We acha tu...........
Ndio maana mie kila kukicha nachange motion sababu kila mwanaume namuona chenga.
Alianza Ruhazwe JR.......hakunichangia.
Akaja @Ruttsshobolwa.........hakunichangia.
wakaja akina Bonny,... Chilli,.... Chimbuvu,... Ben Saanane,... tedo,... Arushaone,... CHAI CHUNGU,... matumbo,... Chibolo,... Remote..............hao woote nimeambulia pakavu.
Jamani SACCOS yangu imenishinda.
Naigawa......
hahahaha............siri yako shostiiiiiiii!!!!!!!!!!
Yeewiiii....menyamaza best...wasijesikia wakakuroga buuureee....Jisevie mwanamama
Madame B, hata haka kautepe ka BRONZE jamani kanakushinda....!
Jina kuubwa, lakini unatuangusha bana, hebu sema na shemeji akuondolee hii aibu....... LOL
Copy to: Paloma, amu, Asprin, na Kipaji Halisi.....
ha haaa, unajishtukia?Hii naona hainihusu....:car:
ha haaa, umeona eeehhhh!sikubali na mimi eboooo!!
etiii Mike mackee baada ya tanzanite kuna nini tena??
Mwali limekupendeza sio siri lolz!
hivi hamnaga za diamond enh!!ha haaa, umeona eeehhhh!
mambo iko huku......
nimeona nihamie kwenye tanzanite, lol! kipende chako....
cc Nyamayao, mimisa, Chocs, Arabela, Nyamayao, ladyfurahia, Lady doctor (msalimu shem), Preta (huyu wifi yangu sijui kapotelea wapi?)
ha haaa, umeona eeehhhh!
mambo iko huku......
nimeona nihamie kwenye tanzanite, lol! kipende chako....
cc Nyamayao, mimisa, Chocs, Arabela, Nyamayao, ladyfurahia, Lady doctor (msalimu shem), Preta (huyu wifi yangu sijui kapotelea wapi?)
ha haaa, ngoja tuwaulize akina Mike McKee, Maxence Melo na Invisible watujuzehivi hamnaga za diamond enh!!
ha haaa, ngoja tuwaulize akina Mike McKee, Maxence Melo na Invisible watujuzehivi hamnaga za diamond enh!!
Do the needful rafikiwantamanisha mbna
Changia JF basi Mrs BishangaThis is my real name, what is up here?