johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Madee amesema ingawa hajajiandaa kisaikolojia kugombea Ubunge lakini marafiki zake wanamshawishi agombee. Madee amesema yeye ameishi sana jimbo la Kongwa linaloongozwa na Ndugai.
Naye Dogo janja amesema yuko tayari kuwatumikia Wananchi na kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka 5 ya mwanzo.
Chanzo: Clouds media.
Maendeleo hayana vyama!
Naye Dogo janja amesema yuko tayari kuwatumikia Wananchi na kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka 5 ya mwanzo.
Chanzo: Clouds media.
Maendeleo hayana vyama!