Madaraka Nyerere na ndugu zake wameshindwa kulitumia vizuri jina la baba yao kujipatia riziki, wapewe mbinu

Madaraka Nyerere na ndugu zake wameshindwa kulitumia vizuri jina la baba yao kujipatia riziki, wapewe mbinu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Bob Marley tangu afariki imepita miaka zaidi ya 40 lakini familia yake bado wanakula bata kupitia loyarities na JIna la baba yao. Michael Jackson family, Tupac family, Kennedy family pia ni miongoni mwa wanufaika wa jina.

Tukija hapa nchini, Karume, Kikwete, Mwinyi. Hawa familia zao vizazi na vizazi hawatajua shida ni nini.

Babu yake Kikwete alikuwa ni Akida au Liwali wa Serikali ya kikoloni, Baba yake Kikwete alikuwa DC enzi za mwalimu, Jakaya mwenyewe sina haja ya kumuelezea, kijana wake tayari ni waziri si ajabu huko mbeleni akawa mtu mkubwa nchi hii.

Mchungaji Getrude Rwakatale alikomalia hilo jina la Rwakatare, Japo yeye ni mpogolo aliona aendelee na hilo jina la kihaya kwa sababu alijua wahaya wanapenda elimu na yeye akikuwa anawekeza kwenye shule, ilimsaidia sana, wahaya wengi wakipeleka watoto St. marys kwa imani ya kumuungisha biashara muhaya mwenzao, walikuja kugundua ni mpogolo too late.

Maisha ya familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere yako wazi sana, ni familia inayoishi maisha ya kawaida sana. Baba yao alikuwa muadilifu sana hakuwa mwizi

Si ajabu Makongoro kupewa cheo cha u RC akiwa na miaka 60+ huku wenzake wenye umri huo wakistaafishwa kwa cheo hicho hicho.

Lengo ilikuwa kuclear njaa ndogo ndogo kwenye familia na familia kuwa na mwakilishi serikalini.

Unaweza kudhani watoto wa Nyerere wamesusa kupambana na maisha ila kuna stori mitaani kuwa hawabebeki,wanaamka saa nne.

Wameshindwa kutumia jina la baba yao kuleta ushawishi.

Hiawa chawa wetu wakizazi hiki wangebahatika kuzaliwa kwenye hiyo familia tungekoma,wangekuwa mabilionea.

waamke usingizini wafungue hata mgahawa wauite Butiama au Nyerere hapo Dodoma ,Makongoro akae reception waone kutakavyojaa

au wabuni mradi wowote wa familia,sisi tuko tayari kuwachangia

kila mtu anajua kuwa wana njaa,baba yao hakuibia Taifa
Mungu fundi Mama Maria kuishi kwake miaka mingi ni faida kwa watoto,siombei ila ikitokea siku hayupo basi biashara imeisha,hakuna simu itapigwa au kupokelewa.
 
Bob Marley tangu afariki imepita miaka zaidi ya 40 lakini familia yake bado wanakula bata kupitia loyarities na JIna la baba yao
Michae Jackson family,Tupac family,Kennedy family pia ni miongoni mwa wanufaika wa jina .

Tukija hapa nchini,Karume,Kikwete,Mwinyi.hawa familia zao vizazi na vizazi hawatajua shida ni nini.

Babu yake Kikwete alikuwa ni Akida au Liwali wa serikali ya kikoloni,Baba yake Kikwete alikuwa DC enzi za mwalimu,Jakaya mwenyewe sina haja ya kumuelezea,kijana wake tayari ni waziri si ajabu huko mbeleni akawa mtu mkubwa nchi hii,

Mchungaji Getrude Rwakatale alikomalia hilo jina la Rwakatare,Japo yeye ni mpogolo aliona aendelee na hilo jina la kihaya kwa sababu alijua wahaya wanaoenda elimu,na yeye akikuwa anewekeza kwenye shule,ilimsaidia sana ,wahaya wengi wakipeleka watoto St. marys kwa imani ya kumuungisha biashara muhaya mwenzao,walikuja kugundua ni mpogolo too late.

Maisha ya familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere yako wazi sana,ni familia inayoishi maisha ya kawaida sana.baba yao alikuwa muadilifu sana hakuwa mwizi

Si ajabu Makongoro kupewa cheo cha u RC akiwa na miaka 60+huku wenzake wenye umri huo wakistaafishwa kwa cheo hicho hicho.

Lengo ilikuwa kuclear njaa ndogo ndogo kwenye familia na familia kuwa na mwakilishi serikalini.

Unaweza kudhani watoto wa Nyerere wamesusa kupambana na maisha ila kuna stori mitaani kuwa hawabebeki,wanaamka saa nne.

Wameshindwa kutumia jina la baba yao kuleta ushawishi.

Hiawa chawa wetu wakizazi hiki wangebahatika kuzaliwa kwenye hiyo familia tungekoma,wangekuwa mabilionea.

waamke usingizini wafungue hata baa au mgahawa wauite Butiama au Nyerere hapo Dodoma ,Makongoro akae reception waone kutakavyojaa

au wabuni mradi wowote wa familia,sisi tuko tayari kuwachangia

kila mtu anajua kuwa wana njaa,baba yao hakuibia Taifa
Mungu fundi Mama Maria kuishi kwake miaka mingi ni faida kwa watoto,siombei ila ikitokea siku hayupo basi biashara imeisha,hakuna simu itapigwa au kupokelewa.
Kama uadilifu mkubwa wa Nyerere ndio sababu ya umaskini kwa familia yake, basi tuache kuhamasisha maadili kijamii na kitaifa maana ni laana kwa vizazi. Bahati mbaya jina la Nyerere linatumika vibaya kimaslahi binafsi au kisiasa. Lakini nikuhakikishie, ziko nchi hawakujua hata, Tanzania mpaka uwaambie natoka nchi ya Nyerere. Kama warithi wake wangeendeleza mazuri yake, wasingeruhusu haya kutokea. Nyerere aliacha viwanda zaidi ya 400 leo ni maghala ya kutunzia bidhaa za China na nk. Alisomesha kila raia aliyehitaji kusoma popote duniani. Alimtibua kila raia nchini na popote duniani. Mtu wa namna hii asipoenziwa kwa mazuri yake, na hao aliowasomesha unategemea afufuke au familia yake ianze kusema wakati mazuri yake waliyaharibu makusudi. Familia haitakiwi kupambania jina lililojijenga lenyewe. Tanzania tusipoona umuhimu wa Nyerere nchi alizosaidia kujikomboa wanajua na watatushangaa.
 
Bob Marley tangu afariki imepita miaka zaidi ya 40 lakini familia yake bado wanakula bata kupitia loyarities na JIna la baba yao. Michael Jackson family, Tupac family, Kennedy family pia ni miongoni mwa wanufaika wa jina.

Tukija hapa nchini, Karume, Kikwete, Mwinyi. Hawa familia zao vizazi na vizazi hawatajua shida ni nini.

Babu yake Kikwete alikuwa ni Akida au Liwali wa Serikali ya kikoloni, Baba yake Kikwete alikuwa DC enzi za mwalimu, Jakaya mwenyewe sina haja ya kumuelezea, kijana wake tayari ni waziri si ajabu huko mbeleni akawa mtu mkubwa nchi hii.

Mchungaji Getrude Rwakatale alikomalia hilo jina la Rwakatare, Japo yeye ni mpogolo aliona aendelee na hilo jina la kihaya kwa sababu alijua wahaya wanapenda elimu na yeye akikuwa anawekeza kwenye shule, ilimsaidia sana, wahaya wengi wakipeleka watoto St. marys kwa imani ya kumuungisha biashara muhaya mwenzao, walikuja kugundua ni mpogolo too late.

Maisha ya familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere yako wazi sana, ni familia inayoishi maisha ya kawaida sana. Baba yao alikuwa muadilifu sana hakuwa mwizi

Si ajabu Makongoro kupewa cheo cha u RC akiwa na miaka 60+ huku wenzake wenye umri huo wakistaafishwa kwa cheo hicho hicho.

Lengo ilikuwa kuclear njaa ndogo ndogo kwenye familia na familia kuwa na mwakilishi serikalini.

Unaweza kudhani watoto wa Nyerere wamesusa kupambana na maisha ila kuna stori mitaani kuwa hawabebeki,wanaamka saa nne.

Wameshindwa kutumia jina la baba yao kuleta ushawishi.

Hiawa chawa wetu wakizazi hiki wangebahatika kuzaliwa kwenye hiyo familia tungekoma,wangekuwa mabilionea.

waamke usingizini wafungue hata baa au mgahawa wauite Butiama au Nyerere hapo Dodoma ,Makongoro akae reception waone kutakavyojaa

au wabuni mradi wowote wa familia,sisi tuko tayari kuwachangia

kila mtu anajua kuwa wana njaa,baba yao hakuibia Taifa
Mungu fundi Mama Maria kuishi kwake miaka mingi ni faida kwa watoto,siombei ila ikitokea siku hayupo basi biashara imeisha,hakuna simu itapigwa au kupokelewa.
well said
 
Kama uadilifu mkubwa wa Nyerere ndio sababu ya umaskini kwa familia yake, basi tuache kuhamasisha maadili kijamii na kitaifa maana ni laana kwa vizazi. Bahati mbaya jina la Nyerere linatumika vibaya kimaslahi binafsi au kisiasa. Lakini nikuhakikishie, ziko nchi hawakujua hata, Tanzania mpaka uwaambie natoka nchi ya Nyerere. Kama warithi wake wangeendeleza mazuri yake, wasingeruhusu haya kutokea. Nyerere aliacha viwanda zaidi ya 400 leo ni maghala ya kutunzia bidhaa za China na nk. Alisomesha kila raia aliyehitaji kusoma popote duniani. Alimtibua kila raia nchini na popote duniani. Mtu wa namna hii asipoenziwa kwa mazuri yake, na hao aliowasomesha unategemea afufuke au familia yake ianze kusema wakati mazuri yake waliyaharibu makusudi. Familia haitakiwi kupambania jina lililojijenga lenyewe. Tanzania tusipoona umuhimu wa Nyerere nchi alizosaidia kujikomboa wanajua na watatushangaa.
Sawa baba kafanya mazuri lakini watoto wana njaa
 
Sawa baba kafanya mazuri lakini watoto wana njaa
Njaa yao unaipimaje ? Kusema hawapokelewi simu hiyo ni njaa ? Unajisikiaje wewe ukimpigia hata rafiki tu hapokei, unatuma msg (sio kuomba msaada) pia hajibu. ?
 
Madhara ya kuishi kwenye comfort zone hayo.. Kila kitu nipo no headache
 
Back
Top Bottom