Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kuna Mambo Kama movie vile....imagine MTU kukumbuka kuandika jina kwenye tofali😂Umeona eeh huenda ndo hayo yanampagawisha mwamba wetu bhana.
Anyways wanasema Siri ya mtungi aijuaye ni kata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Mambo Kama movie vile....imagine MTU kukumbuka kuandika jina kwenye tofali😂Umeona eeh huenda ndo hayo yanampagawisha mwamba wetu bhana.
Anyways wanasema Siri ya mtungi aijuaye ni kata
Eeh alesema mwenyewe Tena akasema hata mama mkwe wake na shangazi wa huyo mkewe ni waswahili haswaa Kama wale wa kwa mtogole sasa mwanamke wa background hiyo jf wapi na wapi?sana Sana anaweza kuwa insta kwenye zile page za udaku😅😅 ni wale wanawake wa kila wikend wanaenda kwenye sjughuliDuuh hili ndio nalisikia Leo Mimi
Ukweli bilashaka anaujua mwamba
Naona ni zaidi ya secretary jana tu katoka kunisema hapa yan hata nikisev namba mpya tayar ushajua🤣🤣🤣🤣🤣 sina mchezo na mume wangu natekeleza wajibu wa mke wa kumlinda yeye na.mali zake😂😂😂😂baby zu
Umetisha Sana kwahiyo wewe kama ndio secretary wake 😂😂😂
Anyways kama Baba watoto Hana makando kando basi ni Jambo zuri na endelea kumuombea aendelee kuwa hivyo hivyo
Mwanaume anarudi kila siku usiku wa manane na mauongo kibao nani anataka,mama wa watu hana namna ameamua kukubali kila haliWakataa ndoa kuna muda wana point, imagine mtu umeolewa na mtu kama huyo jamaa unayemzunguzia, kwanini usikatae ndoa na kukimbia, na kuja kutuletea uzi humu? hakuna ndoa hapo ni mtu mmoja ameamua kumsindikiza mwenzie aishi maisha yake.
Anachofanyiwa huyo dada ni unyanyasaji wa kihisia, ni vile tu hana pa kwenda.
Ngoja nikusanue mleta mada, Ukiwa na mume ambaye ni rafiki yako, haihitaji akuambie nani amepiga simu saa nane usiku, Simu ikiita mida ambayo "siyo" unaanza kuguess atakuwa fulani, au ni fulani, au ni fulani, na katika assumption moja ujue kuna jibu sahihi. Haihitaji mtu akuambie mlinzi kapiga simu, akipiga simu mlinzi utajua tu!
Nataka kusemaje? Kama unapendwa kweli, Unakuwa unamjua mumeo na ratiba zake bila ya kumfatilia nyuma nyuma au kushika simu yake.
😂😂😂 Lakini kile kitendo cha kutafakari Tu ni Jambo jema piaNipo nafikiria muswada wako ..ingawa sijajua Kama almashauri ya akili na mwili wangu vitaupitisha.
Daah hakika wewe hutaki mchezo kweli maana si Kwa udukuzi huoNaona ni zaidi ya secretary jana tu katoka kunisema hapa yan hata nikisev namba mpya tayar ushajua🤣🤣🤣🤣🤣 sina mchezo na mume wangu natekeleza wajibu wa mke wa kumlinda yeye na.mali zake😂😂😂😂
Aameeen alhamdulillah nawe akuafikishe ukimuoa bibi mya uache makando kando