Madaraja, mabarabara ya lami si maendeleo. Magufuli hakufanya maendeo yoyote kwenye utawala wake

Madaraja, mabarabara ya lami si maendeleo. Magufuli hakufanya maendeo yoyote kwenye utawala wake

Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.
hapo umedanganya. na itoshe inazima kabisa hoja yenu kwamba, "Kuna Maendeleo Nchi zilizoendelea" kwa kigezo cha Mabarabara na miundombinu mingine.

ChoiceVariable atakosa kazi ya kutudanganya kuwa Mh. Rais Samia analeta maendeleo kwa kujenga lami kumshinda Magufuli. Kujenga zhanati na kadhalika.

Itaondoa hoja za sky soldier
 
Ile sauti ya bambo "Huyu si chizi huyu?" 🤣🤣
 
Muulizeni mleta thread. Hayo maendeleo gani alitaka ayaone?

Kwanini ametumia Jina la Marehemu na Sio Rais Samia ambaye ndio mwenye usukani? Jibu ni apate maendeleo ya kwake binafsi hapa JF.

Je anataka kusema Rais Samia haleti maendeleo yeyote yale?

Je, kuna vitu vingine tofauti ambavyo hatuvijui labda kwa kutokujua ama kupuuza kwamba Maendeleo ya rami na madaraja ambayo Rais Samia kayafanya si Maendeleo?

Maendeleo nn?

Ungekosa nn kumtaja Rais Samia? Lucas Mwashambwa tupe mwongozo.
 
Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.

Hivyo vitu ni lazima kuwepo.
Yaani ni sharti serikali itumie kodi kujenga barabara, miundombinu ya afya na elimu bora.

Maendeleo ni kama yale yanayofanywa na Rais wa Burkina Faso, kajenga viwanda vya magari ya umeme yenye viwango vya kiulimwengu.
Tanzania na nchi zingine miaka michache mbele tutapeleka pesa Burkina Faso ili
tupate magari.

Sasa vile viwanda elfu 20 vya Magufuli viko wapi?
Vinazalisha nini?

Je, kuna nchi inakuja kununua bidhaa kwenye moja ya viwanda hivyo vya Magufuli ambavyo tuliambiwa vimeajiri wafanyakazi million 2?

Mpaka kesho nitabishana na pro Magufuli.

Yule mzee hakuna alilolifanya la ajabu kwenye hii nchi.
kweli Watanzania wengi ni mambumbu mfano ni huyu
 
Mungu alianza kuumba mwili kisha roho.
Ili mkulima apate maendeleo ya biashara yake ya kilimo ni lazima miundombinu iwe bora kufikisha mazao toka sehemu 1 kwenda nyingine.

Miundombinu uharakisha maendeleo.
 
Barabara ikiwa nzuri, mjamzito na wagonjwa wengine wataitumia hiyo barabara kuwahi hosipitalini, "barabara ni maendeleo "
 
Hivyo viwanda unavyotaja kuwa ndyo maendeleo, unajua maligafi za huko viwandani zinafikaje huko?, unajua miundombinu ni kigezo mojawapo Cha kuvutia uwekezaji?

Unajua maendeleo yanakwenda na muda? Naa unajua kwamba miundo mbinu mibovu ya barabara inapoteza muda na hasara?

Sasa kwa kipindi Cha JPM hapakuwa na namna yoyote ya kuanza kwenye ujenzi 2a miundombinu kabla ya hivyo unavyotaja wewe
 
kweli Watanzania wengi ni mambumbu mfano ni huyu
Usimpe benefit hiyo. Je ndio alikuwa anayataka. Who knows.
=========

kwani ungesema huyu mtanzani ni mpumbavu unepungukiwa nn badala ya kuwaweka watanzania wote kwenye kapu moja la wapumbavu?

mbali na porojo na lugha ya ovyo sana aliyoitumia kuwasilisha hoja yake, kuna mjadala unaoeza ibuka hapo, au unafikiri vp mkuu?

Kama ni kweli anatafuta mjadala wa nn haswa ndio Maendeleo angweza kufanya hivyo, ila hizi lugha zinazoamsha hisia zinafanya uzi unabadilika na kumzungumzia Marehemu badala ya nn haswa alitaka kupata kwenye mjadala huu. Ambayo nafikiri ni kusema Lami na Barabara na Madaraja sio Maendeleo kama tunavyoaminishwa. Zaidi ya hapo, labda anaendeleza hujuma, anafifisha legasi au anataka aonekane, ajulikane

Sidhani kama ana umbumbumbu wowote ule anaju alifanyalo. Ubaya wake ni kumtumia Marehemu Magufuli. Ila kama ni kwwli anatafuta mjadala, ana budi ku moderate, mtu akienda mbali, unamrekebisha na kumuweka relini tena. Bila hivyo naeza afiki na wewe sio mbumbumbu tu ni mpuuzi
 
Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.

Hivyo vitu ni lazima kuwepo.
Yaani ni sharti serikali itumie kodi kujenga barabara, miundombinu ya afya na elimu bora.

Maendeleo ni kama yale yanayofanywa na Rais wa Burkina Faso, kajenga viwanda vya magari ya umeme yenye viwango vya kiulimwengu.
Tanzania na nchi zingine miaka michache mbele tutapeleka pesa Burkina Faso ili
tupate magari.

Sasa vile viwanda elfu 20 vya Magufuli viko wapi?
Vinazalisha nini?

Je, kuna nchi inakuja kununua bidhaa kwenye moja ya viwanda hivyo vya Magufuli ambavyo tuliambiwa vimeajiri wafanyakazi million 2?

Mpaka kesho nitabishana na pro Magufuli.

Yule mzee hakuna alilolifanya la ajabu kwenye hii nchi.
Magufuli kajenga hivyo vitu toka alivyokuwa Waziri wa Ujenzi na rais wa nchi. Vinazungumziwa kwa sababu marais waliopita hawakufanya lolote la maana zaidi ya wizi wa hadharani na hawakuijali nchi.
 
Mungu alianza kuumba mwili kisha roho.
Ili mkulima apate maendeleo ya biashara yake ya kilimo ni lazima miundombinu iwe bora kufikisha mazao toka sehemu 1 kwenda nyingine.

Miundombinu uharakisha maendeleo.
Point mkulu
 
Muulizeni mleta thread. Hayo maendeleo gani alitaka ayaone?

Kwanini ametumia Jina la Marehemu na Sio Rais Samia ambaye ndio mwenye usukani? Jibu ni apate maendeleo ya kwake binafsi hapa JF.

Je anataka kusema Rais Samia haleti maendeleo yeyote yale?

Je, kuna vitu vingine tofauti ambavyo hatuvijui labda kwa kutokujua ama kupuuza kwamba Maendeleo ya rami na madaraja ambayo Rais Samia kayafanya si Maendeleo?

Maendeleo nn?

Ungekosa nn kumtaja Rais Samia? Lucas Mwashambwa tupe mwongozo.
Rami mkaamua kuirejea kwa upana😆
 
Mzee wangu Hadi kufikia 00:00 utakua ushayakoga matusi mengi mnoo.
 
𝙆𝙖𝙛𝙞𝙚 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙞 𝙝𝙪𝙟𝙪𝙞 𝙠𝙪 𝙧𝙚𝙖𝙨𝙤𝙣 𝙢𝙠𝙪𝙪
 
Rami mkaamua kuirejea kwa upana😆
'ww si ndie mkubwa wa Tanroad na wa madaraja" jamaa hakuamini atamaliza siku "haya makarveti hakuezi kuyatumia kujenga hata tempolaly"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ameraramika kwa kweri.

"Tanzania bila ya Magufuli hamtoboi" alisemaga SYLLOGIST!

ni kweri bira ya magufuri huu uzi ungekuwa page ya 800. amini hivo
 
Angejemga kiwanda cha magari, hayo magari yangepita kwenye barabara zipi?
🤔
🏌‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️ nimejirusha sarakasi za kukichwa

Point
 
Back
Top Bottom