Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
Screenshot_20231223-182703_1.jpg


Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Tulia tajiri dini ni kama timu za mpira tu kila mtu ashabikie apendayo kwa uhuru uliopo.
Mimi ni mkristo ila sijaona shida hapo ni kauli ya kawaida na wewe ndo umeichochea tu.
 
Madebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.

Ubaya wake nn?

Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?

Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
ndivyo walivyoaminishwa na kitabu chao cha dini,kwamba wakristo ni makafir. hata hivyo wakristo hawafugi majini au hawaabudu pamoja na majini.
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Madebe anajulkana ni kichaa asikuumize kichwa
 
Tulia tajiri dini ni kama timu za mpira tu kila mtu ashabikie apendayo kwa uhuru uliopo.
Mimi ni mkristo ila sijaona shida hapo ni kauli ya kawaida na wewe ndo umeichochea tu.
Kwa mtu kama yeye hakupaswa kuongea hii kauli.

Mtoto wa tandale anajua ku catch feelings za watu haitegemei ni wa rika gani.

Hawa wasanii wanapaswa kuwa na watu watakaowashauri hata jinsi ya kuongea🤣
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Vitu vinavyowapa stress vinashangaza sana. Mtu asiye mkristo kuusema ukristo sioni shida, maana hii siyo Imani yake, hivyo siwezi kumfanya aipende kama anavyoipenda anayeiamini. Vivyo hivyo kwa uislam.

Buddhism inakashifiwa, freemasonry inakashifiwa, ila hakuna hakuna anayetoa povu juu ya hizo kashfa, sio kwamba hazina watu, ni vile they no better.

So, take it easy.
 
Vitu vinavyowapa stress vinashangaza sana. Mtu asiye mkristo kuusema ukristo sioni shida, maana hii siyo Imani yake, hivyo siwezi kumfanya aipende kama anavyoipenda anayeiamini. Vivyo hivyo kwa uislam.

Buddhism inakashifiwa, freemasonry inakashifiwa, ila hakuna hakuna anayetoa povu juu ya hizo kashfa, sio kwamba hazina watu, ni vile they no better.

So, take it easy.
Mkuu,

Mtu ukishakuwa public figure inabidi ujaribu sana kuwa neutral kwenye kauli zako.

Huenda kuna mashirika wanamfatilia na wakija kuangalia jinsi watu wanavyo mpotray kwenye jamii hio inakuondolea credibility ya kufanya kazi tu sababu ya kauli zako.

Yeye kweli muislamu hakupaswa kuandika hivyo sababu kila mtu atatafsiri kwa aina yake na amegusia suala la dini.

Kakosea sana big time. Ndio maana diamond hata kwenye matamasha ya christian shusho unamkuta.
 
....Wewe SIO Mkrusto, Kwa kuona Kauli ni ya Kawaida ! Pole.



Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Hiyo kauli ingetolewa na mkristo kwa waislamu. Sasa hivi angekuwa anatafutwa na mapanga😀😀😀😀
Mfano.
* Shetani anapatikana Macca, ndiyo maana amezungushiwa ili apondwe mawe vizuri*

Kwa akili yako unaweza kumponda jiwe shetani na likampata?
 
Hiyo kauli ingetolewa na mkristo kwa waislamu. Sasa hivi angekuwa anatafutwa na mapanga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mfano.
* Shetani anapatikana Macca, ndiyo maana amezungushiwa ili apondwe mawe vizuri*

Kwa akili yako unaweza kumponda jiwe shetani na likampata?
Ww unaye shindaga humu anatukana nakukejeli waislam ulisha wahi kutafutwa na mapanga na nani?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo [emoji1787][emoji1787]"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Ww jamaa udini unakuchukulia muda mwingi sana.
Sasa kama unajua kuwa dini vimeletwa na majahazi mbona unaumia zikipondwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyo madebe namuonaga kama paka TU wale wanao lia usiku.Na tatizo lake ni ameadhirika na ile elimu
 
Hiyo kauli ingetolewa na mkristo kwa waislamu. Sasa hivi angekuwa anatafutwa na mapanga😀😀😀😀
Mfano.
* Shetani anapatikana Macca, ndiyo maana amezungushiwa ili apondwe mawe vizuri*

Kwa akili yako unaweza kumponda jiwe shetani na likampata?
Mwanaume kukaa unajichekesha chekesha hovyo utafanya tuanze kukutilia mashaka.
 
Back
Top Bottom