Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Mimi nadhani wewe ndio umemuelewa vibaya ndugu Madebe........
Hakuusema ukristo kwa nasaba ya udhinifu la hasha bali ametoa Rai ya kwamba usiweke matazamio au matarajio sana kwenye jambo ulilolizoea na kuzama huko..... kwani hata Maka ambako kunaaminika kuwa ni ngome ya uislamu unaweza kumkuta mkristo.......sio kwamba anafanya mabaya pengine ameenda kutalii tu.......

NB:
Huo ni mtazamo wangu tu

Naungana na wewe,hiki ndicho kamaanisha Madebe. Nimejaribu kusoma nilichoelewa ni kama useme Moshi wanakaa wachaga ila haimaanishi kwamba hakuna Msukuma anaeishi Moshi,ukija kwenye muktadha wa Madebe Makha ambayo ipo Saudia ni mji wa kiislamu ila sio ajabu ukakuta Mkristo anaishi Makha.
 
Madebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.

Ubaya wake nn?

Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?

Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
Nyinyi mkiguswa kidogo makelele kobao mpaka mnatangaza fatwa.
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🤣🤣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Ndio nani huyu? Anaonekana ni mfuasi kindakindaki wa munyaazi mungu kwahiyo hakuna jipya hapo
 
Acha kelele kafiri wewe,

Nenda ukabarikiwe,Papa amesha toa ruhusa.
wengine hatuhusiki na papa fahamu hilo. By the wayo na nyie waislam mnakutwa na mpango mpya wa ulimwengu hamtasalimika na sekeseke hilo. Tena nyie ndio mmebugizwa ndoana kali, ni suala la muda tu mtalia kilio na kusaga meno. Kaeni tayari kunyolewa wakati mkiwazodoa wakatoliki nanyi zamu yenu inafuata
 
wengine hatuhusiki na papa fahamu hilo. By the wayo na nyie waislam mnakutwa na mpango mpya wa ulimwengu hamtasalimika na sekeseke hilo. Tena nyie ndio mmebugizwa ndoana kali, ni suala la muda tu mtalia kilio na kusaga meno. Kaeni tayari kunyolewa wakati mkiwazodoa wakatoliki nanyi zamu yenu inafuata
Rubbish.
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo [emoji1787][emoji1787]"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Nani amekwambia kuwa vita ya Palestina na Israel ni ya kidini ?
 
Nani amekwambia kuwa vita ya Palestina na Israel ni ya kidini ?
Kwani nini wanakombania Misikiti na masinagogi... Israel wanaamini hiyo ni ardhi yao waliyopewa na MUNGU, wapalestina nao wanasema Manabii wao walipewa hiyo ardhi, na ni mali yao toka enzi

Vita ya Palestina na Israel, ni ya Kijeografia, Kisiasa na kidini... Vyote hivyo vinachochea vita
 
Back
Top Bottom