Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
πππππππππππIbrahim na Musa siyo Wayahudi.
Kwa jibu lako kama mwalimu ungetoa alama ngapi?
Wote hao ni wayahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππππIbrahim na Musa siyo Wayahudi.
Hayo wewe wasema ππππππMwanaume kukaa unajichekesha chekesha hovyo utafanya tuanze kukutilia mashaka.
Hebu tuliza makende yako wewe,ni lini Papa Francis alisema hivyo?Madebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.
Ubaya wake nn?
Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?
Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
Hawajawahi kuwa wayahudi.πππππππππππ
Kwa jibu lako kama mwalimu ungetoa alama ngapi?
Wote hao ni wayahudi
Ibrahim ni mkurdi na sio myahudi.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa jibu lako kama mwalimu ungetoa alama ngapi?
Wote hao ni wayahudi
Warumi 11:1
Warumi 11Hawajawahi kuwa wayahudi.
Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;
"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo π€£π€£"
View attachment 2850941
Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.
Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
ujinga mtupu, hija kwenyewe kuna mungu gani kule kama si ibada ya sanamu? Ni sawa na kupiga upepo, hakuna utakatifu kuleMadebe mnamwonea bure tu,,
Mnaweza mkawa mmemuelewa tofauti,,yeye amejaribu kufikisha ujumbe wake.
Ubaya wake nn?
Mbona PAPA aliyesema Ndoa za mashoga halali mnamwogopa?..kumsema?
Yeye Madebe ameweka wazi kwamba wanaokwenda Hijah ni waislamu safi na sio watu wa imani ingine..
Jina Israeli lilianza wakati wa Yakobo, mjukuu wa Ibrahim. Ibrahim atakuwaje wa taifa lililokuja baada yake?Warumi 11
1 Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini.
Hiyo ni comedy, get a life.Madebe Lidai tunakudai utuombe msamaha sisi wakristo kwa kauli yako hii uliyoitoa kwenye instastory yako;
"Mtu kaenda Maka akirudi anaacha mke anachukua mke wa mtu aliyeachwa akaanza Kuzini hadharani hapo ndipo utaamini hata maka wakristo wapo π€£π€£"
View attachment 2850941
Kauli hii ni ya kichochezi na inamaanisha wakristo ndio watenda dhambi au wazinifu. Kwamba alichokitenda manara cha kwenda Maka na kurudi kuzini ni sawa na kitendo cha kikristo.
Wewe ni msanii na Movie zako zinaangaliwa na watu wa Dini zote, kuleta kauli za aina hii ni kuchochea ubaguzi wa kidini, jambo ambalo halina afya kwa taifa. Mmeona yanayotokea huko Israel kisa Dini. Sasa ndugu zanguni ubaguzi huu msiulete TANZANIA. Vita na ubaguzi wa kidini viogopeni kama ukoma, maana mwisho wake ni mbaya alisema Nyerere. Dini zenyewe zimeletwa na majahazi alafu unakuja hapa kukashifu dini za wenzako, huo si uungwana unapaswa kuomba radhi. Ulikuwa na uwezo wa kufikisha ujumbe wako bila kutaja wakristo
Acha kelele kafiri wewe,ujinga mtupu, hija kwenyewe kuna mungu gani kule kama si ibada ya sanamu? Ni sawa na kupiga upepo, hakuna utakatifu kule
Acha ubishi Ibrahim ni mkurdi kutoka Iraq ambaye alihama kutoka Iraq na akahamia na kuja kuishi kwenye eneo mbalo kwa sasa linajulikana kama gaza.Warumi 11:1
1 Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini.
Ibrahimu ni muisrael (myahudi). Biblia ilianza ikafuata Quran
Source?Acha ubishi Ibrahim ni mkurdi kutoka Iraq ambaye alihama kutoka Iraq na akahamia na kuja kuishi kwenye eneo mbalo kwa sasa linajulikana kama gaza.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app