Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Injinia,tunamhurumia mtu kwa matatizo ya kujitakia,awe anatoa au anaingiza,biashara hii haifai,na kuhusu kuchafuliwa,ni kadhia ambazo watz wanatoa ushuhuda wa kukumbana nazo kwenye viwanja vya ndege huko ughaibuni,pindi waoneshapo Pass za TANZANIA

Mkuu, kama umewahi kuishi ughaibuni utagundua kwamba Tanzania ni nchi ambayo duniani haijulikani kabisa, achilia mbali pasipoti ya Tanzania. Ughaibuni mtu yoyote anayesafiri na pasipoti ya nchi isiyojulikana au nchi za Afrika, husimamishwa na kuulizwa maswali ambayo wazungu hawaulizwi. Hili halitokei kwa Watanzania peke yake. Hata Wamalawi wanakutwa na kadhia hii.

Kitu kingine ambacho nimejifunza ughaibuni, Ingawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, lakini Zanzibar inajulikana kuliko Tanzania. Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani Tanzania haijulikani. Wapo watakaobisha katika hili kwa sababu ukweli una tabia ya kuchoma choma na ndiyo maana haupendwi. Wazungu wengi watakuelewa upesi unatoka wapi kama ukisema unatoka Zanzibar kuliko ukisema unatoka Tanzania.
Mimi Mwenyeji wa Kunduchi Beach Dar-es-salaam, mara nyingi sana nimesema natoka Zanzibar ingawa sijawahi kwenda Zanzibar. Inaondoa maswali kibao,. Ukisema unatoka Tanzania, swali linalofuata ni "where the heck is that"?

Kwa hiyo usiwe na wasi kuhusu pasipoti ya Tanzania, haijulikani na mtu yoyote.
 
Mkuu, kama umewahi kuishi ughaibuni utagundua kwamba Tanzania ni nchi ambayo duniani haijulikani kabisa, achilia mbali pasipoti ya Tanzania. Ughaibuni mtu yoyote anayesafiri na pasipoti ya nchi isiyojulikana au nchi za Afrika, husimamishwa na kuulizwa maswali
ambayo wazungu hawaulizwi. Hili halitokei kwa Watanzania peke yake. Hata Wamalawi wanakutwa na kadhia hii.

Kitu kingine ambacho nimejifunza ughaibuni, Ingawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, lakini Zanzibar inajulikana kuliko Tanzania. Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani Tanzania haijulikani. Wapo watakaobisha katika hili kwa sababu ukweli una tabia ya kuchoma choma na ndiyo maana haupendwi. Wazungu wengi watakuelewa upesi unatoka wapi kama ukisema unatoka Zanzibar kuliko ukisema unatoka Tanzania.
Mimi Mwenyeji wa Kunduchi Beach Dar-es-salaam, mara nyingi sana nimesema natoka Zanzibar ingawa sijawahi kwenda Zanzibar. Inaondoa maswali kibao,. Ukisema unatoka Tanzania, swali linalofuata ni "where the heck is that"?

Kwa hiyo usiwe na wasi kuhusu pasipoti ya Tanzania, haijulikani na mtu yoyote.
Dah very true..wengi wanajua tanzania na zanzibar vitu viwili tofauti..
 
Hivi wale wanaotafuta tafsiri ya "nchi haitatawalika" hamuoni kuwa hili wimbi ndilo maana halisi!?

Kama kamwaida thread za madawa, visitors kibao: There are currently 1034 users browsing this thread. (14 members and 1020 guests)
 
Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.
Hili janga linasababbishwa na umaskini usio na utatuzi. Wenye unga ni watu wana nafasi zao kwenye chama na watawala serikalini. Maisha bora ni kwa hao tu wengine ni punda.

Nyoka hapigwi mkiani anapondwa kichwa, punda wababe unga ni mikia tu vichwa vinalindwa na serikali hii dhalimu.
 
Mkuu Mtanzania1 achana na hizi blog za udaku. Wazazi wake wamekiri ni kweli mtoto wao amekamatwa, pia taarifa zipo kwa Nzowa. Aisha hayupo SA kama unavyotaka kutuaminisha.
Mheshimiwa malenga wetu ........ kusudio langu si kutaka kuwaaminisha kama taarifa hiyo ni ya ukweli au uongo.....kusudi langu kubwa ilikuwa ni kuchukua tahadhari hasa katika habari za matukio ya kujichanganya na zaidi yanayomuhusu mtu binafsi......tatizo kubwa huwa ni chanzo cha habari hizo........je ni cha kuaminika?........nadhani si busara kuleta taarifa za mtu binafsi.....hasa zile zenye madhara kwa muhusika kwa kutumia vyanzo dhaifu kidogo......maana yangu kubwa ni kwamba hapa si mahala sahihi kwa kubishana jambo la msingi kabisa kuwa tukio fulani ni kweli au si la kweli...hayo ndiyo mawazo yangu mkuu.......
 
Tamaa na mbio za mujini zitawamaliza hawa wanawake.


Mpuuzi mkubwa wewe! Wewe ndio unayewatumia halafu unajifanya kuzuga hapa,
Hata wewe unabahati tu ya huyo anayekejeri watanzania "eti wataumbuka 2015"
Bila huyo na wewe china wangekunyonga. Hata hivyo hongera Leo umejitahidi kuja kuzuga maana hii
thread za madawa huwa una lala Mbele sana.
 
Kwan wadau@Ritz ni ridhiwani kweli na amekua verified humu ama.maana naona watu wanamtupia makombora luve
 
Halafu kwa wale "country Bumpkins" au walugaluga, au wanyika mnaotoka kwenu huko Kimbira, Dongobesh, smol landan, usariva, karagwe, lujewa na kwingineko; Wabeba sembe ni watu kama wewe na mimi na binadamu yoyote anapokuwa katika "desperate situation" anaweza kufanya mambo ambayo yeye mwenyewe hakuwahi kudhania kama atafanya. Kwa ufupi, mbeba unga hana tofauti yoyote na mwizi, malaya, jambazi, mzee wa vijisenti n.k.
Kuna waziri mkuu nchi hii alikuwa anafanya mchakato wa kwenda Asia "kununua artificial rain"; narudia kwa kiswahili na kwa herufi kubwa "KUNUNUA MVUA YA KUTENGENEZWA". Na mtu huyo mpaka leo ndoto za kuongoza nchi hii na kuna wanaomkubali. Sasa, tumuangalie Joseph Kaniki, au Aisha Bui, au mzee wa vijisent, au waziri mkuu wa kuumba mvua; kisha tuangalie ni nani aliyeleta madhara makubwa katika maisha yetu. Mnakaa mnapigia kelele wabeba sembe wanaobebea tumbo; wakati nchi kama Uingereza wala hawasumbuliwi na wabebea tumbo kwa sababu wanajua kwamba unga wa kubebwa tumboni haufiki hata 0.001% ya unga unaoingia uingereza.

Kisha kwa taarifa yenu; hao watu mnaowaamini sana, ambao mnawaita "watalii" hapo bongo; hao ndiyo wanaoingiza unga bongo marobota kwa marobota.
 
Huyu mutu ni wa hajabu sana. Hospitali kakribia zote za wilaya hapa Dar haswa wodi za kina mama na watoto hazina vitanda huu sijuwi mwaka wa ngapi sasa hatulioni hili tatizo kutatuliwa, ila msanii wa bongo fleva akiathirika na unga unaouzwa na wabunge wa CCM Mh. Mtukufu Mungu rais anachukua madaraka ya kuwatibia na kuwauliza eti unga una radha gani pale wanapo pona. Huyu msanii naye pia inabidi ashitakiwe.
labda DPP atoke china
 
Kwan wadau@Ritz ni ridhiwani kweli na amekua verified humu ama.maana naona watu wanamtupia makombora luve
Mkuu Tofali, Ni yeye mtoto wa mkulu ni huyu huyu anayetoa buku 7, pale Lumumba kwa kina Honey-D, Lizibon, uncle Deo, ze macorporo, thatha, mrs nchemba aka shonza,mwampmba.na wengine kibao. Huyu kijana Hafai Kabisa.
 
Hivi wale wanaotafuta tafsiri ya "nchi haitatawalika" hamuoni kuwa hili wimbi ndilo maana halisi!?

Kama kamwaida thread za madawa, visitors kibao: There are currently 1034 users browsing this thread. (14 members and 1020 guests)

duuuh,hahahahaha,,,,,wanaangalia wanavyojadiliwa
 
hawa huwa hawakomi. akili zao sijui ziko sehem gani ya mwili. Pamoja na wote hawa kukamatwa bado kuna wengine wanapaki mzigo waanze safari. wengine tayar wapo airport na mzigo.

Sio hawakomi au akili zao zikoje, nachokiona hapa yaani sasa nitafanya nini bila sembe haiwezekani siwezi kukaa mjini watu watanionaje yaani walishajitune maisha ya juu sasa liwalo na liwe nikikamatwa poa lakini ni ujinga na upumbavu kuona uwezi kutoka bila hiyo biashara wacha wakamatwe tena mie nachofurahi zaidi wanakamatiwa nje ya nchi uko no excuse. bongo wangetoka tu. wacha wapungue waanze wapya.
 
Kwa akili yako unadhani suala la madawa ya kulevya ni suala la vyama vya siasa, madawa ya kulenya hayana itikadi.

hivi vyombo vya dola na vyenyewe havina itikadi???
 
Kwan wadau@Ritz ni ridhiwani kweli na amekua verified humu ama.maana naona watu wanamtupia makombora luve

Sio mwenyewe huyu....huyu ni mtu mwingine tofauti kabisa mkuu.
 
Kazi ya upunda ni ngumu sana ndugu zangu,,na wengine wanapitiliza kuwa mashoga,,,,ukimeza kete unatakiwa uzitoe mbele ya wahusika kwa njia ya haja kubwa huku wanakusimamia na kuhesabu mpaka zitimie,,,,,zisipo timia utapekuliwa vipaya na ndio ushoga unaanzia hapo,,,,,,

turudi kijijini tukalime vijana wenzangu,,,mjini hapafahi hata kidogo,,,kuna mambo ya hovyo hovyo
 
Tz kwishne, hakuna taswira nzuri mbele ya dunia
 
Back
Top Bottom