Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

Madazeni ya wapiganaji wa Brigedia ya Qassam Imejitokeza katikati ya Ghaza kwenye viwanja vya Mashujaa wa vita

Endeleeni hivyo hivyo kusherekea maana paka amewapatia muda wa kupumua mmetoa vichwa mashimoni.

Ila mtakapo anza kukaangwa na vitoto vyenu msiseme Israel ni muonevu anachoma watoto, kumbuka mtoto wa nyoka naye ni nyoka....
 
Ulishwaona makomandoo wa Kipalestina wakilia? Tazama wanaoilia, wanasema wanapigana na mizimu (ghosts"
Utawaona wapi hamas wakilia wakati muda wote mashimoni kama fuko.
Kingine unapoleta habari,leta kutoka katika vyanzo aminika,acha kuokoteza vitu vya propaganda
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja na Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya Israel kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Mayahudi yanasaidiwa na NATO kwa kutuma majeshi hayawezi kitu
 
Wanaigiza tu hao vita vikianza wanajificha mashimoni kama panya wanawatumia watoto kama ngao kutafuta utetezi wa haki za binadamu tunataka vita vipiganwe bila kujificha ficha kwenye makazi ya raia

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja na Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya Israel kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Hii Vita imeleta maafa makubwa kwa raia wa pande zote hasa Gaza, ni vyema imalizike tu sasa.
 
Brigedia ya Qassam, kitengo cha makomandoo wa Ghaza walioongoza mashambulizi ya kipekee kuwahi kutokea israel na kuchukuwa mateka kutokea ndani ya Israel na kuja na Ghaza kibabe. Pia ndiyo waliokuwa mstari wa mbele kukabiliana na majeshi ya Israel kwa siku 48 kabla ya mapoigano kusimamishwa, ikumbukwe kuwa haya ndiyo mapigano marefu katika historia ya israel toka ilipoanzishwa mwaka 1948.

Walijitokeza wakati wa kuwawachia mateka wa mwisho kwa makubaliano ya awali ya kuwawachia mateka 50. Wamejitokeza wakiwa wamevaa "combat" zao maarufu ikiwa ni ishara ya kuonesha ushujaa wao na kuwajulisha mazayuni kuwa bado wapo na wapo tayari kulianzisha tena wakati wowote.

Hamas' Al-Qassam Brigades released a video of its fighters handing over Israeli hostages to Red Cross in Gaza City. The video shows at least two dozen fighters in the central part of the city handing over hostages to Red Cross amid purported cheering for 'resistance' from the Palestinians in the besieged enclave. Watch the video for more details.

View attachment 2826940
Sasa mbona magaidi wenyewe wanaojionyesha hawafiki hata 50 haya ni maigizo tu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-122641.png
    Screenshot_20231110-122641.png
    67.7 KB · Views: 6
Kwangu mimi hao wapiganaji ni waoga na wanafiki tu.
Yaani wamesubiri siku ya mbadilishano wa mateka (ambapo mashambulizi yamesitishwa kwa muda) ndio wametoa pua zao hadharani. Walikuwa wapi siku zote mpaka mayahudi yanaichukua Gaza?
 
Ulishwaona makomandoo wa Kipalestina wakilia? Tazama wanaoilia, wanasema wanapigana na mizimu (ghosts"

View attachment 2826963
Hawa watawasimulia wenzao nakwambia hakuna atakaerudi kupigana katika ardhi ya Gaza. Wabakie huko kwenye airstrikes labda . Nasikia wameanza kukimbia serikali imeanza kuwashtaki wanaokimbia vita.
 
Back
Top Bottom