Madaraka ni DHAMANA. Wanaomuonea Mbowe watapukutika mmoja baada ya Mwingine

Madaraka ni DHAMANA. Wanaomuonea Mbowe watapukutika mmoja baada ya Mwingine

Tumekuwa tukisikia malalamiko mengi sana. Mengi sana dhidi ya wenye madaraka wanaobambikia watu kesi za ajabu ajabu hasa za kisiasa. Ingawa watu wanaonewa kila kona, wanauwawa bila hatia na polisi kwa mfano kule Mtwara, kijana asiyekuwa na hatia kauwawa sababu ya dhulma.

WAALIFU Kama Urio, na Kingai , Goodluck, Mahita, Jumanne wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela

Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina

Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa

Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !

Karma is a BITCH!!
 
Tumekuwa tukisikia malalamiko mengi sana. Mengi sana dhidi ya wenye madaraka wanaobambikia watu kesi za ajabu ajabu hasa za kisiasa. Ingawa watu wanaonewa kila kona, wanauwawa bila hatia na polisi kwa mfano kule Mtwara, kijana asiyekuwa na hatia kauwawa sababu ya dhulma.

WAALIFU Kama Urio, na Kingai wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela

Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina

Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa

Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !

Karma is a BITCH!!
Ukinza na Musiba, Makonda, Sabaya, na Baba Lao Mwendazake.

Mbowe hapendi kulia kwa mayowe. Huwa analilia moyoni na Mungu humsikia.
 
MTU huyu AMEONEWA SANA na UTAWALA wa Awamu ya 5
Ameharibiwa Shamba lake,Eneo lake la Biashara,Amefungiwa Akaunti zake,Amesingiziwa Kesi nyingi sana yeye na Viongozi wa Chadema
Ameharibiwa gari lake
Amedhulumiwa Ubunge wake
LEO ANABAMBIKIZIWA UGAIDI kwa Kuonewa
Hakika MUNGU ATAMLIPIA TU

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mungu atamlipa.
 
Hata waliosuka mpango mzima wa kesi za Sabaya kwa speed ya 4G nao majibu watayapata.

Kweka aliunda tusk force ya kumridhisha Baba mkwe,lakini naye ameshindwa kuiunda tusk force ingine kumuokoa Baba mkwe.

Siku zinaenda kasi sana!
Vipi wameshatapata??
 
Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !
Wasipojifunza basi watakuwa hawana akili.

Leo Ndugai anaishi kama digi digi then Mbowe anashinda Ikulu na Ma-RPC wanampigia salute🤣🤣
 
Tumekuwa tukisikia malalamiko mengi sana. Mengi sana dhidi ya wenye madaraka wanaobambikia watu kesi za ajabu ajabu hasa za kisiasa. Ingawa watu wanaonewa kila kona, wanauwawa bila hatia na polisi kwa mfano kule Mtwara, kijana asiyekuwa na hatia kauwawa sababu ya dhulma.

WAALIFU Kama Urio, na Kingai wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela

Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina

Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa

Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !

Karma is a BITCH!!
Ni kweli...

Sisi sote ni binadamu...

In some different occassions and cirumstances huwa tunafanya makosa ya kutisha na ya kawaida dhidi ya binadamu wenzetu. Makosa haya ndiyo huitwa dhambi...

Hivyo sote sisi tuna dhambi, tunahitaj msaada ili tuokoke toka ktk adhabu ya makosa hayo ambayo huitwa HUKUMU YA MUNGU...

Hivyo tunapowaambia au kuelezana makosa [madhambi] yetu, basi tuelezane na namna ya kuyarekebisha ili kuiepuka hiyo hukumu ya hasira ya Mungu kwa sababu ya kutendeana mabaya sisi kwa sisi wanadamu...

Njia ya kuepuka hukumu na hasira ya Mungu ni moja tu....... Ni kwa njia ya ya TOBA YA KWELI kwa kila mtu hata wewe unayejidhani una "dhambi ndogo" sana kuliko wengine....

Kwa Mungu dhambi ni dhambi tu. Hakuna kubwa wala ndogo. Na kila dhambi lazima ihukumiwe....!

Kwa hiyo TOBA YA KWELI, kwa maana ya KUTUBU/KUKIRI MAKOSA na KUGEUKA/KUACHA MAZOEA YA KUTENDA DHAMBI na kisha kuomba NEEMA na REHEMA ya MUNGU ili aache hasira yake yenye hukumu kwetu, diyo njia sahihi ya kufanywa upya na kuepuka HUKUMU ya adhabu yake...
 
Waliokuwa peak wakitaka chadema ife wamekufa wao
 
Back
Top Bottom