Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Niamini,huyo d.c mwenyeww mhuni master tu
Mbona mtoaji huyo mama sasa huyo dc atampa nn zaidi yy kuchuma

Ova
Maisha yaenda mbio sana huyi mama mtu mzima anaitafuta 60yrs now.....amejula raha zote amewavuruga sana webye pesa kina Mzee Mengi RiP.....anamakizia th sio kama ana shida vijana wa JF hata bundle la kuunga.....abatafuta vijana fulani 45.to 50 hapo wenye vipato vyao uhakika businesd za maana wafanye maisha......sio zali la mentali...sio huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…