JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mudathiri Yahaya alishawapigia viongozi wa Azam wakawa hawataki kupokea simu, sasa shangilia yake ni kupokea simu maana sio Madaraka peke yake hio ipo kwa watu wengi sana sana sana wanapuuza hata Jambo linaloweza kuwasaidia wenyewe wanapuuza kupokea simuHasa viongozi kwa nini hawapokei simu za madaraka, viongozi mshike simu mmeambiwa huko
Pokea simu wewe usipuuze unapopigiwa simu labda nyumba yako inaungua watu wanataka kukupa taarifa unapuuza ukifika nyumba imegeuka mkaaKuna wakati sio lazima kupokea/kupiga simu,ndio maana kuna sms haijalishi ni nani au yupi.
Binadamu tumeumbwa tofaut itofauti ni vizuri tukavumiliana na sio lazima kuwaambia watu madhaifu ya wengine.
Ni kweli kabisa,kwa upande wangu ni lazima nipokee simu.Pokea simu wewe usipuuze unapopigiwa simu labda nyumba yako inaungua watu wanataka kukupa taarifa unapuuza ukifika nyumba imegeuka mkaa
Hapo umesema vyema Mimi hata km namba ngeni ikipiga nikiwa mbali nikikuta missed call nafsi inanisuta lazima nimtafute nimalizane naeNi kweli kabisa,kwa upande wangu ni lazima nipokee simu.
Tatizo lipo kwa wenye daraja fulani la maisha kudhani kuwa kupokea simu sio lazima au kuwa na tabia za kubagua simu za watu wengine.