea chamber za kwa kina anko Melo😁humo bila diving skills no kukanyagaHahahahaha kuna maji ya kutosha humo ..si unajua kule anakotoka?
Hahahahahaha,halafu hiyo mbn used sana kwa mashua labda kwa vile ni shangazi lenye hela na michongoHv Kumbe anatokea chamber za kwa kina anko Melo😁humo bila diving skills no kukanyaga
Kama ana michongo mileage sio shida sana, unabembea kwenye nyonyo kimkakati kichwani unajua kbs target ni ipiHahahahahaha,halafu hiyo mbn used sana kwa mashua labda kwa vile ni shangazi lenye hela na michongo
Hahahahahaha.Kama ana michongo mileage sio shida sana, unabembea kwenye nyonyo kimkakati kichwani unajua kbs target ni ipi
Sasa mapenzi si biashara, na anayefanya mapenzi kutangazwa kama biashara kashajiondolea viwango vya heshima yeye mwenyewe kwanza.Lile ni tanganzo la biashara. Amefungua milango vijana wa apply ndio maana kasisitiza hataki wasio na sehemu ya kuishi.
Haina makombo ujue😃Hahahahahaha,halafu hiyo mbn used sana kwa mashua labda kwa vile ni shangazi lenye hela na michongo
Hahahahaha kijana inaeza ikawa haina makombo ila ikakupa ratiba ya kumeza vidonge kila siku au kila wiki...utamudu matibabu ?Haina makombo ujue😃
Kijana wa hovyo, utapata laana kubembea kwenye nyonyo la bi mkubwa😃Kama ana michongo mileage sio shida sana, unabembea kwenye nyonyo kimkakati kichwani unajua kbs target ni ipi
Kumeza vidonge hata kwa under 18 unaweza sababishiwa tu. Acha uoga mkuu, we die as real soldiers.Hahahahaha kijana inaeza ikawa haina makombo ila ikakupa ratiba ya kumeza vidonge kila siku au kila wiki...utamudu matibabu ?
😂😂😂Vunja mifupa kama meno ipoKijana wa hovyo, utapata laana kubembea kwenye nyonyo la bi mkubwa😃
Huyo bi mkubwa kwa mwonekano tu ana utam flani amazing😂😂😂Vunja mifupa kama meno ipo