hapo umedanganya. na itoshe inazima kabisa hoja yenu kwamba, "Kuna Maendeleo Nchi zilizoendelea" kwa kigezo cha Mabarabara na miundombinu mingine.Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.
kweli Watanzania wengi ni mambumbu mfano ni huyuUkifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.
Hivyo vitu ni lazima kuwepo.
Yaani ni sharti serikali itumie kodi kujenga barabara, miundombinu ya afya na elimu bora.
Maendeleo ni kama yale yanayofanywa na Rais wa Burkina Faso, kajenga viwanda vya magari ya umeme yenye viwango vya kiulimwengu.
Tanzania na nchi zingine miaka michache mbele tutapeleka pesa Burkina Faso ili
tupate magari.
Sasa vile viwanda elfu 20 vya Magufuli viko wapi?
Vinazalisha nini?
Je, kuna nchi inakuja kununua bidhaa kwenye moja ya viwanda hivyo vya Magufuli ambavyo tuliambiwa vimeajiri wafanyakazi million 2?
Mpaka kesho nitabishana na pro Magufuli.
Yule mzee hakuna alilolifanya la ajabu kwenye hii nchi.
Naongezea, fool in deed!Kwamba vinakuwepo tu??? Unaamka asubuhi, unakuta Anko fulani wa Ulaya amekujengeeni? You are such a fool.
Usimpe benefit hiyo. Je ndio alikuwa anayataka. Who knows.kweli Watanzania wengi ni mambumbu mfano ni huyu
Magufuli kajenga hivyo vitu toka alivyokuwa Waziri wa Ujenzi na rais wa nchi. Vinazungumziwa kwa sababu marais waliopita hawakufanya lolote la maana zaidi ya wizi wa hadharani na hawakuijali nchi.Ukifika nchi zilizoendelea huwezi kuona watu wanazungumzia mabarabara , ma fly over au ujenzi wa zahanati kama ishara ya maendeleo.
Hivyo vitu ni lazima kuwepo.
Yaani ni sharti serikali itumie kodi kujenga barabara, miundombinu ya afya na elimu bora.
Maendeleo ni kama yale yanayofanywa na Rais wa Burkina Faso, kajenga viwanda vya magari ya umeme yenye viwango vya kiulimwengu.
Tanzania na nchi zingine miaka michache mbele tutapeleka pesa Burkina Faso ili
tupate magari.
Sasa vile viwanda elfu 20 vya Magufuli viko wapi?
Vinazalisha nini?
Je, kuna nchi inakuja kununua bidhaa kwenye moja ya viwanda hivyo vya Magufuli ambavyo tuliambiwa vimeajiri wafanyakazi million 2?
Mpaka kesho nitabishana na pro Magufuli.
Yule mzee hakuna alilolifanya la ajabu kwenye hii nchi.
Point mkuluMungu alianza kuumba mwili kisha roho.
Ili mkulima apate maendeleo ya biashara yake ya kilimo ni lazima miundombinu iwe bora kufikisha mazao toka sehemu 1 kwenda nyingine.
Miundombinu uharakisha maendeleo.
Rami mkaamua kuirejea kwa upanaπMuulizeni mleta thread. Hayo maendeleo gani alitaka ayaone?
Kwanini ametumia Jina la Marehemu na Sio Rais Samia ambaye ndio mwenye usukani? Jibu ni apate maendeleo ya kwake binafsi hapa JF.
Je anataka kusema Rais Samia haleti maendeleo yeyote yale?
Je, kuna vitu vingine tofauti ambavyo hatuvijui labda kwa kutokujua ama kupuuza kwamba Maendeleo ya rami na madaraja ambayo Rais Samia kayafanya si Maendeleo?
Maendeleo nn?
Ungekosa nn kumtaja Rais Samia? Lucas Mwashambwa tupe mwongozo.
siku hio atakumbuka ELO. Badala ya RAπ€£π€£π€£ ww u mkorofi sana. akule kidonge yakeIpo siku utashindwa kubeba mimba ya mumeo na kumlaumu JPM
'ww si ndie mkubwa wa Tanroad na wa madaraja" jamaa hakuamini atamaliza siku "haya makarveti hakuezi kuyatumia kujenga hata tempolaly"Rami mkaamua kuirejea kwa upanaπ
π€Angejemga kiwanda cha magari, hayo magari yangepita kwenye barabara zipi?