Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
We tuonyeshe wapi Hamasi aliomba ceasefire we akilini mwako unadhani ceasefire ingekuwepo kama Israel hakupokea kipigo kutoka kwa HamasiWakianza tena kutandikwa wanakimbilia shimoni na kuanza kulia lia ceasefire,yani mnachekeshaga sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tehe tehe nilivyosoma ati "wamevalia kikomando" kuangalia video sasa tehee heee aise maislamu bwana elimu haipatikani madrasa pekee enyi manyangau. Yani combat kama za migambo wa somalia hakuna millitary gear yoyote alafu wamevalia kofia kama za chama cha walimuBrigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja na Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya Israel kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.
Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.
Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.
View attachment 2826940
Wewe ni mjinga . Unadhani wanapoamua kupiga sehemu hawajui wanapiga nini?muache ujinga vita haina macho na haijui huyu ni mtoto na yule ni mtoto unatuangwa tu.
sasa kama wanatumia watoto na wazee kama ngao na kinga yao kwa nini wasilipuliwe? Elewa kwamba vita ni mbaya sanaWewe ni mjinga . Unadhani wanapoamua kupiga sehemu hawajui wanapiga nini?
Sasa mbona Hamas wamejichimbia kwenye mashimo?Wenzako vita hii imesilimisha, askari wakizayuni mpaka wanaongea hovyo wanasema "hatuna hamu huko, tunapigana na mizimu"
Watuulize Waislam tutawaelimisha walikuwa wanapigana na nani. Jisomee hapa kama utalewa:
Qur'an 2:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
Faiza hio picha profile ni wewe?Hao mashujaa tunaanza kuwazadia hapahapa duniani chochote wanachotaka.
Hakuna mwanaume mwenye akili na uwezo wa kupigana na jeshi la mashoga anaeweza kuwatumia watoto na wazee vitani usidanganywe. Lengo lao kuuwa watoto , raia na kuharibu majengo ni kutaka ku pressure Hamas kusimamisha vita.sasa kama wanatumia watoto na wazee kama ngao na kinga yao kwa nini wasilipuliwe? Elewa kwamba vita ni mbaya sana
War monger.Thubutu, mazayuni hawana hamu, hawawezi vita ya kiume ya uso kwa uso. wao ndege tu na wauwe watoto na wagonjwa mahospitali.
Unakwenda kupigana na magari ya chuma na watu amabao silaha anatengeneza uwani kwao? Na hivyo hivyo wakaliwa vifari vya zaidi ya 300, kinyume na mategemeo yao.
Dini zote ni utapeli mbwa wewe..Walikuwa hawataki bikra 70 za ahera, Uislamu ni utapeli
Ni zaga ya gaidi yeyote huko ahera 😂Kwaiyo ni zaga ya Osama huko Akhera[emoji23][emoji23]
Huwenda waliishi kwa upendoSema nimependa hapo magaidi ya hamasi yanaonesha upendo,yani wanaaga kabisa mateka.
Tatizo hawatabiriki,kuishi na watu kistaarabu hawawezi,wamezoea kuua watu.
This time wamekutana na wajomba wabishi wanalia lia tu,natamani wazayuni watembezee kichapo magaidi yote duniani.
wanaiita umma wa mohammadia, ukisikia islamic state ndio hiyoIfike wakati hii dini ipewe dunia yao maana hawataweza susa
View attachment 2827285
Msako unafanyika mahospitalini, magonjwa wanaondolewa wanatoka wakitembea kwa miguu, vitoto njiti vinatolewa.Ulitaka wakae wanasubiri?
Watu wanawasubiri uso kwa uso, siyo kutuma mambomu kutoka meli za wamarekani.
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sanaWalikuwa hawataki bikra 70 za ahera, Uislamu ni utapeli
Sawa yahudi mweusi wa kiboshoWakianza tena kutandikwa wanakimbilia shimoni na kuanza kulia lia ceasefire,yani mnachekeshaga sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]