Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

WANAJESHI WA ISRAELI NI WAOGA.

Msemaji Mkuu wa Hamas, Abu Obeida anasema kwamba

Jeshi la Israeli linaogopa kupigana vita vya ana kwa ana na Hamas, ni waoga waliopindukia. Kitu pekee ambacho tumekigundua ni kwamba;

Jeshi la Israeli ndo Jeshi pekee duniani ambalo wanajeshi wake wanavaa taulo za watoto (Pampers) wakiogopa kupigana vita vya ana kwa ana.

Kila siku naongea hapa, Jeshi la Israeli ni UNGA TU 😂
 

Attachments

  • d2d26a9d-503e-4819-8d70-9fe9818e4764.mov
    1.3 MB
Wenzako vita hii imesilimisha, askari wakizayuni mpaka wanaongea hovyo wanasema "hatuna hamu huko, tunapigana na mizimu"

Watuulize Waislam tutawaelimisha walikuwa wanapigana na nani. Jisomee hapa kama utalewa:

Qur'an 2:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
Aya za hamasa hizo hata mimi naweza kutunga.
 
☠️ Jeshi la Israeli lakubali kuondolewa kwa maafisa 3 zaidi, wa Kikosi cha 5 cha Kikosi cha 8111 cha Brigedia.

🔻Maj. Roman Bronshtein

🔻Cpt. Eliya Yanovsky

🔻Mwalimu Sgt. Ari Yehiel Zenilman

Mapema leo, IOF ilitangaza vifo vya maafisa wengine 2 wa Kikosi cha 8111, wote 5 waliuawa na kilipuzi huko Khan Younis. Wanajeshi wengine 4 walijeruhiwa katika kisa hicho akiwemo mmoja aliyekuwa katika hali mbaya.

Vita ndiyo vimeanza.
 
Mkenya nimekushangaa sana unashindwa kutofautisha propaganda na uhalisia.

Kumuuwa kamanda mmoja au hata kumi wa Hamas siyo kushinda mapambano.

Msikilize shujaa wa wa vita wa mazayuni, anaelezea uhalisia uko vipi kwenye mapambano:

View attachment 2839377[/url]

hamna cha propaganda, kwa sasa Myahudi anaua kila kitu chenu, hadi watoto
 
hamna cha propaganda, kwa sasa Myahudi anaua kila kitu chenu, hadi watoto
Tungeshangaa sana, ingekuwa yameanza leo.

wanajiharia kupigana na vidume, wanarushia makombora watoto.
 
"Maelfu" nimeandika wapi? Unaota?

Unafahamu kuwa jeshi la mazayuni ni jeshi pekee duniani linalovaa pampers?

wamejikuta wanajiharia hovyo kwa uoga mpaka wanavaa pampers.
Huna jipya dada,,,,,nadhani unaumia kwa kichapo wanachopata gaza ndio maana unatukana...
Wewe si ulijiapiza IDF wanaogopa kuingia Gaza...
Uzuri hali halisi inaonekana hakuna haja ya ngonjera
 
Mkenya nimekushangaa sana unashindwa kutofautisha propaganda na uhalisia.

Kumuuwa kamanda mmoja au hata kumi wa Hamas siyo kushinda mapambano.

Msikilize shujaa wa wa vita wa mazayuni, anaelezea uhalisia uko vipi kwenye mapambano:

View attachment 2839377[/url]
vipi kuhusu kuwakamata, wanasalenda, wanafuliwa nguo wanabaki na vyupi tu, hao tuwaite mashujaa pia?
 
Tungeshangaa sana, ingekuwa yameanza leo.

wanajiharia kupigana na vidume, wanarushia makombora watoto.

Hamjapigwa kipigo kama hiki siku nyingine, halafu miarabu yote chali hamna wanachokifanya.....hehehe
 
Al-Qassam (Hamas)

Walilenga kikosi maalum cha Kizayuni ndani ya jengo lenye makombora ya "TBG". Hamas inathibitisha majeruhi ndani ya kikosi chao, ikiwa ni pamoja na wote waliouawa na kujeruhiwa, huko Beit Lahia.
 
Back
Top Bottom