Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Madebe Lidai unapaswa kuwaomba radhi Wakristo

Madebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.

Ubaya wake nn?

Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?

Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
Hebu tuliza makende yako wewe,ni lini Papa Francis alisema hivyo?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kuna mbaba jiran apa wanaish na mwanamke wanamiaka zaid ya 10 na mwakan nd wanafunga ndoa

Sasa huu wakat kabla ya ndoa INAMAANA WANAZINI AMA?

Hii ni kawaid kw wakiristo kuishi bila ndoa
 
Tunaelekea 2024 bado kuna watu wanagombana kisa dini
 
Ibrahim ni mkurdi na sio myahudi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Warumi 11:1
1 Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini.
Ibrahimu ni muisrael (myahudi). Biblia ilianza ikafuata Quran
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🀣🀣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
IMG-20231219-WA0063.jpg
 
Waigizaji wengi wa bongo ni zero brain, huyu ni mmojawapo
 
Madebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.

Ubaya wake nn?

Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?

Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
ujinga mtupu, hija kwenyewe kuna mungu gani kule kama si ibada ya sanamu? Ni sawa na kupiga upepo, hakuna utakatifu kule
 
Warumi 11
1 Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini.
Jina Israeli lilianza wakati wa Yakobo, mjukuu wa Ibrahim. Ibrahim atakuwaje wa taifa lililokuja baada yake?
 
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;

"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo 🀣🀣"
View attachment 2850941

Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.

Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Hiyo ni comedy, get a life.
 
Mimi nadhani wewe ndio umemuelewa vibaya ndugu Madebe........
Hakuusema ukristo kwa nasaba ya udhinifu la hasha bali ametoa Rai ya kwamba usiweke matazamio au matarajio sana kwenye jambo ulilolizoea na kuzama huko..... kwani hata Maka ambako kunaaminika kuwa ni ngome ya uislamu unaweza kumkuta mkristo.......sio kwamba anafanya mabaya pengine ameenda kutalii tu.......

NB:
Huo ni mtazamo wangu tu
 
Warumi 11:1
1 Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini.
Ibrahimu ni muisrael (myahudi). Biblia ilianza ikafuata Quran
Acha ubishi Ibrahim ni mkurdi kutoka Iraq ambaye alihama kutoka Iraq na akahamia na kuja kuishi kwenye eneo mbalo kwa sasa linajulikana kama gaza.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom