Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

Na hao wanaochinjwa unafikiri wameshika ruler?

Kuna kikundi kimeibuka huko, wakishika silaha jawaiweki chini mpaka wauliwe au wafe:

Watazame kazi yao chini hapo wanafunga kilemba cheusi tu hao:

View attachment 2836368
Yap, ni kweli. israel wanauliwa wengi, na palestina wengi/hamas, but at the end of the day wengine watakuwa wameshida na wengine wameshindwa.ngoja tusubiri.
 
Yap, ni kweli. israel wanauliwa wengi, na palestina wengi/hamas, but at the end of the day wengine watakuwa wameshida na wengine wameshindwa.ngoja tusubiri.
Mpaka sasa hivi mshindi ni Mpalestina.
 
Thubutu, mazayuni hawana hamu, hawawezi vita ya kiume ya uso kwa uso. wao ndege tu na wauwe watoto na wagonjwa mahospitali.

Unakwenda kupigana na magari ya chuma na watu amabao silaha anatengeneza uwani kwao? Na hivyo hivyo wakaliwa vifari vya zaidi ya 300, kinyume na mategemeo yao.
Faiza kwani hiyo ni vita?
 
Wenzako vita hii imesilimisha, askari wakizayuni mpaka wanaongea hovyo wanasema "hatuna hamu huko, tunapigana na mizimu"

Watuulize Waislam tutawaelimisha walikuwa wanapigana na nani. Jisomee hapa kama utalewa:

Qur'an 2:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
Mtume Muhammad alikuwa Binadamu wa kawaida kabisa,kwanza alizaliwa Kama wewe, yaani alikuwa na Baba,pia alioa wanawake kibao, alikuwa mfanyabiashara tu aliyeanzisha Dini ya kiislamu ambayo imekuwa Hatari kwa usalama wa Dunia.
YESU alizaliwa na mwanamke Bikra,hakuwa na Baba kama wewe mimba yake iliingia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, yaani nguvu ya Mungu,sasa nyie na huyo Mtume wenu hamna lolote zaidi ya Ugaidi.
Yesu aliponya wagonjwa,na hata sasa anaponya bado na atarudi, nyie Mtume wenu alifanya nini? YESU alikufa akafufuka, nyie Mtume wenu alikufa jumla , mmebaki kuua watu Eti mnatetea Uislamu, Eti ni Dini ya kweli.
Nani aliwadanganya kuwa Mungu ana Dini?
MUNGU ni Roho,hana dini.hizo Dini ni SACCOS tu za wanadamu.
 
Mtume Muhammad alikuwa Binadamu wa kawaida kabisa,kwanza alizaliwa Kama wewe, yaani alikuwa na Baba,pia alioa wanawake kibao, alikuwa mfanyabiashara tu aliyeanzisha Dini ya kiislamu ambayo imekuwa Hatari kwa usalama wa Dunia.
YESU alizaliwa na mwanamke Bikra,hakuwa na Baba kama wewe mimba yake iliingia kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, yaani nguvu ya Mungu,sasa nyie na huyo Mtume wenu hamna lolote zaidi ya Ugaidi.
Yesu aliponya wagonjwa,na hata sasa anaponya bado na atarudi, nyie Mtume wenu alifanya nini? YESU alikufa akafufuka, nyie Mtume wenu alikufa jumla , mmebaki kuua watu Eti mnatetea Uislamu, Eti ni Dini ya kweli.
Nani aliwadanganya kuwa Mungu ana Dini?
MUNGU ni Roho,hana dini.hizo Dini ni SACCOS tu za wanadamu.
Science wala Qur'an hazikubaliani na hilo la mtu kuzaliwa bila baba, nani alikufundisha hayo?
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja nao Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya mazayuni kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Propaganda ambazo hazina maana.Propaganda za kitoto sana.

Hakuna kitu kinaitwa Hamas kwa sasa.

So hii Ni kujibu ile ya mamia ya Hamas waliojisalimisha kwa Israel.

Kwamba bado Wana nguvu.

Hamas wamebaki kwenye mashimo km panya.
 
Mpaka sasa hivi mshindi ni Mpalestina.
oh hongereni sana kwa ushindi. sasa yale magofu mtaanza kujenga lini, na Israel amesema pale anataka kupasafisha na kuweka buffer zone, kwamba wapalestina wanatakiwa kwenda jangwa la sinai huko misri, mtafanyaje?
 
Usijidanganye.

Hakuna Muislaam mwenye lengo hilo, hilo ni lengo la mazayuni.

Lengo la Waislam ni Wapalestina wajitawale wenyewe kwenye ardhi yao.

Kumbuka hayo.
Mbona unanichanganya sasa,wewe si ndo umesema majamaa yanachinja kama yameshika rula jameni?
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja nao Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya mazayuni kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Basi saw
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja nao Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya mazayuni kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Wew ni mwarabu au unavaa dela tu na kujikrimu na vipodozi vya kongo? Na kuimba salama aleku
 
Hao militia hawana ndege wala kifaru wala gari za kivita, umesahau tarehe 7 Oktoba walifanya nini?

Wapalestina wanaagizia vitu vyao kwa mbali, tel aviv ilikuwa inawaka moto mpaka siku yaliposiytishwa mapigano. Hizbollah wanakiendeleza kesho.

Una kumbukumbu finyu sana.
Mwehu wewe!
 
Wapewe chakula cha kuua kizazi la sivyo wataendelea kusumbua taifa teule
 
Poleni mashabiki wa HAMAS humu, kamanda kawahishwa kwa mabikira, sijui kama yeye atapewa zaidi ya 72 au kwa vile yeye kamanda anaweza akapewa 200 hivi, dah raha sana nyie watu, ila mabikira wana usumbufu haswa hawa kila wakitolewa ubikira unarudi.

======

IDF says it has eliminated the commander of Hamas's Sabra-Tel al-Hawa battalion, Mustafa Dalloul, in an airstrike in the Gaza Strip.

Mkenya nimekushangaa sana unashindwa kutofautisha propaganda na uhalisia.

Kumuuwa kamanda mmoja au hata kumi wa Hamas siyo kushinda mapambano.

Msikilize shujaa wa wa vita wa mazayuni, anaelezea uhalisia uko vipi kwenye mapambano:

[/url]
 
Wenzako vita hii imesilimisha, askari wakizayuni mpaka wanaongea hovyo wanasema "hatuna hamu huko, tunapigana na mizimu"

Watuulize Waislam tutawaelimisha walikuwa wanapigana na nani. Jisomee hapa kama utalewa:

Qur'an 2:169. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi. 169
Kichapo kimekukolea vha gaza...
Kusoma hujui...na hata picha huioni
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja nao Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya mazayuni kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Faiza wewe una matatizo ya akili...Yaani video ya hamas wanapeleka mateka kubadilishana ndio unasema maelfu ya wapiganaji 🤣🤣🤣🤣😂😂
Na hiyo square ipo majivu tu kabla ya hii video.....🤣🤣🤣Au unatufanya sisi majuha hatuwafuatilii habari za gaza..?????
Kweli kichapo kimekuchanganya wewe
 
Yaani video ya kubadilishana mateka eti madazeni,,,na hapo ni kusini mwa gaza karibiana na mpaka wa Rafah na sio center square ya hamas😂🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uwe na aibu bas kudanganya waandishi wa habari
 
Faiza wewe una matatizo ya akili...Yaani video ya hamas wanapeleka mateka kubadilishana ndio unasema maelfu ya wapiganaji 🤣🤣🤣🤣😂😂
Na hiyo square ipo majivu tu kabla ya hii video.....🤣🤣🤣Au unatufanya sisi majuha hatuwafuatilii habari za gaza..?????
Kweli kichapo kimekuchanganya wewe
"Maelfu" nimeandika wapi? Unaota?

Unafahamu kuwa jeshi la mazayuni ni jeshi pekee duniani linalovaa pampers?

wamejikuta wanajiharia hovyo kwa uoga mpaka wanavaa pampers.
 
Back
Top Bottom