"Made in China 2025" Mpango wa China wa kujitegemea kiteknolojia wafikia asilimia 88

"Made in China 2025" Mpango wa China wa kujitegemea kiteknolojia wafikia asilimia 88

'Made in China 2025' ukipenda iite MIC25

Huu ni mpango kabambe wa serikali ya China wa miaka 10 (2015-2025). Ambapo China imepanga kufikia 2025 ijitegemee kabisa katika teknolojia za hali ya juu (high tech) na innovation.

Lengo ni kufikia the 4th industrial revolution (the integration of intelligent digital technologies into manufacturing and industrial processes)

Haikuwa kazi rahisi, ndani ya miaka 10 wanasayansi, engineers na programmers wa China wamepambana sana kutumia elimu na ujuzi wao kwa kufanya research ili wafikie innovation katika high tech licha ya vita vya kiuchumi na kiteknolojia kutoka Marekani.

Hii inaturudisha nyuma hadi mwaka 2015 ambapo raisi wa China Xi Jinping akiwa na miaka 2 tu tangu aingie madarakani, yeye na viongozi wengine wa CPC walipokuja na huu mpango.

MIC25 iligusa maeneo 260 ambayo yaligawanywa katika makundi 10 makuu:


1. The new generation of IT
2. High end numerical control machine tools and robotics
3. Aviation and aerospace equipment
4. Maritime equipment andhigh tech shipping
5. Advanced rail transportation equipment
6. Energy saving vehicles and NEVs
7. Power equipment
8. Agricultural machinery equipment
9. Medicine and medical devices
10. New materials

Ikiwa imebaki miezi 6 tayari China imefikia 88% ya malengo hayo. Hebu tuangazie kwa kifupi.

1. THE NEW GENERATION OF INFORMATION TECH (IT)

(a)5G tech
●Kwa upande wa 5G HUAWEI ndiyo ilikuwa kampuni ya kwanza kutumia 5G commercial chip mwaka 2019. Kwa sasa wameanza kuelekea kwenye 6G
●China is the world's largest 5G network
●Makampuni ya China HUAWEI na ZTE yameshikilia 60% ya kandarasi na uuzaji wa vifaa vya 5G sehemu mbalimbali duniani.


(b)Operating system
View attachment 3008788
●Wakati simu nyingi zikitunia Android OS na Apple wakitumia IOS, HUAWEI walifanya mapinduzi wakati wa vita vya kiteknolojia na wakaja na Operating System yao iitwayo Harmony OS mwaka 2022.


(c)Semiconductors na integrated circuits [IC]
View attachment 3008778View attachment 3008777
● China ikiwa mzalishaji mkubwa wa vifaa vya umeme duniani inahitaji sana chips na IC. Hivyo ili kuepuka kutegemea sana chips na IC kutoka nje, MIC25 plan imeweza kuifanya kampuni ya kutengeneza chips na IC ya SMIC kuwa ya tatu kwa ukubwa duniani kwa utengenezaji wa chips na IC na ya tatu kimapato nyuma ya Samsung na TSMC ya Taiwan.

Kwa sasa wanafanya mass production ya chips za 7nm na wameanza kuunda chips za 5nm wakishirikiama na kampuni tanzu ya HUAWEI iitwayo HiSilicon. Now they are working on 3nm chips.


(f)Industrial software, and smart manufacturing
●Badala ya kutegemea software za kutoka nje hasa nchi za Magharibi, MIC25 imewezesha kampuni za ndani kutengeneza software. Kwa sasa software zilizotengenezwa China zimeshika 70% ya soko la ndani.

Kufikia 2022, kuna zaidi ya makampuni 35,000 ya software.

Notable Companies in the Software Development in China industry:
1. Huawei Technologies Ltd,
2. Alibaba Group Holding Limited,
3. Neusoft Corporation
4. Haier group,
5. leit system Co.
6. Hangzhou Hikvision Digital Tech Co. Ltd


(g) Servers, desktop CPUs, solid-state drives, high-speed fiber optics, industrial operating systems and big data systems
●China ilizuia matumizi ya processor, database software na operating system za makampuni ya Marekani kama Intel, AMD na Microsoft Windows kwa matumizi ya serikali na mashirika makubwa ya mawasiliano ya China.

Lengo ni kuacha utegemezi wa kiteknolojia na kuzipa nafasi kampuni za ndani katika teknolojia ya hardware na software.

Notable domestic companies for computer processor:
1. Loongson
2. Zhaoxin

Notable domestic companies approved for desktop and server operating systems:
1. The Galaxy Kirin Linux
2. The Tongxin OS
3. Fangde OS

Notable domestic companies for database:
1. Alibaba Cloud's PolarDB
2. Tencent’s TDSQL



2. AVIATION AND AEROSPACE EQUIPMENT
(a)Aerospace
●Tiangong Space Station (TSS).
Hivi sasa kuna vituo viwili tu vya anga vinavyofanya kazi kikamilifu. Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) na Kituo cha Anga cha Tiangong cha China (TSS) kilichozinduliwa 2021.
View attachment 3008851


●The global BeiDou satellite navigation system

View attachment 3008855
Mfumo wa Satellite wa BeiDou wa China (BDS) ulizinduliwa rasmi 2022. Umetambuliwa kuwa wa kiwango kinachohitajika na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO), na kuufanya mfumo huu kukubalika ulimwenguni kote kwa usafiri wa anga.

Una satellite 56 katika orbit, una ukubwa mara mbili wa mfumo wa GPS pia una zaidi ya monitoring stations 10.

BeiDou ni mojawapo ya mifumo ya satellite minne ya kimataifa, pamoja na GPS ya Marekani, GLONASS ya Urusi na Galileo ya Umoja wa Ulaya.


●Zhurong rover
Mwaka 2021 kifaa kiitwacho Zhurong kilitua sayari ya Mars kwa ajili ya exploration.
View attachment 3008861



Chang'e - 6
In 2024 China lands probe Chang'e-6 on far side of the Moon, 1st country to reach there and collect rock samples there.
View attachment 3010807


(b)Aviation
Mwaka 2023 COMAC walizindua ndege ya kwanza ya abiria kutengenezwa China, C919.
View attachment 3008864



3. MARITIME EQUIPMENT AND HIGH TECH SHIPS
China inaongoza duniani ikifuatiwa na South Korea na Japan.

(a)China inaunda container ships, oil tankers ships, LNG ships na Ro-Ro ships

View attachment 3008874



(b)Aircraft carriers
Kwa sababu ya advacement katika ship building China imeweza kuboresha jeshi lake la Navy kwa kutengeneza aircraft carriers na aina nyingine za meli vita bora kama type 055 destroyer.


China's first domestically aircraft carrier Shandong ilizinduliwa mwaka 2017
View attachment 3008935

Fujian aircraft carrier imezinduliwa mwaka huu 2024. The largest carrier ever built outside of the United States
View attachment 3008936

China's Type 055 destroyer best surface combatant in the world. (Ina new hypersonic missile YJ-21, area air defence HHQ-9, anti-ship YJ-18, anti-submarine YU-8)
View attachment 3009917




(c)Super cruise ship
Mwaka 2023 China ikazindua cruise ship ya kwanza Adora Magic City na mwaka huu nyingine kubwa zaidi ya Adora iko dock, Shanghai ikiundwa.
View attachment 3008953


4. ENERGY SAVING VEHICLES AND NEVs
●Made in China 2025 plan (MIC25) imeifanya China ishike nafasi ya kwanza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa magari ya umeme (EVs)
View attachment 3008967

Mwaka 2023 BYD iliizidi TESLA na kuwa kinara si tu katika uuzaji wa magari ya umeme bali pia teknolojia ya energy saving.
View attachment 3008961



Ukiacha BYD China ina EVs auto manufacturers nyingine zinazofanya vizuri kama Chery, Nio, Li, SAIC, Geely, Xiaomi, Xpeng n.k



5. POWER EQUIPMENT TECHNOLOGY

(a)Photovoltaic na solar panel techs
●China account for over 80% of global solar panel market share.

The largest solar panel manufacturers in China include Tongwei Solar, JA Solar, Aiko Solar, and LONGi Solar, all of which are also the top global solar PV manufacturers.

In general, Chinese companies dominate the top 10 list for solar panel manufacturers
.

Installed solar power in China larger than the next 3 countrues combined
View attachment 3008991



(b)Wind turbines
China ndio wazalishaji wakubwa duniani wa wind turbines na vifaa vyake on global market. Goldwind kampuni ya China is a world leader in wind turbine.

China controls EVERY major wind turbine supply chain segment:


Gearboxes (80%)
View attachment 3009007

Generators (65%)
View attachment 3009004

Blades (60%)
View attachment 3009005




(c)EVs batteries
CATL ndiyo kampuni namba 1 duniani kwa utengenezaji wa battery za magari ya umeme inafuatiwa na BYD. Kwa ujumla 50% ya soko la EVs batteries limetawaliwa na hizi brands mbili za Kichina.

View attachment 3009021


(d)Nuclear power technology
China imeweza kujenga nuclear power reactors kwa kutumia teknolojia iliyobuniwa na wanasayansi wa China iitwayo Hualong One technology badala ya kutegemea teknolojia kutoka nchi za Magharibi.


Kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia kinachotumia Hualong One tech, Southeast China's Fujian province.
View attachment 3009754



6. ADVANCED RAIL TRANSPORTATION EQUIPMENT
🇨🇳 China high-speed rail lines
2000: 0 kilometers

2022: 42,000 kilometers

View attachment 3009762View attachment 3009761


China imeanza kupata kandarasi za kujenga high speed railways nje ya China


The Jakarta-Bandung High Railway in Indonesia built by China's CRRC running with a top speed of 350km/hr
View attachment 3009783

China built high speed rail btw Belgrade and Novi Sad in Serbia Eastern Europe with a top speed 200km/hr.
View attachment 3009785



7. MEDICINE AND MEDICAL DEVICES
Kwa miaka mingi mashine za MRI na CT scan zimekuwa zikitengenezwa na makampuni ya nchi za Magharibi kama SIEMENS, GE na PHILIPS.

Hatimaye China kupitia mpango wake wa Made in China 2025 imewezesha kampuni ya Kichina ya Shanghai United Imaging Healthcare Co., Ltd. kuunda na kuanza mass production ya mashine hizo.

View attachment 3009751View attachment 3009752


8. ROBOTICS
9. AGRICULTURAL MACHINERY EQUIPMENT
The government of China has been supporting the agricultural equipment manufacturing companies to a great extent. The central government provided 120 billion of subsidies to the industry. China’s agricultural machinery manufacturing industry mainly produced equipment used for the treatment of soil, fertilization, gardening, plant harvesting, crop farming, etc.

According to statistics, China has an annual output value of more than 500 billion US$.

The list of biggest manufacturers of agricultural machinery in China
1. YTO Group Corporation
2. Shandong Foton Heavy Industry International
3. Hubei Fotma Machinery Company
4. Weifang CP Machinery Company Limited
5.
Jiangsu Yueda Intelligent Agricultural Equipment Company
View attachment 3009841



Ukweli utabaki kuwa China kupitia chama cha CPC is very skilled at making long-plans and achieving them accurately.

Lakini Marekani haikupendezwa na mpango wa Made in China 2025 ku-break dependence on foreign technologies.

Ndio maana vita vya kiuchumi na kiteknolojia dhidi ya China vilianza hasa 2018 Trump akiwa raisi wa Marekani na vinaendelea mpaka sasa chini ya Biden.

Afrika tuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwa China on how to set plans and goals and achieve them.
SEMA SIJUI WACHINA WANAKULIPA KIASI GANI CHA HII PROPAGANDA?
 
SEMA SIJUI WACHINA WANAKULIPA KIASI GANI CHA HII PROPAGANDA?badala ya propaganda. Ukifika china ukaona walichokifanya, na tukajilinganisha nao, pamoja na rasilimali tulizonazo,, tuna haki ya kujitukana sisi ni mabwege, wanyama au tusi lolote baya.

SEMA SIJUI WACHINA WANAKULIPA KIASI GANI CHA HII PROPAGANDA?
Hii sio propaganda ndiyo ukweli halisi. Bahati mbaya hatutaki kukosolewa au kujifunza. Tembelea China uone maendeleo yao.,, halafu tulijinganishe nao kwa rasilimali tulizonazo, tuna haki ya kujitukana sisi ni mabwege,, wanyama au tusi lolote baya. Na hiatatokea tuwafikie hata robo.
 
Hivi, viongozi wetu nao huaga wanasoma nyuzi kama hizi? Hawajisikiagi WIVU? Ni upumbavu kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa including ccm halafu hupeleki pesa kwa watafiti; vyuo kama UDSM, Muhimbili, Sokoine, Saint Joseph, Bugando, KCMC nk (nimetaja vyuo vya masomo ya Sayansi tu) vingekua ni vitalu vya kuipeleka nchi yetu mbele huko, wagunduzi nchi za Kiafrica wala huaga hawapewi kipaumbele, sijui nani alituloga sisi. Magufuli aliwahi kujaribu kuwapa heshima baadhi ya wagunduzi ila ndio akafa mapema. Miaka ya nyuma kuna watu walitengenezaga bunduki, mamlaka zikawafunga. PUMBAVU kabisa, ilishindikana nini wale kuwaendeleza ili penhine huko mbele na sisi tungewapata kina AK47 wetu? Unamfunga mtu aliyegundua kutengeneza bunduki halafu the same you kesho unakwenda kununua bunduki nje ya nchi, kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wetu
 
The US is the world’s sole military superpower. It spends more on its military than the ten next highest spending countries combined. China is now the world’s sole manufacturing superpower. Its production exceeds that of the nine next largest manufacturers combined.
OECD TiVA database 2023
 
Hivi, viongozi wetu nao huaga wanasoma nyuzi kama hizi? Hawajisikiagi WIVU? Ni upumbavu kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa including ccm halafu hupeleki pesa kwa watafiti; vyuo kama UDSM, Muhimbili, Sokoine, Saint Joseph, Bugando, KCMC nk (nimetaja vyuo vya masomo ya Sayansi tu) vingekua ni vitalu vya kuipeleka nchi yetu mbele huko, wagunduzi nchi za Kiafrica wala huaga hawapewi kipaumbele, sijui nani alituloga sisi. Magufuli aliwahi kujaribu kuwapa heshima baadhi ya wagunduzi ila ndio akafa mapema. Miaka ya nyuma kuna watu walitengenezaga bunduki, mamlaka zikawafunga. PUMBAVU kabisa, ilishindikana nini wale kuwaendeleza ili penhine huko mbele na sisi tungewapata kina AK47 wetu? Unamfunga mtu aliyegundua kutengeneza bunduki halafu the same you kesho unakwenda kununua bunduki nje ya nchi, kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wetu
Wako kutunisha matumbo yao kwanza
 
🚄 China opened 2,300 km of new high-speed rail lines in 2024 alone. For comparison, Japan's total HSR system stands at 3000km.

🇨🇳 China's total High Speed Rail now stands at over 47,000km, over 2/3rds of the global total. It intends to reach 70,000 km of HSR by 2035.

20241227_083510.jpg
 
Kufikia hii level ya Mchina, kama taifa hatuna budi kuufanyia mageuzi mfumo wetu wa elimu. Kama tulivyoweza kuanzisha sekondari za kata, sasa ni wakati wa kuanzisha technical schools zenye kutilia mkazo masomo ya sayansi pamoja na maabara za kisasa zaidi kwa wanafunzi kujifunzia kwa vitendo kile wakisomacho darasani. Hizi technical schools tulizoachiwa na wakoloni nyingi hazina utofauti na sekondari za kata kwani zinatumia mfumo uleule utumikao kwenye sekondari za kawaida.

Mkazo uwekwe kwenye masomo ya hesabu, fizikia, kemia, uandisi, ufundi, kilimo, kompyuta n.k. Vilevile ziajiri walimu kutoka kwenye mataifa yaliyoendelea. Kwa uanzishwaji wa shule hizi, naamini tutaweza kuzalisha watu ambao watakuwa wabunifu katika kulivusha taifa kwenye nyanja mbalimbali za kisayansi na kiteknolojia.
 
Back
Top Bottom