Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aircraft carrier juzi tu hapa wametengeneza nyingine.Hapo kwenye aircraft carrier, hiyo 👆 aliuziwa na Russian federation, china kaja kaifanyia modification Tu,
Hata wind turbine engine generater kinatengenezwa Germany,SEMA china Ndio customer mkubwa
Wewe unaongelea habari za miaka mingi sana iliyopita wakati mambo yamebadilika sana tuHapo kwenye aircraft carrier, hiyo 👆 aliuziwa na Russian federation, china kaja kaifanyia modification Tu,
Hata wind turbine engine generater kinatengenezwa Germany,SEMA china Ndio customer mkubwa
Kwa hiyo SS ivi wanazo gap?Aircraft carrier juzi tu hapa wametengeneza nyingine.
Wewe utakuwa unazungumzia habari za miaka mingi sana iliyopita
tatu na nyingine ya nne wanaendelea kuitengeneza sasaKwa hiyo SS ivi wanazo gap?
Hapo kwenye aircraft carrier, hiyo 👆 aliuziwa na Russian federation, china kaja kaifanyia modification Tu,
Japokuwa Kuna ambao wanaamini Kwa Sasa china ndiye superpower (soma hapa), lakini pia Nakumbuka Kuna Kiongozi wa china alisema hivyo: "China ndiye mkubwa wa Dunia" .Nadhani bado kidogo China itakuwa Superpower!
Manufacturers wengi wa wind turbines China wanatengeneza generatorsHata wind turbine engine generater kinatengenezwa Germany,SEMA china Ndio customer mkubwa
Nini kifanyike ili tuondoe hii laana?Africa Ina LAANA
Tuanze kwanza kuitoa CCM madarakani. CCM ni laana.Nini kifanyike ili tuondoe hii laana?
Umesema vyemaTuanze kwanza kuitoa CCM madarakani. CCM ni laana.
ccm chama cha mazoea kikae pembeni,waongoze vyama mbadalaNini kifanyike kuondoa ujinga?
Huu ni ukweli ambao Lucas Mwashambwa hawezi kukuelewaccm cha cha mazoea kikae pembeni,waongoze vyama mbadala
China State Shipbuilding Corporation (CSSC)Naona hata pro NATO wameufyata .Aisee ujue china kabla ya wananchi kuingia kwenye industry serikali huwa inakuwa imeshatangulia angalia state owned company mfano faw, xcmg, how, dongfeng, comac zinatangulia kwanza kusafisha njia ndio private ndo zinaibuka. Huku kwetu maviongozi hata bandari yameshindwa kuendesha.
Lets hope so tunamuhitaji mtu huyo mwenye uthubutuSiku huyo mtu akitokea hapa Tanzania ndio siku tutatoka kwenye hili tope lililotugandisha kwa miaka zaidi ya 60 bila kwenda popote Economically wala Technologically. Wakati nchi tulizopatanazo uhuru zikiwa mbali nasi kwa millions of miles kila sekta.