Madaraja, mabarabara ya lami si maendeleo. Magufuli hakufanya maendeo yoyote kwenye utawala wake

Madaraja, mabarabara ya lami si maendeleo. Magufuli hakufanya maendeo yoyote kwenye utawala wake

Yani jinsi ulivyoandika tu Rami badala ya Lami,maendeo badala ya maendeleo,nikajua tu kuna tatizo mahali
Ila hongera kwa kuanzisha uzi,pia kumbuka hakuna anaenzisha kiwanda sehemu isiyokuwa na miundo mbinu ya barabara.
Na kama hizo barabra hazikuwa sehemu ya maendeleo,tuambie zilikuwa sehemu ya nini
 
Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.

Hivyo vitu ni lazima kuwepo.
Yaani ni sharti serikali itumie kodi kujenga barabara, miundombinu ya afya na elimu bora.

Maendeleo ni kama yale yanayofanywa na Rais wa Burkina Faso, kajenga viwanda vya magari ya umeme yenye viwango vya kiulimwengu.
Tanzania na nchi zingine miaka michache mbele tutapeleka pesa Burkina Faso ili
tupate magari.

Sasa vile viwanda elfu 20 vya Magufuli viko wapi?
Vinazalisha nini?

Je, kuna nchi inakuja kununua bidhaa kwenye moja ya viwanda hivyo vya Magufuli ambavyo tuliambiwa vimeajiri wafanyakazi million 2?

Mpaka kesho nitabishana na pro Magufuli.

Yule mzee hakuna alilolifanya la ajabu kwenye hii nchi.
Mkuu huoni aibu?
 
Back
Top Bottom