Uchaguzi 2020 Madee adai marafiki wanamshawishi akagombee ubunge Kongwa na Dogo janja kugombea Arusha mjini

Uchaguzi 2020 Madee adai marafiki wanamshawishi akagombee ubunge Kongwa na Dogo janja kugombea Arusha mjini

Unaweza kuta Zitto, Lema au Bashe (kabla ya uwaziri) wanatoa positive criticism.

Mara tu linaibuka jitu kuondoa flaw.

Mmbunge wa CCM: Taarifa, taarifa mh spika

Spika: Mh Zitto pokea taarifa

Mmbunge wa CCM: Napenda kumkumbusha msemaji serikali ya CCM imefanya abc (to do with pumba zilizo kichwani kwake).

Mara baada ya taarifa, wabunge wote wa CCM wanaibuka kwa shangwe nakugonga meza. Mwingine tena anaibuka taarifa, taarifa mh spika (hapo sasa ndio wafuatiliaji wengine unaona bora utafute kingine cha kuangalia kuliko upuuzi wa bungeni).

Sasa si kila mtu anaweza hiyo kazi kwa mshahara wa millioni 12 kwa mwezi na marupurupu juu.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa katika miaka mitano ya mwqnzo ya serikali ya awamu ya Tano, ni wanasiasa tuu hasa Wabunge waliokula keki ya Taifa. Sasa kila Mmoja anatamani awe mbunge. Imagine Dogo janja awe mbunge, hayo si matusi kwa utawala jamani? Hawa wasanii wadhibiyiwe, wataidhalilisha siasa ya Tanzania.
 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Madee amesema ingawa hajajiandaa kisaikolojia kugombea ubunge lakini marafiki zake wanamshawishi agombee. Madee amesema yeye ameishi sana jimbo la Kongwa linaloongozwa na Ndugai.

Naye Dogo janja amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi na kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka 5 ya mwanzo.

Chanzo: Clouds media.

Maendeleo hayana vyama!
Dogo janja shule form 2 alifeli ataongoza nini?
 
Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.

Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?

Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
Kagombee wewe.usiongelee wenzio
 
Katiba na sheria zimewakataa?
Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.

Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?

Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
 
kweli Magu ni chuma cha pua kakaza vyuma vimekaza kwelikweli basi unaambiwa kwenye gemu kumelala doro mpunga umekata jamaa wote walizoea sifa na majigambo wanajificha wanakufa njaa mashabiki wanakufa njaa sasa kila wasanii wakitafuta upenyo hamna ila kwa mbaaaali wanamuona Sugu moto chini japo anajisifia kuvuta bangi hapo chini na best wake Profesa J japo ni wahuni ila wameula bungeni basi kila msanii na kila prodyuza bongo eti anataka jimbo hivi sasa mlikuwa wapi miaka yote mbona hamkugombea? hatuwatakiiiiii!!




Sugu yuko vizuri kwenye hoja! Hoja zake zina mashiko na haogopi kusema anachokiamini. Namuamini Sugu kuliko Nchemba shemegi yangu mwenye Phd.

Sijui Sugu kawafanyia nini jimboni lake lakini ninapopata bahatinya kusikia hoja zake basi naamini kuwa kalifanyia mengi hili Taifa kwa utetezi wake eule wa wanyonge na haki za binadamu. Sifikirii kama anaweza kufanya zaidi ya hayo under the current circumstances!
 
umesema kweli tupu, huu ni mpango maalum wa kunyoosha nchi!
Na kwa bahati mbaya, stress zikikuzidia alaf ukose wa kukusupport ktk ugumu ulionao, hapo ndipo unapoanza kufanya matukio unayojisikia kufanya, hata kama hayana mwelekeo mzuri.
 
CCM na CDM ndio wameharibu kabisa hadhi ya ubunge Tanzania. Zama za mzee wa msoga kila mtu mwenyesifa na asiye na sifa aliweza kuwa mbungu. CDM wao wameharibu kbs kwenye viti maalum kuna watu wameingizwa mpk unajiuliza hata huyu. Ila kwa Jembe kuna vijana wengi sana wanakimbilia Ubunge ngoja waje na ngeu vichwani. Kupitia CCM japo sio mwanachama ila naamini italeta mageuzi katika kupata Wabunge.
 
Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.

Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?

Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
Hapo unapoteza nguvu zako.
Ccm ndio imetuleta huku
 
Back
Top Bottom