Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Huu utani sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa CCM,lolote linawezekana.hahaha maisha yanakwenda kas sana mpaka mabaamedi watakogombea safari hii
Dogo janja shule form 2 alifeli ataongoza nini?Msanii wa muziki wa kizazi kipya Madee amesema ingawa hajajiandaa kisaikolojia kugombea ubunge lakini marafiki zake wanamshawishi agombee. Madee amesema yeye ameishi sana jimbo la Kongwa linaloongozwa na Ndugai.
Naye Dogo janja amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi na kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka 5 ya mwanzo.
Chanzo: Clouds media.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee yusuph ni mbunge wa nyumbani kwenu?Mbona Sugu na Mzee Yusuph wameweza!
Kagombee wewe.usiongelee wenzioHii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
kweli Magu ni chuma cha pua kakaza vyuma vimekaza kwelikweli basi unaambiwa kwenye gemu kumelala doro mpunga umekata jamaa wote walizoea sifa na majigambo wanajificha wanakufa njaa mashabiki wanakufa njaa sasa kila wasanii wakitafuta upenyo hamna ila kwa mbaaaali wanamuona Sugu moto chini japo anajisifia kuvuta bangi hapo chini na best wake Profesa J japo ni wahuni ila wameula bungeni basi kila msanii na kila prodyuza bongo eti anataka jimbo hivi sasa mlikuwa wapi miaka yote mbona hamkugombea? hatuwatakiiiiii!!
umesema kweli tupu, huu ni mpango maalum wa kunyoosha nchi!Hii nchi kila unayemuona anastress.
Na kwa bahati mbaya, stress zikikuzidia alaf ukose wa kukusupport ktk ugumu ulionao, hapo ndipo unapoanza kufanya matukio unayojisikia kufanya, hata kama hayana mwelekeo mzuri.umesema kweli tupu, huu ni mpango maalum wa kunyoosha nchi!
Hapo unapoteza nguvu zako.Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
Sasa hivi tu aaweza kuwa kesharushiwa majiniTena akienda Kongwa ajipange haswaa....Ndugai 2015 alileta waganga 3 toka Senegal, jamaa alikuwa akitoka nao uck na kuizunguka Kongwa (Jimbo) yote..
Ameandaa tunguli za maana au anaenda kichwa kichwa Ndugayi sio mtu mzuri ajue
Ndio nyumbani kwetu hapa Unguja.Mzee yusuph ni mbunge wa nyumbani kwenu?
Unajua elimu ya mbunge mpendwa wa Makambako Jah people?!Dogo janja shule form 2 alifeli ataongoza nini?