tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Heri ya madaraka sio yule chapombe mropokaji 24hrs kalewa,familia kamtelekezea mkeBaada ya Rais kutangaza kulivunja bunge la 11 leo Juni 16,2020 mtoto wa baba wa Taifa Madaraka Nyerere ametangaza rasmi kugombea nafasi ya ubunge kwa Jimbo la Butiama mkoani Mara.
Madaraka Nyerere ametangaza nia hiyo kutokana na Mbunge aliyekuwepo kukaa muda mrefu nje ya nchi akipata matibabu ilihali wananchi wakihitaji kusaidiwa katika shughuli za maendeleo yao.
#UchaguziMkuu
WOTE NI MALAIKA KWENYE VYAMA VYAOJiwe ni yesu
Kuna wakati unaweza kuandika kitu bila kutafakari baadae ukajishangaa ile ilikuwa akili yako ya kawaida au ulikumbwa na nini?Uroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Nyerere alikuwa mzalendo Kweli Akaunt yake hata b1 haikuwa nayoUroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Hivi huyo mbunge wa hilo jimbo miaka yote aliyolazwa huko Marekani alikuwa analipwa posho zake kama kawaida?
Mtoto wa rais unamfananisha na mboweMbona Mbowe kaiba pesa nyingi hadi za Wabunge wa Chadema na bado anautamani Urais na hujamwambia aache?
Uroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Uroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Baada ya 2001 kabisa. Ana miaka 19 kwa sasaWewe utakuwa umezaliwa baada ya 1990; hujui uadilifu wa Mwl. Julius Nyerere
Umewah kufika Butiama kwa Mwalimu Nyerere?Uroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Amesubiri akongoroke ndio aingie bungeni !Baada ya Rais kutangaza kulivunja bunge la 11 leo Juni 16,2020 mtoto wa baba wa Taifa Madaraka Nyerere ametangaza rasmi kugombea nafasi ya ubunge kwa Jimbo la Butiama mkoani Mara.
Madaraka Nyerere ametangaza nia hiyo kutokana na Mbunge aliyekuwepo kukaa muda mrefu nje ya nchi akipata matibabu ilihali wananchi wakihitaji kusaidiwa katika shughuli za maendeleo yao.
#UchaguziMkuu
Nimejaribu kuangalia physical appearance ya madaraka nyerere kwa kweli naona amesha chelewa ....
Baada ya Rais kutangaza kulivunja bunge la 11 leo Juni 16,2020 mtoto wa baba wa Taifa Madaraka Nyerere ametangaza rasmi kugombea nafasi ya ubunge kwa Jimbo la Butiama mkoani Mara.
Madaraka Nyerere ametangaza nia hiyo kutokana na Mbunge aliyekuwepo kukaa muda mrefu nje ya nchi akipata matibabu ilihali wananchi wakihitaji kusaidiwa katika shughuli za maendeleo yao.
#UchaguziMkuu
Na ni lofa vile vile.We we ni mpumbavu
Unamchumia dhambi mzee wa watuUroho unamsumbua Mali zote alizoiba baba yake azimtoshi mpaka atamani ubunge.
Wapo waliozaliwa baada ya 1990 lkn wanatambua Legacy ya Mwalim...Huyu ni ujinga umemtawala na itikadi za kijinga alizomezeshwa.pole kwakeWewe utakuwa umezaliwa baada ya 1990; hujui uadilifu wa Mwl. Julius Nyerere