Kiruuuuuuuuuuuuuuu ndio maana Mange kaishabikia hii habariii hhhhhhhaaaa
Ila mwanangu na sie tuanze kuuza sembe tuwatese watu kama mzirai na mkewe na walivyowatesa watu sasa hiv kimyaaaa
Yeah ndo mana Mange anatamani kufanya party...
Shosti labda tuuze Sembe la kusongea ugali...ila lile lingine hapanaaa....kisa cha kuishi roho juu nini?
Ilikua ni hatari nakuambia...yaani polisi walivyovamia hata angekua fit vipi asingeweza kutoroka...alijitahidi nae kurusha risasi lakini wapi...huyo mwenzie ana machale sana sijui kajifukia wapi
Bongo opportunitie zipo nyingi tu ukijituma na kufanya kazi kwa bidii unatoka vzuri tena sana majority ya vijana wanapenda short cut sana ndo mana wanaona sembe ndo opportunity kuna form four wana maisha mazuri sana tu sema majority ya Youth Tanzania hawana udhubutu na zipo opportunity nyingi usipo komaa utaona life gumu tu
Unaambiwa jamaa kapishana nao mana katoka tu ndio police wakavamia ila best kasema wamepigwa sana n kesho wanapelekwa hosp kutibiwa ila abdul ndio walikua wanamtaka
Ook wakome kama Jack wa Maccau sijui makavu
Hilo hilo sembe tuuze au lenyewe halitarijishiii
Yote hii kupenda sifa mjini...kututisha insta na brands za ukweli kumbe ni unga ndio unaowaweka mjini...Mungu anaona tunasubiri tuone hizo pesa zao zina nguvu kiasi gani...bora sasa magomeni tutapumua jamani..looh ilikua shiiiidah na hizo ndinga
Abdu tycoon akiwekwa ndani bongo movie wanakufa njaa lulu, kajala, Steve, watakuwa na matumbo ya kuharisha saa ivi
Unaambiwa jamaa kapishana nao mana katoka tu ndio police wakavamia ila best kasema wamepigwa sana n kesho wanapelekwa hosp kutibiwa ila abdul ndio walikua wanamtaka
Wamekamatwa Madon wa sembe wa Magomeni akiwemo Chonja (muuzaji maarufu)
Chonja ni rafiki wa karibu wa Mume wa Shamim Mwasha..blogger wa 8020 blog...Duru za kiumbea zinaripoti kuwa Mume wa Shamim..(Abdul Nsembo) naye anasakwa na vijana wa Nzowa coz anashiriki katika madeal ya Sembe...
Ilikua vita sio vita movie sio movie...ana bahati kwelikweli sijui huko aliko ana hali gani...nasikia wamebanwa hadi wanataja wenzao...
Huo mzigo ulikua transit kwenda zambia n sauz itakua kuna m2 wao kawauza ila abdul yuko smart sana kimipango ana malori y mizigo mengi tu yameandikwa nsembo transport,ila kaponea mana kapishana n police kma 30mnts tu alivyotoka then wakakutwa wa2 wake
Abdul ndio mume wa Shamimi:beer:π‘π±ππππππ
sasa yeye kakimbia nchi kabisa au kajificha humu humu? Maisha gani hayo jamaniUnajua police wanakula nao deal istoshe yeye yupo n hata best wangu wanawasiliana cz waliokamatwa ndio wenye mzigo cz yeye hakuwepo pia huo mzigo unakua transit kwenda sauz cz ni mwingi
sasa yeye kakimbia nchi kabisa au kajificha humu humu? Maisha gani hayo jamani
jamani na yeye anataka udada wa mjini baba iqra asingeweza ma MK na mengineyo eeeeeheeeee chezea mtoto wa kichaga wewe tamaa mbele mauti nyumaMrs Sembe yupo ndani ya gorofa mbezi beach,atamkumbuka baba Iqra,ndo faida ya kutaka pochi za LOIUS VUITTO,MICHAEL KORS,na kutaka kupush range,huku wengine wanalia watoto wao wanaharibika kwa unga,wakamatwe tu hawa